Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Waajiri watalaamu wa aina tofauti wawape mafunzo ya kispy. Undugu unatuharibia
 
Ndilo ambalo Raisi wetu ameanza kulifanya.Mku wake katokea tume ya uchaguzi,nani alikuwa anamjua?
Hii idara mimi naona inafanya kazi kubwa ila shida ni kuwa hawawezi kuweka shughuli zao za kila siku hadharani.Lazima kuna mengi yamezimwa bila sisi kujua na tunaomba mbadala wa Nzoka awe anajitokeza na kufafanua baadhi ya mambo.
 
Sio wote mkuu...uzalendo haukosi ila kuna nguvu ya wema na ubaya kwa kila taasisi, hata uwe wewe TISS kuna mifumo yake...but ni kweli kila taasisi inahtaji kujifunza zaidi hasa changamoto za Dunia wakati huu.

Bado naamini TISS ni taasisi imara na itakuwa imara kama itaondokana na siasa.Yaani ijitahidi kuona matakwa ya watanzania hasa kwenye uchaguzi yanaheshimiwa bila kujali itikadi za Chama.
 
Oooh

Sawa sawa. Huwa nawaona uwanja wa taifa kwenye maadhimisho ya sherehe za uhuru au muungano wakiwa wamevalia sare nyeupe kwenye gwaride. Asante sana mdau
Heeeeeeee..... wakiwa wamevaa suti nyeusi ... man. Niaje ww.... mbona mshamba ? Usalama wa taifa wanavaa suti.
Unawaona wale walinza wa rais... wale ndio wenyewe.
 
Ningependekeza TISS iwe independent kama C.I.A.... they take order from no one ....only from the president
 
TISS imetiwa najisi kwa sasa.
 
Ni Kweli Kabisa ,Hiyo Taasisi Haiendeshwi Kisiasa.
======
Aliyemteka Ulimboka huyu hapa | Gazeti la MwanaHalisi

Cc: Yericko Nyerere , GENTAMYCINE
 
ni kwa sababu ya uimara wa vyombo vya ulinzi na usalama ndio maana tunatamba na maneno kadri tuwezavyo..ni kama amani ya ndani tuliyonayo inatulevya sasa...
 
Ushauri ni muhimu ila kikubwa ni kutumia lugha yenye staha. Tunahitaji TISS iendane na mazingira muda na teknolojia iliyopo. Nadhani wanapokea ushauri wetu humu ndani na tumeeleweka
 
TISS ilishaondoka na Baba wa Taifa na sasa hivi pamoja na kwamba inaonekana imegawanyika kutokana na siasa imekuwa kama Tawi la kupenyezea mambo ya ovyo ya watawala ili kukandamiza watu wenye maono tofauti
 
Tatizo ni waliitoa chini ya jeshi wameiweka chini.ya politicians (RAIS) mpaka hapo itakapo rekebishwa hili ndo itakua chombo chenye mantiki
 
TISS ina uzoefu wa zaidi ya miaka 50 katika shughuli zake wewe kijana wa juzi umetoka kuangalia series za "kijasusi" unakuja hapa unatema pumba unazoita ushauri

Pathetic
Acha upuuzi weww hata tiss huenda huijui TISS ni taasisi kongwe ila watu wake hawana ukongwe wowote na ndio maana sasa hivi wanafanya vituko yawezekana imebeba aina ya watu wa ajabu ajabu
 
Zamani TISS walikuwa wakibezwa na watu kuwa kazi yao kubwa ilikuwa kuhesabu vizibo vya bia kwenye bar. Leo hii inaelekea kabisa hilo limekuwa ni jeshi la watu binafsi.
 
Acha upuuzi weww hata tiss huenda huijui TISS ni taasisi kongwe ila watu wake hawana ukongwe wowote na ndio maana sasa hivi wanafanya vituko yawezekana imebeba aina ya watu wa ajabu ajabu

Unajua maana ya record keeping? Afisa yeyote wa Tiss lazima aandike after-action report(Debrief) baada ya operation

Hizo reports zinakuwa analysed na kuwa incorporated into training programs za junior officers.

Sasa tumia akili yako ufikirie TISS wana archive ya operations za miaka 50. Wanajua weakness na strength za different tactics

Wewe mpuuzi unaamka asubuhi unaaza kuandika kuwa TISS hawajui kitu.Wewe ndugu ni zero brain.Low IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…