Kwani unafikiri wanaofanya operation za kijasusi duniani lazima awe raia wa nchi husika mpk unasema wapo wa chache asilimia kubwa wanaofanya upelelezi ni watu wa dizaini km ya kwako ambao unahisi israel taifa tukufu kwahyo upo tayari kuilinda kwa lolote kwa kuamini utabarikiwa na mungu kumbe uongo mtupu sasa km ww hvyo unavyoipenda israel halafu uwe soldier tpdf,siku inapangwa tpdf iishambalie israel lazima utasaliti nchi yako utapeleka taarifa tukio likizuiwa credit inapata mossad kuwa wamefanikiwa kugundua tukio kabla halijatokea kumbe kuna mlokole mmoja kasaliti nchi.