IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Kiboko yao ni Hizibullah.
Tuzungumzie vita vya kusini mwa lebanon ila kwa mtazamo wa kijeshi sio ushabiki!!!Haya tuanzie vita vya mwaka gani kati ya IDF na wanamgambo wa hezbolah!!!Tuangalie tactics za majeshi yote mawili na objectives achieved katika vita vyao!!!Nani aliweza kuingia ndani ya eneo la mwenzie na kuachive millitary goals!!!Karibu kaka nakusikiliza
 
Tuzungumzie vita vya kusini mwa lebanon ila kwa mtazamo wa kijeshi sio ushabiki!!!Haya tuanzie vita vya mwaka gani kati ya IDF na wanamgambo wa hezbolah!!!Tuangalie tactics za majeshi yote mawili na objectives achieved katika vita vyao!!!Nani aliweza kuingia ndani ya eneo la mwenzie na kuachive millitary goals!!!Karibu kaka nakusikiliza
Tuanze na vita ya 2006 na kumbuka kipindi hicho ndo Hizibullah ilikuwa imeanzishwa hivyo ilikuwa dhaifu ukilinganisha na sasa.
 
Hivi bila mikataba ya kubadilishana taarifa (Intelligence Sharing Agreements) na mataifa ya kizungu (Anglo-Saxons States/5 Intelligence Eyes ) Israel inaweza kuwa na nguvu hii-hii kijeshi na kijasusi ??? Hebu tuwe wakweli kidogo.

Pia, kila mwaka Israel anapewa msaada wa kijeshi kutoka Marekani, dola za Kimarekani bilioni 3.3, ambazo ni sawa na trilioni 7 za Kitanzania. Mahela yote haya ya kununulia vifaa, kufanya tafiti na kufanyia oparesheni za kijeshi na kijasusi, unadhani watakuwa wa kawaida kweli ???

Leo hii hata sisi Tanzania tupewe trilioni 7 kama bajeti ya jeshi kila mwaka, unadhani TPDF itakuwa ya mchezo mchezo ??? (Japo nina wasiwasi sisi Tanzania tukipewa msaada kama huu, lazima tutaiba tu)
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
Wanapewa msaada na US hakuna Cha zaidi ya hapo. Wangekua na ability hiyo mnayoisema hapa wasingechinjwa kiasi kile na Hitler
 
Nitaleta uzi mzima kuelezea namna Johnathan alivyoweza kuingia katikati ya vikosi vya majeshi ya misri na kukata main supply yao wakati majeshi ya israel yameshitukizwa na vita siku ya sikukuu yao ya yom kippur!!!Aliingia katikati ya majeshi ya misri na wanajeshi 2000 tu na wakafanikiwa kukata main supply ya wana jeshi wa msiri na kuwateka wote waliokua wamevuka suez canal na kuingia jangwa la Sinai na kulazimisha mazungumzo ya kubadilishana mateka waliokua wametekwa na majeshi ya misri na kupelekwa Cairo na Ismailia !!Wakati huo alikua kilometa 200 kutoka ismailia!!!
safi sana
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
IDF ni jeshi la nchi gani?
Mossad ni majasusi wa nchi gani?
 
Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Mna stori za kisengerema nyie, ndege ikiwa kwenye runway inajiandaa kuruka unaweza ikimbilia?
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
Kwani kuna Mpuuzi yoyote alikuwa analikataa au analibishia kabisa hili?
 
Mpaka leo kwa mashariki ya kati ni iran,lebanon na syria tu ndio sio washirika wa Israeli!!!!Saudi arabia wananunua technology ya ulinzi wa anga toka kwenye makampuni ya mossad duniani!!!
Iran wewe jamaa utakuwa kichaa

USSR
 
Algeria hawaahirikiani na Israel sasa wataanzaje
Amechanganya hapo nadhani ni kitu kisichowezekana ugomvi wa Algeria na Morocco ni hawa Morocco kuwa upande wa Israel na Algeria kuwa upande wa Palestina na ni mahasimu kweli sasa hivi wanataka kwenda sawa baada ya Morocco kuondoa Ubalozi wao Israel...
 
Back
Top Bottom