Tetesi: Idara kuwa 6 na Vitengo 2 tu

Tetesi: Idara kuwa 6 na Vitengo 2 tu

LGAs zote hazifanani katika umhimu wa sekta. Mafia kwa kilimo na mifugo ni tofauti na Geita.
LGAs zingependekeza idara wanazohitaji na kushauriana na PoRalg.
LGAs siyo idara za central government., wala siyo chombo chake.
 
Ifanyike hivyo na mishahara itelemshwe wasiopenda washafishwe Kama ma Ras na Makatibu wakuu huu ni mzigo mkubwa na watakaobaki mishahara yao iwe reasonable sasa hivi hw kuna wanaoishi peponi na mashetani inavunja sana mioyo
 
Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa.
Idara zitakuwa ni
1.Utawala,Mipango na Fedha
2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji
3.Maliasili,Ardhi,Nyuki na Mazingira
4.Afya,Usafi na Ustawi wa Jamii
5.Elimu
6.Kilimo,Mifugo,Umwagiliaji na Ushirika

VITENGO NI
1.Sheria
2.Ukaguzi wa Ndani
Hili jambo ni jema kwa kiasi fulani maana hadi sasa Idara na Vitengo Ndani za Halmashauri za Wilaya na Miji zilikuwa zaidi ya 18
kwa sasa kutakuwa na Wakuu wa Idara 6 na Vitengo 2 Jumla 8.

Tukichukulia kwa Dhana ya Kupunguza Matumizi (Mishahara) ina maana Wakuu wa Idara na Vitengo 12 katika kila Halmashauri za Wilaya,Miji,Manisipaa lazima Wapigwe chini. Hii inamanisha ktk halmashauri 185@12=2,220x 3,400,000 tutaokoa Tshs 7,548,000,000 kwa mwezi
Swali la msingi ni kuwa MISHAHARA YA HAWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO ITASHUSHWA?? NA KUREJEA KWENYE MISHAHARA YA MUUNDO WA VYEO VYAO VYA AWALI KABLA YA UTEUZI WAO???
Na kama ikiwa Hivyo Itabidi kanuni na Taratibu zinazohusu mishashara ya Mfanyakazi inabidi zivunjwe!!
Na kama wataendelea kulipwa Mishahara yao ya Million 3.4 kutakuwa na maana gani ya kupunganisha hizi idara??

Idara ni zaidi ya mkuu wa idara; kuna katibu mhutasi, wahudumu wa ofisi nk. Hawa watapelekwa halmashauri kukusanya mapato.......ni maoni yangu
 
Kuwa na watu wengi ambao kazi yao ingeweza kufanywa na MTU mmoja ni Bonge LA Hasara.....hii nzuriiiii
 
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
Tungemsikilizia wapi wakati walikua gizani?
 
Hakuna mtu atapoteza ajira bali wata hamishiwa kwenye vitengo vingine? Hivi unajua sheria za utumishi wa Umma? Kama mgelikuwa mna msikiliza waziri wa tamisemi bungeni wala msingalisema haya hili jambo halikuanza kuongelewa leo!
Tungemsikiliza vipi wakati mlizima TV mkaendesha bunge gizani! Tunataka bunge live.
 
Na tunakoelea, serikalini wataanza kufanya kazi kwa kpi kama private sectors
Target haijawa achieved unapenalaiziwa
 
Awamu hii wengi tunaisoma namba, wakuu wa Idara wengi walikuwa wapo upande wa chama Tawala kipindi cha uchaguzi kwa kujua kuwa wapo salama sasa imewageukia.
Hii mkuu wacha ije tu kwa kweli nilikuwa nakasirika sana unalikuta pumbavu likuu la idara eti linashabikia ujinga wa ccm! Sasa wacha yaisome namba, ila nashindwa kuelewa ufanisi utakuwaje maana mtu aliyesoma ushirika akawe mkuu wa idara ya kilimo, mifugo, uvivu, umwagiliaji na ushirika sijui itakuwaje aiseee!
 
Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa.
Idara zitakuwa ni
1.Utawala,Mipango na Fedha
2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji
3.Maliasili,Ardhi,Nyuki na Mazingira
4.Afya,Usafi na Ustawi wa Jamii
5.Elimu
6.Kilimo,Mifugo,Umwagiliaji na Ushirika

VITENGO NI
1.Sheria
2.Ukaguzi wa Ndani
Hili jambo ni jema kwa kiasi fulani maana hadi sasa Idara na Vitengo Ndani za Halmashauri za Wilaya na Miji zilikuwa zaidi ya 18
kwa sasa kutakuwa na Wakuu wa Idara 6 na Vitengo 2 Jumla 8.

Tukichukulia kwa Dhana ya Kupunguza Matumizi (Mishahara) ina maana Wakuu wa Idara na Vitengo 12 katika kila Halmashauri za Wilaya,Miji,Manisipaa lazima Wapigwe chini. Hii inamanisha ktk halmashauri 185@12=2,220x 3,400,000 tutaokoa Tshs 7,548,000,000 kwa mwezi
Swali la msingi ni kuwa MISHAHARA YA HAWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO ITASHUSHWA?? NA KUREJEA KWENYE MISHAHARA YA MUUNDO WA VYEO VYAO VYA AWALI KABLA YA UTEUZI WAO???
Na kama ikiwa Hivyo Itabidi kanuni na Taratibu zinazohusu mishashara ya Mfanyakazi inabidi zivunjwe!!
Na kama wataendelea kulipwa Mishahara yao ya Million 3.4 kutakuwa na maana gani ya kupunganisha hizi idara??
Safi sana watu tufanye kazi Massa 8 kihalali lzm uchoke sio unakaa unajizungusha tu kwny kiti unasubiri kusaina vocha safari hii hapa kazi tu.
 
Kuna sababu gani ya kuweka idara ya maji n.a. miundombinu?
 
Lakini kwanini kubana matumizi imekuwa kwenye Local Gvt tu, Wakuu wa Wilaya na teuzi za Ma DAS mbna zinaendelea na hizi ndio nafasi za kisiasa? Sitting allowance imefutwa Halmashauri tu, Wabunge na wengineo wanaendelea kuchukua posho hizo, kwa huyu jamaa dhana yake ya kubana matumizi inatuhusu watumishi wa hali ya chini kada za juu hatagusa.
 
Kupunguza tu hakuwezi kuwa na solution ya kudumu,swala la msingi ni kuwa na Idara na vitengo kutegemea mahitaji ya Halimashauri husika,ili kuepusha kuwa na mtumishi ambaye ni useless.Kwa mfano mahitaji ya unjinia wa maji yapo zaidi kwenye halimashauri za wilaya ambako maji husimamiwa n halimashauri,wakati kwenye halimashauri za majiji,manispaa na miji maji husimamiwa na mamlaka za maji ambazo zipo kisheria
Halimashauri kama ya Ilala haina haja ya afisa kilimo,etc

Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa.
Idara zitakuwa ni
1.Utawala,Mipango na Fedha
2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji
3.Maliasili,Ardhi,Nyuki na Mazingira
4.Afya,Usafi na Ustawi wa Jamii
5.Elimu
6.Kilimo,Mifugo,Umwagiliaji na Ushirika

VITENGO NI
1.Sheria
2.Ukaguzi wa Ndani
Hili jambo ni jema kwa kiasi fulani maana hadi sasa Idara na Vitengo Ndani za Halmashauri za Wilaya na Miji zilikuwa zaidi ya 18
kwa sasa kutakuwa na Wakuu wa Idara 6 na Vitengo 2 Jumla 8.

Tukichukulia kwa Dhana ya Kupunguza Matumizi (Mishahara) ina maana Wakuu wa Idara na Vitengo 12 katika kila Halmashauri za Wilaya,Miji,Manisipaa lazima Wapigwe chini. Hii inamanisha ktk halmashauri 185@12=2,220x 3,400,000 tutaokoa Tshs 7,548,000,000 kwa mwezi
Swali la msingi ni kuwa MISHAHARA YA HAWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO ITASHUSHWA?? NA KUREJEA KWENYE MISHAHARA YA MUUNDO WA VYEO VYAO VYA AWALI KABLA YA UTEUZI WAO???
Na kama ikiwa Hivyo Itabidi kanuni na Taratibu zinazohusu mishashara ya Mfanyakazi inabidi zivunjwe!!
Na kama wataendelea kulipwa Mishahara yao ya Million 3.4 kutakuwa na maana gani ya kupunganisha hizi idara??
 
Back
Top Bottom