Ushasema wanapita kimya kimya mawazo yake utayapataje.Hii haina maana mkuu, usitake kumjua mtu bali taka kupata mawazo yake ya kiuwekezaji na kimaendeleo ili ufaidike kama anavyofaidika
Ahsante.Kwanza nikupongeze then Nasave hii for future use, ni vijana wachache sana wanaweza hata kufikiria tu acha kujiuliza kitu cha namna hii! Nimekuwa nikiwaza sana mradi wa mama Samia wa green energy ambao anapromote gas za kutoka Uarabuni na Ulaya, why not green energy kutoka kwenye mazao? Nafaka yoyote inaweza kuwa gas ya kutumia majumbani na ikawa liquified ikauzwa kwa nusu lita, lita moja au atakavyo mnunuzi na ikaenda hadi vijijini kabisa wakacha mkaa na kuni! Ambayo hata mtu maskini kabisa anaweza kununua kwa bei ya mkaa wanaotumia sasa hivi. Zipo nchi zilizofanikiwa sana lkn watanzania wakisikia green energy (hasa viongozi) wanajua ni gas tu ya petroleum hatuna kujiongeza kabisa kwa kuwa kule kuna possibility ya upigaji probably
Duh..Jamani pesa ni energy na zinataka nidhamu sana ndio maana nawaambia wanasoma na kupita kwa sababu ni energy, mtu mwenye hiyo pesa hahitaji mawazo hapa jf tayari yupo busy inazunguka kuleta zingine. Kama nlivyosema wanakuja hapa kwa burudani tu sio kutafuta mawazo ya uwekezaji! Kuna jamaa hapa alisema ana 60m kapata UTT kila siku alikuwa na uzi mpya kuomba ushauri halafu akipewa anasema ana majibu yake tayari, So mtu kama huyo unaamini anazo? Mwenye pesa haongelei pesa ataongelea mambo mengine kabisa hapa JF ataongelea pesa kwa wenye pesa wenzake
Kweli mkuu tunajishusha sana ..na ndio mana kimaisha bado tuna maisha magumu ya kuona ni haki yetu na sawa kuishi maishaa ya kimasikini.Kweli kibongo bongo 100m ni nyingi sana ila wapo wenye nazo na zaidi humu humu
Leteni idea acheni kupiga ramli
Mtu kauliza idea za over 100
Mbona zipo nyingi tu ingawa sio hela kubwa sana hiyo
Kama nyumba moja inasimama kwa bei hiyo na sio kali hivyo basi 100 wapo wengi wenye nayo ila acheni kujishusha
Kama mtu hana ni yeye
Mkuu ukiwa na 100m ukaweka bond za serikaliIn fact hamna mtu mwenye pea hiyo akawa hana idea ya kuwekeza, akiwa mvivu na anayeogopa challenges ataweka kwenye bonds za serikali tu na akala maisha yake yote. Kila mwenye urefu huo ana mahali amewekeza na anakula tu. JF anakuja kusoma wateja wake wanasemaje na jamii kwa ujumla inatazama vipi uwekezaji wake. Anaitumia JF kama social media tu kwa ufupi, ndio uhalisia kiongozi
Halafu wapiga ramli kibao humu na hata wachawi piaKweli mkuu tunajishusha sana ..na ndio mana kimaisha bado tuna maisha magumu ya kuona ni haki yetu na sawa kuishi maishaa ya kimasikini.
Hili ndio lile swali "mfano ukiokota miliion mia (100ml) utazifanyia nini?Kweli kibongo bongo 100m ni nyingi sana ila wapo wenye nazo na zaidi humu humu
Leteni idea acheni kupiga ramli
Mtu kauliza idea za over 100
Mbona zipo nyingi tu ingawa sio hela kubwa sana hiyo
Kama nyumba moja inasimama kwa bei hiyo na sio kali hivyo basi 100 wapo wengi wenye nayo ila acheni kujishusha
Kama mtu hana ni yeye
Mkuu ukiwa na 100m ukaweka bond za serikali
Faida ippoje ukikokotoa
HaswaaHili ndio lile swali "mfano ukiokota miliion mia (100ml) utazifanyia nini?
Sasa mtu hapo alipo nyuma ya keyboard hata lunch hajapata unamuuliza idea ya 100milHaswaa
Hahaha hahaaaaHao watu humu jf hawapo kijana, jf hali zetu tunazijua wenyew. Hasahasa tuliowahi kuonana ndo kabisaaaaaaaaa.. siku nimejikoki kwenda kuonana na Evelyn Salt nilivaa kanzu nikajua nn, yeye mwenyew kavaa kijora cha elfu 6 mia 5. Tulivyoonana tu stendi kila mtu akakimbia
Mkuu mbona kuna mawaziri na wabunge humu?Sasa mtu hapo alipo nyuma ya keyboard hata lunch hajapata unamuuliza idea ya 100mil
Mtu akishaziokota ndio atajua azifanyeje halafu sasa ndio mtoa mada amuulize ulizifanyia nini hizo milion 100
Mkuu njooo tuwekeze kwenye biashara ya majeneza inalipa sana hautojuta!Katika pitapita zangu sijaona thread mahususi yenye idea mbalimbali za biashara ama uwekezaji itakayoweza kuwasaidia wenye mtaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500 kuanzisha biashara zitakazowasaidia kupata faida.
Nakaribisha maoni na mawazo mbalimbali ya aina ya biashara za kufanya kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia milioni 100 hadi 500.
Karibu.
Biashara yoyote unaweza kuifanya kwa mtaji wowote ni inshu ya diversification tu hata kuuza karanga unaweza kukufanya kwa mtaji wa bilionMkuu mbona kuna mawaziri na wabunge humu?
Kuna wafanyabiashara wenye nazo hizo, wapo wa nje pia ambao ni mshahara wa mwaka huo
Ila ni walala hoi wamejaa sana lakini idea zote zimekuja kwa kubuni tu sio lazima hela bali mawazo tu
Kuna makampuni Ulaya kama bright ideas
Unawaandikia idea yako na unalipa kiasi kidogo tu kama haipo duniani umeula