Idadi ya Wasimbe Tanzania ni kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika

Idadi ya Wasimbe Tanzania ni kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika

Wanaume wanaumia sana wakiona hii
Wanawake wenyewe [emoji1635][emoji1635][emoji482][emoji482]
Nan anaumia, hapana hatuumii hata kidogo na lengo la mtoa uzi Ni kudiss how come wanaume tuumie, kwa lipi?
 
Msimbe ni mwanamke wa makamo kuanzia miaka 20-30 ambaye ameshazaa, hana mume either amekufa au mtaliki na ambaye sio bikra yaani ameshaliwa tunda kimasihara na hajaolewa hata kama hajazaa! Wewe ni msimbe ila kama upo kwenye range ya hio miaka!
Kwa hiyo kinachomfanya mtu aitwe msimbe ni kuzaa ama kuwa tayari ameliwa tunda kimasihara?
 
Tatizo liko kwenye baba zenu hawana historia zuri za kiuchumi zamani uoaji au kuolewa kulihusiana na familia zaidi ukwasi hiyo mosi

Pili elimu za kusoma na ajira hakuna pia inachangia serikali inamchukua bint au mtoto wakiume madarasani mwisho wa siku inasema akalime......nibora aaze kulima akiwa na lasaba yake waoaji na waolewaji wanabakia tu kulaumiana miaka inaenda
 
Back
Top Bottom