RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Siwezi kua police, mm kipindi namalizia form six nilienda chuo na nikapiga chini TPDF tena kwenda TMA, na mpaka sasa sijutii. Maana mimi kazi ya jeshi/Police haipo kwenye damu.Usijaribu kuelezea kitu usicho kijua.
Huo mfumo upo Magereza na sio kwingine
Sawa mjelajela