IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi????
Je US military ni ya ngapi kwa ubora?.... kumbuka US hutoa mabillioni ya dola kufadhili ulinzi wa Israel mfano teknolojia ya Iron dome.

T14 Armata HIMARS Sela Son
 
Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Daah! Mkuu umezidisha chumvi asee.
 
Je US military ni ya ngapi kwa ubora?.... kumbuka US hutoa mabillioni ya dola kufadhili ulinzi wa Israel mfano teknolojia ya Iron dome.

T14 Armata HIMARS Sela Son
Swali zuri mkuu sababu nilisema IDF ni jeshi bora kabisa ila sikusema namba ngapi ila ukija kwa ranki USA inaongoza kwa mbali sana kuliko nchi nyingine yoyote ile!!!Kutoa hela kufadhili project,s na kuwa na wanasayansi wa kijeshi wabunifu ni vitu viwili tofauti ila huwezi kutenganisha CIA na MOSSAD ni washirika!!!Katika ranki za majeshi bora duniani USAF,IDF zimo sababu muundo wa marine,s wa nchi kavu wa USA ni sawa kabisa na IDF tofauti ni ndogo!!!Kuhusu project ya iron dome ripoti nyingi hazina ukweli na mossad hawajotoa ripoti kamili kwa maslahi ya kiulinzi wao na washirika wao!!
 
Swali zuri mkuu sababu nilisema IDF ni jeshi bora kabisa ila sikusema namba ngapi ila ukija kwa ranki USA inaongoza kwa mbali sana kuliko nchi nyingine yoyote ile!!!Kutoa hela kufadhili project,s na kuwa na wanasayansi wa kijeshi wabunifu ni vitu viwili tofauti ila huwezi kutenganisha CIA na MOSSAD ni washirika!!!Katika ranki za majeshi bora duniani USAF,IDF zimo sababu muundo wa marine,s wa nchi kavu wa USA ni sawa kabisa na IDF tofauti ni ndogo!!!Kuhusu project ya iron dome ripoti nyingi hazina ukweli na mossad hawajotoa ripoti kamili kwa maslahi ya kiulinzi wao na washirika wao!!
Umesomea jeshi au unaishi karibu na kambi za jeshi? Una andika upuuzi kila wakati na bora ubaki tu kama shabiki kuliko kujiona mchambuzi.
 
Amechanganya hapo nadhani ni kitu kisichowezekana ugomvi wa Algeria na Morocco ni hawa Morocco kuwa upande wa Israel na Algeria kuwa upande wa Palestina na ni mahasimu kweli sasa hivi wanataka kwenda sawa baada ya Morocco kuondoa Ubalozi wao Israel...
We talk about underground projects za ujasusi Mossad wanashirikiana na mashirika ya kijasusi ya Morroco na Algeria na wanawafundisha makachero wa nchi zote mbili jinsi ya kupambana na wapinzani wao kisiasa ndani na nje ya nchi zao hasa wale wenye siasa kali wanaotaka kuchukua madaraka!!!Tofautisha kati ya siasa za majukwaani na kwenye television na underground project,s za mashirika ya kijasusi ya nchi husika!!!
 
Swali jepesi kama hilo, unaliita tusi!! Jeshi gani hilo ulilopitia?
Wasomi hatuna lugha kama hizo za kejeli na ghariba kama kusema umeandika""Upuuzi"""!!!Sisi wasomi tunaheshimu maoni ya kila mtu na tunajadiliana kwa heshima na taadhima kama wasomi!!!Wewe umeshasema nimeandika"Upuuzi mtupu""basi haina haja ya mimi kufanya mjadala na wewe!!!Acha niendelee na wadau wengine
 
Israel ni wachache sana, ila Sasa , Fikiria opereshen zao za kijasusi ni Dunia nzima
Baada ya Hitler kuwachinja Kama kuku waliamua kukataa kuchinjwa hovyo, baada ya 1948kuundwa kwa Taifa la Israel, First priority was the security of the state of Israel maana wanazungukwa na maadui zao kila kono.
Maana Qur'an 5:51 inawataka Waislamu kutokua na urafiki na mayahudi na WAKRISTO [emoji137][emoji137] Sasa hapo ni lazima wawe tayari kila Wakati.
Unakumbuka six days war of 1967, Israel vs all Islamic countries in the middle East.
 
Tuanze na vita ya 2006 na kumbuka kipindi hicho ndo Hizibullah ilikuwa imeanzishwa hivyo ilikuwa dhaifu ukilinganisha na sasa.
Kaka upo serious kweli kusema Hezbollah ilianzishwa 2006 au wewe sio mchambuzi katika medani za kijeshi??????Unajua mwaka 1982 majeshi ya Israel yalipovamia lebanon,,,washia wakisaidiwa na iran walianzisha kikundi cha Hezbollah chini ya uangalizi wa Ayatolah Ruhollah Khomein au hujui kaka?????
 
Wasomi hatuna lugha kama hizo za kejeli na ghariba kama kusema umeandika""Upuuzi"""!!!Sisi wasomi tunaheshimu maoni ya kila mtu na tunajadiliana kwa heshima na taadhima kama wasomi!!!Wewe umeshasema nimeandika"Upuuzi mtupu""basi haina haja ya mimi kufanya mjadala na wewe!!!Acha niendelee na wadau wengine
Hujui tofauti ya swali na tusi na bado unajikaza kujiita msomi?
 
Baada ya Hitler kuwachinja Kama kuku waliamua kukataa kuchinjwa hovyo, baada ya 1948kuundwa kwa Taifa la Israel, First priority was the security of the state of Israel maana wanazungukwa na maadui zao kila kono.
Maana Qur'an 5:51 inawataka Waislamu kutokua na urafiki na mayahudi na WAKRISTO [emoji137][emoji137] Sasa hapo ni lazima wawe tayari kila Wakati.
Unakumbuka six days war of 1967, Israel vs all Islamic countries in the middle East.
Hivi vita navikumbuka sana na katika vyuo vya kijeshi historia yake waga ni somo pekee linalojitegemea na wanafunzi wanafanyia mitihani kaka!!!
 
kiboko yao ni Iran
Katika lipi kaka tufafanulie ila mada tunazungumzia ubora wa majeshi katika viwanja vya mapambano na ubora wa mashirika ya kijasusi!!!Unaweza kutuletea ubora wa jeshi la ulinzi la iran na combat na military assignment walizocover kwa mafanikio makubwa duniani!!!Tutajie hata tano tuendeleze mjadala ndugu yangu @ Dronedrake
 
Back
Top Bottom