Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #21
Umesomea kozi za kijeshi kaka????Waliosomea wanauelewa huu uziUshahidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesomea kozi za kijeshi kaka????Waliosomea wanauelewa huu uziUshahidi?
Tuzungumzie vita vya kusini mwa lebanon ila kwa mtazamo wa kijeshi sio ushabiki!!!Haya tuanzie vita vya mwaka gani kati ya IDF na wanamgambo wa hezbolah!!!Tuangalie tactics za majeshi yote mawili na objectives achieved katika vita vyao!!!Nani aliweza kuingia ndani ya eneo la mwenzie na kuachive millitary goals!!!Karibu kaka nakusikilizaKiboko yao ni Hizibullah.
IDF na Mossad ni wasiri mno hata majasusi wao huwezi kuwajualazima kuwa bora kwenye ujasusi na kejeshi.sasa mtu unaenda kufundisha mbinu msikitini na kanisani unazani kuna siri hapo zaidi ya kuchunguzwa na unaowafundisha
Tuanze na vita ya 2006 na kumbuka kipindi hicho ndo Hizibullah ilikuwa imeanzishwa hivyo ilikuwa dhaifu ukilinganisha na sasa.Tuzungumzie vita vya kusini mwa lebanon ila kwa mtazamo wa kijeshi sio ushabiki!!!Haya tuanzie vita vya mwaka gani kati ya IDF na wanamgambo wa hezbolah!!!Tuangalie tactics za majeshi yote mawili na objectives achieved katika vita vyao!!!Nani aliweza kuingia ndani ya eneo la mwenzie na kuachive millitary goals!!!Karibu kaka nakusikiliza
Wanapewa msaada na US hakuna Cha zaidi ya hapo. Wangekua na ability hiyo mnayoisema hapa wasingechinjwa kiasi kile na HitlerKatika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
safi sanaNitaleta uzi mzima kuelezea namna Johnathan alivyoweza kuingia katikati ya vikosi vya majeshi ya misri na kukata main supply yao wakati majeshi ya israel yameshitukizwa na vita siku ya sikukuu yao ya yom kippur!!!Aliingia katikati ya majeshi ya misri na wanajeshi 2000 tu na wakafanikiwa kukata main supply ya wana jeshi wa msiri na kuwateka wote waliokua wamevuka suez canal na kuingia jangwa la Sinai na kulazimisha mazungumzo ya kubadilishana mateka waliokua wametekwa na majeshi ya misri na kupelekwa Cairo na Ismailia !!Wakati huo alikua kilometa 200 kutoka ismailia!!!
IDF ni jeshi la nchi gani?Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
Wakati bin Laden alishusha majengo katikati ya marekaniMOSSAD kiboko ya wavaa kobaz. Wamewapasua Sana hao jamaa huko Lebanon, Syria (Elie Cohen) na Iran
Mna stori za kisengerema nyie, ndege ikiwa kwenye runway inajiandaa kuruka unaweza ikimbilia?Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Kwani kuna Mpuuzi yoyote alikuwa analikataa au analibishia kabisa hili?Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
Iran wewe jamaa utakuwa kichaaMpaka leo kwa mashariki ya kati ni iran,lebanon na syria tu ndio sio washirika wa Israeli!!!!Saudi arabia wananunua technology ya ulinzi wa anga toka kwenye makampuni ya mossad duniani!!!
Huyu ni chizi msameheAlgeria hawaahirikiani na Israel sasa wataanzaje
UAE anacheza katikati Uchumi na fatwa!Kaka hata nchi za kiarabu kama UAE na SUDAN na MOROCCO na EGYPT na JORDAN pamoja na ALGERIA zinapeleka majasusi wake kufundwa na Mossad na zina balozi zisizo rasmi!!!!Sijui mataifa mengine yanafeli wapi kaka???
Amechanganya hapo nadhani ni kitu kisichowezekana ugomvi wa Algeria na Morocco ni hawa Morocco kuwa upande wa Israel na Algeria kuwa upande wa Palestina na ni mahasimu kweli sasa hivi wanataka kwenda sawa baada ya Morocco kuondoa Ubalozi wao Israel...Algeria hawaahirikiani na Israel sasa wataanzaje