skills man
Member
- Nov 10, 2024
- 89
- 236
Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua na wapo humuHata BICHWA KOMWE ni TISS
Cc: GENTAMYCINE Nyani Ngabu Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage Maghayo adriz Mufti kuku The Infinity Extrovert Lamomy
Bichwa kama bichwa! 🤓Hata BICHWA KOMWE ni TISS
Cc: GENTAMYCINE Nyani Ngabu Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage Maghayo adriz Mufti kuku The Infinity Extrovert Lamomy
Kwahiyo unashauri Nini mkuu?Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Vijana wafahamuKwahiyo unashauri Nini mkuu?
😅😅😅😅 nimecheka kwanza si bichwa komwe huyu? Nae ni Tiss eti 🤣🤣🤣🤣Hata BICHWA KOMWE ni TISS
Cc: GENTAMYCINE Nyani Ngabu Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage Maghayo adriz Mufti kuku The Infinity Extrovert Lamomy
Usalama ni yeyote sio lazima uwe in😅😅😅😅 nimecheka kwanza si bichwa komwe huyu? Nae ni Tiss eti 🤣🤣🤣
Wapo aina tatu za usalamaNdio maana zamani weledi ulikuwa mkubwa.
Sasa ni ujinga TU. Unakuta usalama anatamba baa au anajulikana mtaani. Sasa ni usalama Gani????
Watajua wenyewe.Wapo aina tatu za usalama
Ni lazima Kuna mtu kamuunganishaHiyo IPO, ila sidhani Kama ni saana.
Binafsi Nina ndugu na watu walipata Kazi kupitia their struggle tuu na qualification.
Chamsingi kikubwa pambana saana uwe na vigezo na kushinda ushindani kwenye interviews.
N.b kwenye usalama nakumbuka wakati tupo chuoni mwaka wamwisho watu waliitwa kwenye ofic ya Waziri mkuu wakadharau wengine wengine wakaenda walio enda, wengi wao ni mashushu
Mimi nipo uko and my familySio kweli
Sema hukuwa na vigezo
Muhimu uwe raia wa Tanzania bila makandokando
Usalama sijui, lakini uhamiaji sio kweli watu wengi wanapata kazi tu bila kufahamiana na mtu. Lakini pia uhamiaji maisha yao wengi wao ni magumu hawana utofauti sana na jeshi la police/ffu/traffic.Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Sio kweliUsalama sijui, lakini uhamiaji sio kweli watu wengi wanapata kazi tu bila kufahamiana na mtu. Lakini pia uhamiaji maisha yao wengi wao ni magumu hawana utofauti sana na jeshi la police/ffu/traffic.
Wewe ni I.o au I.IMimi nipo uko and my family
Usifananishe Uhamiaji na hao Civo pol.Usalama sijui, lakini uhamiaji sio kweli watu wengi wanapata kazi tu bila kufahamiana na mtu. Lakini pia uhamiaji maisha yao wengi wao ni magumu hawana utofauti sana na jeshi la police/ffu/traffic.