IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Himars,
Israel ilianza kudhoofika baada ya Vita Vya Yom Kippur 1973.
Katika vita na Hizbullah 2006 ndipo ile ''myth'' ya nguvu za Israel ilipovunjika hadi leo.

Nimepata kualikwa sehemu fulani mara mbili Zanzibar na Dar es Salaam kuzungumza kuhusu hili.
Tatizo watu wamekariri stori za miaka ya 70 huko. Hawajui kwamba ulimwengu umebadilika. IDF hata kwenye top 10 ya majeshi duniani haipo. Hao Mossad wameshafanya blunders nyingi tu za ujasusi ikiwamo kumuua Ahmed Bouchiki wakidhani ni Ali Hassan Salameh huko Lillerhammer, Norway na jaribio la kumuua Kiongozi wa Hamas, Khalid Meshal huko Amman, Jordan.
 
Mbona ukifatilia kwa kutaka jifunza utaelewa kuwa kilichotokea kilisababishwa na CIA na FBI kutokubadilishana taarifa?
CIA walijua ila hawakumwambia FBI
Kwanini waliamua hivyo?
 
Kaka upo serious kweli kusema Hezbollah ilianzishwa 2006 au wewe sio mchambuzi katika medani za kijeshi??????Unajua mwaka 1982 majeshi ya Israel yalipovamia lebanon,,,washia wakisaidiwa na iran walianzisha kikundi cha Hezbollah chini ya uangalizi wa Ayatolah Ruhollah Khomein au hujui kaka?????
Basi tuachane na kuanzushwa kwake tuje kwenye vita ya 2006 Israel alishindwa hiyo vita.
 
Mada ni ubora wa IDF uwanja wa mapambano na sio siasa!!!!Sisi ni wachambuzi wa kijeshi tunazungumzia vita sio siasa au dini!!!Karibu sana
Israel ni tumesha ishuhudia ikiwa kwenye uwanja wa vita tena dhidi ya wapinzani dhaifu kabisa kama Hamas na Hizibullah lakini Hakuna maajabu yeyote aliyo yaonesha ambayo yanaendana na uhalisia wa hizo sifa unazo ipa.
 
Kaka hata nchi za kiarabu kama UAE na SUDAN na MOROCCO na EGYPT na JORDAN pamoja na ALGERIA zinapeleka majasusi wake kufundwa na Mossad na zina balozi zisizo rasmi!!!!Sijui mataifa mengine yanafeli wapi kaka???
TISS wao wanajua kuibia CCM kura na kujipendekeza serikalini. Sijui ni ujinga gani ulifanyika TISS wakawa attached na Ikulu. Hii ilitakiwa iwa Agency inayojitegemea iwe na uwezo hata wa kumuajibisha Rais na Mkurugenzi wake apitishwe na bunge.
 
Kichekesho! Kuna ka nchi kanajiona ni israel ya afrika ya kati, kanipiga mikwara wenzake wakubwa eti kanasea kako imara. Sasa kasijaribu kuichokoza nchi moja kubwa jirani yake na katajua kako imara kwa kiasi gani. Ile nchi kubwa jirani yake daima ina nguvu za kuwachakaza wachokozi, wawe wakubwa au wadogo kichapo kikubwa hupata
Iran sio? Mbona huyu ni mwepesi sana kwa Israel wewe kiumbe🤣
 
Killing machine. Waarabu wamechezea Sana Chuma kupitia Ujasusi wa jamaa

Wayahudi wanachezea nini hata wakawa mashoga?

Israel reaches record number of openly gay lawmakers​

With addition of Yorai Lahav-Hertzano, the Knesset now has six homosexual MKs, or 5% of parliament, the fourth highest percentage in the world​

By AFP and TOI STAFF22 June 2020, 9:05 pm
Israel reaches record number of openly gay lawmakers

Then Blue and White party member Yorai Lahav-Hertzano in the Knesset, May 14, 2019. (Hadas Parush/Flash90)
 
Muda huo hawakuwa nchi na hawakuwa na makazi maalumu.

Kumbuka baada ya kupelekwa Palestine hapo ndo walianza kuonesha maajabu
Sio kweli, mbona wakati wa WW 2 walikua na jeshi kabisa kule Poland la wayahudi ila walichakazwa na Hitler kama Wana uwezo wa intelijensia au ni geniuses kwanini hawakuzuia mauaji Yale?

Hata hapo palestina hakuna maajabu zaidi ya kupewa matrillion Kila mwaka obviously hiyo pesa hata angepewa Jordan au Lebanon wangekuwa hatari sana. So labda useme pesa za mmarekani ndio za muhimu ila sio Mossad.
 
Unazungumzia enzi za giza mkuu?
Ndio maana nataka tukubaliane kuwa kabla ya pesa za mabeberu huyo Israel alikua mdhaifu tu. Na Sio Hitler tu hata wakati wa vita za crusade hiyo Israel ilitandikwa haswaa na wayahudi kuchinjwa kama kuku. Same as huko France na Lithuania na Russia jamii za wayahudi waliuawa kwa maelfu.

So hawana Ubavu wowote kijeshi ila wanaponea msaada wa wazungu tu. Hata palestina ikipewa Trillion hata 10 tu kwa mwaka unadhani watabaki hivyo hivyo.
 
Baada ya ila saga ya kuuwawa kizembe na Hitler ndiyo wakaapa kuwa never again,watajilinda kwa kila hali kuepuka kutokea mauaji Kama yale ya wakati wa utawala wa Nazi
Hitler haikuwa ya kwanza mkuu.
Walichinjwa kipindi Cha Russian revolution.
Walichinjwa sana huko Eastern Europe in 1800s.
Waliuawa sana France na Portugal.

So miaka yote walikua wanapewa kipigo ila tofauti kwa Sasa wanapewa mapesa na mabeberu na pia ni supporters wakubwa wa ushoga so pesa zinamwagika tu.

Otherwise yatajirudia Yale ya Hitler
 
Mtasema, mtapanda na kushuka, kiboko wa yoooote funga kazi ni:
IMG_1919.jpg
 
Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Naam hiyo spirit [emoji91]
 
Back
Top Bottom