Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Ningekuwa ni mimi hapaa kwa mfano ningeanza na bekary....... Hiyo barbershop ingekuwa ni biashara ya mwisho kwaajili ya pesa ya mboga ila sio kutokeamo.

Biashara za barbeshop zinachangamoto sana hasa katika kupata vinyozi wazuri na wenye majina mjini....... Barbershop nyingi zinanyanganyana vinyozi. So jipange kwa hilo broo usije wekeza pesa nyingi ukashangaa maingizo hayaendani na uwekezaji wako na matarajio yako. Sana ukaishia kupata hela ya mboga na vifaa vinachakaa siku hadi siku.
 
Safi mkuu umetoa wazo zuri sana
 
Pesa inazaa pesa. Naikubali sana hii biashara.
 
Mkuu angalia vzr Uchambuzi yakinifu wako, Barbershop (Modern & Executive) - 13M ni ndogo saana. Hiyo hata vifaa tu unaweza usipate achilia mbali kodi ya pango, ukaranati, usajiri wa vinyozi (lazima utafte kinyozi bora na mwenye wateja), nk nk nk
 
Wabane wakose mianya ya kuiba, tena kwenye hiyo biashara mmiliki wa boti kuibiwa ni uzembe wako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo biashar upate nahodha muaminifu tu otherwise huna njia ya kuwabana. utawabana vp wakat ww huingii kweny chombo ukaenda kuvua ? Kaz yako ww ni kukaa juu ukaletewa hela za mauzo waliyovua tu bc
 

Asante mkuu! Nitakuwa na kijana anayeendesha nimeuiba kwny moja ya maduka ya accessories, kwahyo ana uzoefu na pia ni fundi.

Kwakuwa mi mwajiriwa sehemu, nitakuwa kila siku napita kusupervise. Ila nitakuwa very close
 
Mkuu angalia vzr Uchambuzi yakinifu wako, Barbershop (Modern & Executive) - 13M ni ndogo saana. Hiyo hata vifaa tu unaweza usipate achilia mbali kodi ya pango, ukaranati, usajiri wa vinyozi (lazima utafte kinyozi bora na mwenye wateja), nk nk nk
Kweli maana kupata sehem ya kueleweka kodi inaweza cheza laki 7 mpka milion

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Mimi pia ni kinyozi ila nipo south Africa kwasasa,mapema mwakani nami ninatarajia kurudi nyumbani kuanza na hii biashara InshaAllah

Baki huko huko mkuu sisi huku tupo milioni 60 tunatosha [emoji276]
 
Iyo biashar upate nahodha muaminifu tu otherwise huna njia ya kuwabana. utawabana vp wakat ww huingii kweny chombo ukaenda kuvua ? Kaz yako ww ni kukaa juu ukaletewa hela za mauzo waliyovua tu bc
Issue sio kupata nahodha muzuri, kwenye huo msafara wa kwenda kuvua basi hakikisha anakuwapo mtu wako mmoja mwenye akili na mwaminifu, kuibiwa itakuwa ngumu sana. Mimi nimeifanya hiyo business pale Mwanza miaka fulani.
 
Hizi biashara zinaweza kukufilisi vile vile, mi bado napambana saving angalau ifike 30m..
Akili inaniambia hela ipo kwenye night club/lounge au barbershop
Hiyo ya Night Club kama hujawahi kuifanya utafilisika,hiyo ina usumbufu wa polisi kukufuatilia kila siku na inabidi uwe unawapa hela kila siku ili kuwatuliza na usipowapa wanavamia kila siku wateja wanapachukia panakosa mvuto
 
Hiyo ya Night Club kama hujawahi kuifanya utafilisika,hiyo ina usumbufu wa polisi kukufuatilia kila siku na inabidi uwe unawapa hela kila siku ili kuwatuliza na usipowapa wanavamia kila siku wateja wanapachukia panakosa mvuto
Umemwambia ukweli mtupu Mimi napata shida hii
 
Biashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule

1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda

2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa


3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…