Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Je US military ni ya ngapi kwa ubora?.... kumbuka US hutoa mabillioni ya dola kufadhili ulinzi wa Israel mfano teknolojia ya Iron dome.Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
T14 Armata HIMARS Sela Son