Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida tuWewe ni I.o au I.I
Kweli kabisaUsifananishe Uhamiaji na hao Civo pol.
Ni sawa na kulinganisha mbingu na Ardhi
Sometimes but sio mara zote mkuuNi lazima Kuna mtu kamuunganisha
Kaka maisha ni siri kupata kazi hizi ni lazima MbangaSometimes but sio mara zote mkuu
Basi wewe ni shabiki tuKawaida tu
Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Mkuu hata hawara ya bibi yako wa kambo naye anaweza kuwa TISS?Usalama ni yeyote sio lazima uwe in
Nipo vitengo na section yangu ZanzibarBasi wewe ni shabiki tu
Haupo moja kati ya hivyo vitengo
Sio vizuri kudanganya
Nawazungumza Hawa kwa sababu na ndugu na jamaa. Na wao kabla hawajaingia huko walikua na mawazo kama yako. Wananjaa, na wanaoanza kazi mshahara hata 1M Haifiki, sasa hio si njaa.Usifananishe Uhamiaji na hao Civo pol.
Ni sawa na kulinganisha mbingu na Ardhi
Mshahara kwa ngazi ipi ya elimu?Nawazungumza Hawa kwa sababu na ndugu na jamaa. Na wao kabla hawajaingia huko walikua na mawazo kama yako. Wananjaa, na wanaoanza kazi mshahara hata 1M Haifiki, sasa hio si njaa.
Idara ya Usalama na Idara ya Uhamiaji ili upate Ajira lazima awepo mtu Mwenye Uhusiano na wew wowote kwa Sababu kulinda kuzuia Mamluki Tofauuti na Idara na majeshi Mengine
Ni lazima wabadilishe Mifumo yao yote kabisa, ikiwemo na kubadilisha utaratibu Wao wa RECRUITMENT ya Maafisa wao.Kwahiyo unashauri Nini mkuu?
Kuna usalama Aina Tatu yaani
Acha uwongo wew uhamiaji ipi iyoNawazungumza Hawa kwa sababu na ndugu na jamaa. Na wao kabla hawajaingia huko walikua na mawazo kama yako. Wananjaa, na wanaoanza kazi mshahara hata 1M Haifiki, sasa hio si njaa.
Polisi ugumu wao wa maisha upoje?Usalama sijui, lakini uhamiaji sio kweli watu wengi wanapata kazi tu bila kufahamiana na mtu. Lakini pia uhamiaji maisha yao wengi wao ni magumu hawana utofauti sana na jeshi la police/ffu/traffic.
Hawajui kituPolisi ugumu wao wa maisha upoje?
Mshahara kwa watu wanaoanza kazi wote wanafanana, lkn kunaongezoko la allowance kwa mtu Mwenye diploma na degree na kuendelea.Mshahara kwa ngazi ipi ya elimu?