IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Aaah mzee wangu mada nimeleta mimi kuhusu ubora wa majeshi na uzoefu wa vitani!!!Sasa wewe unahamishia kwenye vitabu na udini na siasa!!!Wanajeshi hatuna story za vitabu na udini au siasa sisi waga tunapokea order tu!!!Kama hujawahi kua kwenye uwanja wa mapambano sio lazima uchangie mzee wangu
Nelson...
Hakuna udini usiogope kutaja Uislam.

Na huo Uislam hapa uko wapi?

Umewaleta Wyahudi.
Uyahudi ni taifa na ni dini vyote viko pamoja.

Nani kahamisha mada kwenye vitabu?

Mimi si mwanasiasa wala sijpanda katika jukwaa la siasa hata siku moja.

Vitabu ndiyo msingi wa elimu yote duniani.

Mbona kila ukizunguka unarejea kutaka kujua kama najua silaha?

Huu ni uwanja huru ukileta mada sote tunachangia kila mtu kadri ya uwezo wake.

Kama unahisi nafanya makosa kushiriki mjadala huu wafahamishe Adm. wanipige ban.

Huu ndiyo uamuzi lakini wewe usinikataze kuchangia.
 
Mkuu mfuatilie kuna jamaa hapo ana_dislike replies zako na zile asizozipenda, ukimtambua utajua ana undugu na kina nani nje ya mipaka ya bongoland 😀!.
Nimemuona ila nilipoleta uzi mada kuu tunazungumzia uzoefu wa kijeshi kwa wanajeshi especially IDF!!Mambo ya udini na siasa hapa hii sio mada yake!!!!
 
Na huyu mwamba.

Simo Häyhä​

The "white death" himself hawa ndiyo malegend wa medani za kivita yaani jeshi la mtu mmoja

Huku leo major analiweka chini ya ulinzi jeshi la ujerumani lililouteka mji mmoja hapo netherland peke yake bila usaidizi kule .

Kuna the white death himself anadondosha vichwa zaidi ya 500 single handedly bila usaidizi wowote .

HAWA WATU HAWAKUWA WAKAWAIDA.
 
Achana na vitabu mzee wangu nazungumzia uzoefu wa wanajeshi uwanja wa mapambano kukabiliana iwe urban au mazingira mengine yoyote yale!!!IDF ni mfano wa kuigwa linspokuja suala la combat head to head,unit to unit,na eloctronical warfare,s!!!
Nelson...
Ikiwa nia yako ni kuwasifia Wayahudi hili si tatizo.

Tutakusoma kama hapa ninavyokusoma na pale ninapoona naweza kuchangia kitu nitafanya hivyo.

Usinizuie.
 
Nelson...
Hakuna udini usiogope kutaja Uislam.
Na huo Uislam hapa uko wapi?

Umewaleta Wyahudi.
Uyahudi ni taifa na ni dini vyote viko pamoja.

Nani kahamisha mada kwenye vitabu?
Mimi si mwanasiasa wala sijpanda katika jukwaa la siasa hata siku moja.

Vitabu ndiyo msingi wa elimu yote duniani.
Mbona kila ukizunguka unarejea kutaka kujua kama najua silaha?

Huu ni uwanja huru ukikleta mada sote tunachangia kila mtu kadri ya uwezo wake.
Kama unahisi nafanya makosa kushiriki mjadala huu wafahamishe Adm. wanipige ban.

Huu ndiyo uamuzi lakini wewe usinikataze kuchangia.
Nimekuuliza ushawahi kua frontline kama askari jibu hujanipa!!!Huwezi kuchangia mambo ya kijeshi kama wewe sio mwanajeshi mzee wangu!!!Wanajeshi hatuna siasa au udini tunapokea amri tu!!!!Mada inazungumzia ubora wa IDF uwanja wa mapambano na tunajadili uzoefu wa kutupiana risasi,mabomu,guruneti,mizinga, kuteka au kutekwa vitani!!!Usitoke nje ya mada mzee wangu
 
The "white death" himself hawa ndiyo malegend wa medani za kivita yaani jeshi la mtu mmoja

Huku leo major analiweka chini ya ulinzi jeshi la ujerumani lililouteka mji mmoja hapo netherland peke yake bila usaidizi kule .

Kuna the white death himself anadondosha vichwa zaidi ya 500 single handedly bila usaidizi wowote .

HAWA WATU HAWAKUWA WAKAWAIDA.
Thats great hasa pale unapokua uwanja wa mapambano na kufanikiwa kumdhibiti adui huku madhara kwako yakiwa madogo!!
 
Nimemuona ila ilipoleta uzi mada mkuu tunazungumzia uzoefu wa kijeshi kwa wanajeshi especially IDF!!Mambo ya udini na siasa hapa hii sio mada yake!!!!
Nelson...
Huwezi kuwaleta Wayahudi ukasema hakuna dini.

Nakusisitizia.

Uyahudi ni dini na utaifa.

Soma historia ya Israel kwanza ndiyo uwazungumze.

Hizbullah ni Mashia huwezi kuwazungumza ukasema hutaki kuzungumza Uislam.

Haya lazima kwanza uyajue vinginevyo ondoa huu uzi.

Utakutaabisha.
 
Nelson...
Ikiwa nia yako ni kuwasifia Wayahudi hili si tatizo.

Tutakusoma kama hapa ninavyokusoma na pale ninapoona naweza kuchangia kitu nitafanya hivyo.

Usinizuie.
Mzee wangu tunazungumzia IDF na uzoefu wao vitani na kwenye operation za kivita duniani ukilinganisha na majeshi mengine!!Wewe unaanza sera za imani makabila na udini!!!!Leo tupo tunazungumzia tu uzoefu wa kupambana vitani kati ya pande mbili,uzoefu wa kukwepa mabomu ya aridhini,uzoefu wa kulenga shabaha na uzoefu wa kufikia malengo katika mazingira magumu na ya hatari!!!Au hukusoma mada
 
Nelson...
Huwezi kuwaleta Wayahudi ukasema hakuna dini.
Nakusisitizia.

Uyahudi ni dini na utaifa.
Soma historia ya Israel kwanza ndiyo uwazungumze.

Hizbullah ni Mashia huwezi kuwazungumza ukasema hutaki kuzungumza Uislam.
Haya lazima kwanza uyajue vinginevyo ondoa huu uzi.

Utakutaabisha.
Mzee wangu nahisi huna uzoefu wowote wa kijeshi na hii mada huwezi kuielewa!!!Leo nimezungumzia IDF na Mossad na kesho nitazungimzia RPF au JWTZ au KDF au UDF!!!!Sisi wanajeshi hatuna hayo mambo unayosema ndio maana nikakuuliza ushawahi kushika bunduki mzee wangu na kuingia frontline!!!Kama umewahi karibu kwenye mada tuzungumzie uzoefu
 
Nelson...
Ikiwa nia yako ni kuwasifia Wayahudi hili si tatizo.

Tutakusoma kama hapa ninavyokusoma na pale ninapoona naweza kuchangia kitu nitafanya hivyo.

Usinizuie.
Sijakuzuia ila usitoke nje ya mada mzee wangu!!!!Tunazungumzia ubora wa jeshi husika katika uwanja wa mapambano mzee wangu
 
Nelson...
Sijatoka nje ya mada.

Unataka nikufahamishe kama najua kutumia silaha au kama nimepata mafunzo ya jeshi.

Unatafuta nini wewe?

Umeandika kuwa mimi nilihusika na Mwembechai na kuvunjwa mabucha na mambo mengi yasiyo na maana.

Tena umeandika haya baada ya kukueleza kazi ninazofanya vyuo nilivyoalikwa hapa nyumbani, Afrika, Ulaya na Marekani na paper na vitabu nilivyoandika.

Nimekueleza haya nikiamini utakuwa na akili ya kunitambua.
Leo unataka kujua kama nina ujuzi wa matumizi ya silaha.

Kipi unachokitafuta kwangu?

Bahati mbaya umetokea kunichukia kwa kuwa huniwezi.

Huyu ndiye Allah anatoa bila kuhesabu.
Mimi nimemwagiwq haya unayoona naandika hapa.

Wenzako wanafaidi.
Wanasoma wanaelimika.

Naandika mambo ya historia yalipotendeka nina akili zangu na huko yalikotendeka nimefika.

Tulia soma historia ya Wayahudi baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia.
Ndani ya historia hii utasoma vita vyao vyote na Waarabu.

Nakuwekea hapo chini nikiwa Giza, Cairo kwenye Pyramids, 1988.
Sasa mzee wangu sisi tunazungumzia uzoefu wa uwanja wa mapambano na wewe hauna uzoefu na hata bunduki hujawahi shika!!!Basi huwezi kujua ubora wa majeshi kama IDF au hapa afrika mashariki JWTZ,KDF,UDF mzee wangu!!!Hii mada ya ubora wa IDF na uzoefu wake kwenye operation haikufai mzee wangu
 
Ni kweli wanapewa misaada mikubwa Sana na wamagharibi...ila wamemudu kuitumia vyema hiyo misaada kujiendeleza kwa faida yao.

Kiuchumi na kimaendeleo tunaweza kuifananisha Israel na baadhi ya nchi za ulaya magharibi.

Pia wapo vizuri mno kiteknolojia na kiulinzi, wana wataalamu wazuri sana na makampuni mazuri Sana ya kuunda silaha za kisasa za kiteknolojia..

T14 Armata
Mbona hajasema Egypt wanapewa misaada ya kijeshi na Marekani
 
Swali zuri sana hilo ila mada ni jinsi IDF wanavyofanikiwa katika operation zao dhidi ya wapinzani wako katika uwanja wa mapambano
Sijataka kujibu swali lako mambo yatakuwa mengi. Ukiitaja Israel inakuwa ugomvi wa kidini, wapo watu wanaoungana miaka yote kuipiga na wanashindwa wako hapa wanasema ilivyo weak wakati haijawahi shindwa vita yoyote
 
Sijataka kujibu swali lako mambo yatakuwa mengi. Ukiitaja Israel inakuwa ugomvi wa kidini, wapo watu wanaoungana miaka yote kuipiga na wanashindwa wako hapa wanasema ilivyo weak wakati haijawahi shindwa vita yoyote
Upo sahii kaka mimi kama mchambuzi nazungumzia takribani operation zaidi ya 100+ ambazo IDF wamezifanya kwa matokeo chanya!!!Ndio nikasema kwa sasa IDF ni jeshi bora zaidi kaka kuliko majeshi mengi tu ulimwenguni!!!Sasa wadau wanaleta udini na siasa na wanatoka nje ya mada!!
 
Unaelewa mada inasemaje mzee wangu?????? We talk about millitary experience kwa frontline marines,s IDF!!!!Wewe unaleta siasa na udini mzee wangu
Nelson....
Hakuna Uislam wowote katika mchango wangu.

Andika Kiswahili nakuelewa zaidi kuliko ukiandika Kiingereza.

Nimekuwekea hapa Yom Kippur War 1973.

Nikakuwekea Abdul Hakim Ameir nikakwambia Sadat kahisi jinamizi la Six Days War.

Ninakuletea vifaru vya Field Marshall Josip Tito wa Yugoslavia haya yote ndani ya Sinai.

Uislam uko wapi hapo.

Hukutegemea haya kutoka kwangu.
 
Nimekuuliza ushawahi kua frontline kama askari jibu hujanipa!!!Huwezi kuchangia mambo ya kijeshi kama wewe sio mwanajeshi mzee wangu!!!Wanajeshi hatuna siasa au udini tunapokea amri tu!!!!Mada inazungumzia ubora wa IDF uwanja wa mapambano na tunajadili u?zoefu wa kutupiana risasi,mabomu,guruneti,mizinga, kuteka au kutekwa vitani!!!Usitoke nje ya mada mzee wangu
Nelson...
Hayo maswali ya kama nimepitia mafunzo ya silaha yana uhusiano gani na kuchangia mada ya Wayahudi?

Hivi mchango wangu wote hapa huuoni hadi nieleze kama nimepata kuwa na silaha?

Mbona wewe hujatueleza yako au mbona wengine huwaulizi hayo?

Sijatoka nje ya mada bado nipo na Vita Vya Yom Kippur.

Asubuhi nimeeleza vita ya 2006 kati ya Israel na Hizbullah.

Au haya huruhusu?
 
Nelson...
Hayo maswali ya kama nimepitia mafunzo ya silaha yana uhusiano gani na kuchangia mada ya Wayahudi?

Hivi mchango wangu wote hapa huuoni ha?di nieleze kama nimepata kuwa na silaha?

Mbona wewe hujatueleza yako au mbona wengine huwaulizi hayo?
Sijatoka nje ya mada bado nipo na Vita Vya Yom Kippur.

Asubuhi nimeeleza vita ya 2006 kati ya Israel na Hizbullah.
Au haya huruhusu?
Upo nje ya mada mzee wangu wewe unaelezea story za vitabuni na sisi tunajadili uzoefu wa kivita uwanja wa mapambano!!!!Hii mada inahusu sana wanajeshi na watu walioenda vitani na kushirki mchakamchaka wa vita na wanajua ubora wa majeshi kwenye uwanja wa mapambano
 
Back
Top Bottom