dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
R&D ya Nyuklia ikiisha tu, target ya kwanza kuwa levelled ni Tel AvivKatika lipi kaka tufafanulie ila mada tunazungumzia ubora wa majeshi katika viwanja vya mapambano na ubora wa mashirika ya kijasusi!!!Unaweza kutuletea ubora wa jeshi la ulinzi la iran na combat na military assignment walizocover kwa mafanikio makubwa duniani!!!Tutajie hata tano tuendeleze mjadala ndugu yangu @ Dronedrake
kaeni chonjo Jews wa Homboza