Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Inapigwa kila mara, mara wanasayansi wadedishweItaishaje wakati kila wakati mnarudishwa nyuma.
Netanyahu kaapa wao kama Israel hawataruhusu Iran kuwa na reactor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapigwa kila mara, mara wanasayansi wadedishweItaishaje wakati kila wakati mnarudishwa nyuma.
Netanyahu kaapa wao kama Israel hawataruhusu Iran kuwa na reactor
Hapo Middle East waliamua normalize relationship ili waweze kumzuia common enermy, IranKaka weka ushabiki pembeni tuzungumze military issues hapa kiuchambuzi kama wasomi!!!Kama maafisa wa Mossad kila siku wapo Riyadh kukutana na MBS au wapo Algeria kukutana counter part wenzao kwenye mambo ya kijasusi unategemea nini kaka!!!Mimi ni mchambuzi wa mambo ya kijeshi sio shabiki wa mambo ya kisiasa au udini au kimtazamo kaka
Kweli ilaHuwa nawashangaa watu mnapopofukwa na mahaba. Israel is nothing without US and west.
Media zinawatia ujinga mnapofukwa.
Hizi ngonjera ni sawa na wale wazee wa kukwambia Israel imebarikiwa au mtu fulani amebarikiwa kuliko wote. Kwangu mimi ukinieleza eneo fulani ni takatifu nakubali, lakini ujinga wa kunieleza taifa fulani ni teule au sijui mtu fulani kabarikiwa kuliko binadamu wote nakuona taahira.
Ubora wao unajulikana kuanzia 1948,1967, 1973Tunazungumzia ubora wa kijeshi wa IDF vitani na sio siasa wala dini mzee!!!Tunachambua kama wanajeshi na sio wanasiasa karibu sana
😂😂😂 kuna speech yake moja mfalme wa hiyo nchi anatolea mfano kupitia migombaKichekesho! Kuna ka nchi kanajiona ni israel ya afrika ya kati, kanipiga mikwara wenzake wakubwa eti kanasea kako imara. Sasa kasijaribu kuichokoza nchi moja kubwa jirani yake na katajua kako imara kwa kiasi gani. Ile nchi kubwa jirani yake daima ina nguvu za kuwachakaza wachokozi, wawe wakubwa au wadogo kichapo kikubwa hupata
Sababu wao vitu viko wazi. Tanzania wameweka usiri sanaMnajua wanajeshi wa israel kuliko jwtz hapo hata nikuulize cdf wa nchi yako humjui
Ukitumia akili utaelewa mossad sio jeshiBasi hao MOssad wapelekwe Ukraine wasaidie.
Sijui ni nani aliyewaaminisha watu kuwa Israel yupo vizuri sijui ni hayo mavitabu ya dini.
wanachofanya ni ku slow down, mda ni mwalimuItaishaje wakati kila wakati mnarudishwa nyuma.
Netanyahu kaapa wao kama Israel hawataruhusu Iran kuwa na reactor
Nelson...Sasa leo hapa tunazungumza kama wanajeshi uwanja wa mapambano mzee wangu!!!Tunazungumzia vitu tulivyoshuhudia kwa macho na ndio maana mada ni IDF na ubora wao!!!Karibu sana
Iran halali na deni, tuliaWakati kaua wanasanyi zaidi ya 10 bila malipo
Unamfahamu léo major vizuri? Bado sijaona morden soldier anayekuta hata robo ya uthubutu wa huyu jamaa.Nitaleta uzi mzima kuelezea namna Johnathan alivyoweza kuingia katikati ya vikosi vya majeshi ya misri na kukata main supply yao wakati majeshi ya israel yameshitukizwa na vita siku ya sikukuu yao ya yom kippur!!!Aliingia katikati ya majeshi ya misri na wanajeshi 2000 tu na wakafanikiwa kukata main supply ya wana jeshi wa msiri na kuwateka wote waliokua wamevuka suez canal na kuingia jangwa la Sinai na kulazimisha mazungumzo ya kubadilishana mateka waliokua wametekwa na majeshi ya misri na kupelekwa Cairo na Ismailia !!Wakati huo alikua kilometa 200 kutoka ismailia!!!
Ndo atalala naloIran halali na deni, tulia
Duc,Mzee unaweza kuelezea kidogo kuhusu Zionism/uzayoni naona huo ndio unaifanya Israel kuwa hivi ilivo
Nishasoma hivo vitaabu vya uzayoni lakini naheshimu sana michango ya wazee kama ninyi nashukuru piaDuc,
Unaweza kupata hayo yote katika Google.
Delta Force na Seals ni majasusi?Ndiyo taratibu za secret mission zote,majasusi hawatakiwi kuwekwa wazi,even DELTA FORCE,SEAL COMMANDOS tend to remain unidentified after the mission [emoji137]
Himars,Ubora wao unajulikana kuanzia 1948,1967, 1973
Hadi leo
Labda zamani. Siku hizi hata hawajifichi, wengine wana hadi podcasts kwenye youtube. Rob O'neill, member wa Seal Team 6 ambaye ndiye aliyemuua Osama Bin Laden kaandika mpaka kitabu.Duuuh umenikumbusha SEAL waga wanahojiwa huku wamefichwa sura na kubadilishwa sauti!!!Nimekuelewa kaka
Labda kwa sababu wenzetu wapo open sn kwenye mambo yaoMnajua wanajeshi wa israel kuliko jwtz hapo hata nikuulize cdf wa nchi yako humjui
Duc...Nishasoma hivo vitaabu vya uzayoni lakini naheshimu sana michango ya wazee kama ninyi nashukuru pia
Sawa saw mzee wanguDuc...
Kuna sehemu naweza mimi nikachangia lakini katika kusoma somo utajifunza mengi Google.
Vitabu vyote viko hapo pamoja na rejea juu ya rejea (reference and cross reference) kwani hata mie huko ndiko tegemeo langu hata mimi.