MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwanza huko unaposema hawana section au kokote Tanzania.Nipo vitengo na section yangu Zanzibar
Acha uongo kijana, hauto kufaidisha kwa lolote.
Kwani ukisema mchumba chunvi unaathirika nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza huko unaposema hawana section au kokote Tanzania.Nipo vitengo na section yangu Zanzibar
Unamaanisha ukiwa na mahusiano na hao tu mapema tu au?Hata BICHWA KOMWE ni TISS
Cc: GENTAMYCINE Nyani Ngabu Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage Maghayo adriz Mufti kuku The Infinity Extrovert Lamomy
Ukitaka pesa nenda kachimbe madiniNawazungumza Hawa kwa sababu na ndugu na jamaa. Na wao kabla hawajaingia huko walikua na mawazo kama yako. Wananjaa, na wanaoanza kazi mshahara hata 1M Haifiki, sasa hio si njaa.
Mshahara wa Police ambae anaanza kazi haufiki laki 5, na posho ya laki 3.Polisi ugumu wao wa maisha upoje?
Mshahara kwa watu wanaoanza kazi wote wanafanana, lkn kunaongezoko la allowance kwa mtu Mwenye diploma na degree na kuendelea.
🤣🤣🤣 Nauza viatuKwanza huko unaposema hawana section au kokote Tanzania.
Acha uongo kijana, hauto kufaidisha kwa lolote.
Kwani ukisema mchumba chunvi unaathirika nini?
Sasa si bora hili, watembeza viatu wanajijua na wewe sio mmoja wao.🤣🤣🤣 Nauza viatu
MbagalaSasa si bora hili, watembeza viatu wanajijua na wewe sio mmoja wao.
Taja Zanzibar wapi?
Ili ukistaafu unywe gongo kama wengi tunavyo waonaInaonekana watu mnapenda kazi za hatari mbona hamtaki upolisi au utpd?
Yule wa magogoni,ni mzigo! Aondolewe October 2025Kwahiyo unashauri Nini mkuu?
Sasa wewe unababaishaMbagala
Ila we Jamaa ni fala sana 😂 😂
Ila kiwi nyingi hao jamaaMshahara wa Police ambae anaanza kazi haufiki laki 5, na posho ya laki 3.
Sahihi sana, Moja kati ya kitengo nilicho wahi kupenda kuwepo ni huko, ila babu yangu aliye kuwa jeshini akasema hakupo Kama zamani.Nchi ambazo demokrasia ni duni ama haipo, idara za usalama huwa naona hamna kitu, idara hazipo huru, zipo chini ya wanasiasa, vyama tawala.
Ni kweli, wanafanya kazi kwa interests za vyama na wanasiasa....Sahihi sana, Moja kati ya kitengo nilicho wahi kupenda kuwepo ni huko, ila babu yangu aliye kuwa jeshini akasema hakupo Kama zamani.
Usijaribu kuelezea kitu usicho kijua.Mshahara kwa watu wanaoanza kazi wote wanafanana, lkn kunaongezoko la allowance kwa mtu Mwenye diploma na degree na kuendelea.
Hizo kiwi nazo inategemea na mahala ulipo, ukipangiwa nyumbani kwetu kule Kilimapanda utalia mkuu.Ila kiwi nyingi hao jamaa
Kazi nyingi tu mbona hata sector binafsi ukiomba lazima uweke referees watu wanaokujua wenye hadhi zaoIdara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Lazima utii mamlaka chadema ni wafanya fujoNi kweli, wanafanya kazi kwa interests za vyama na wanasiasa...
Hao kada zote tunao kitaa PT, UT,ZT,TISS,TPDF,PCCB na MT naona njaa tu wote kifupi ni hicho ni kujimwamba fai tu kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yakeHawajui kitu
Mimi sio mpenda siasa na wala si mwna chadema, lakini nimezungmza kwa ujumla kwa nchi za kiafrika idara hazipo huru..Lazima utii mamlaka chadema ni wafanya fujo