IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Umeanza tena kurudi kwenye kichaka chako cha "frontline".

IDF wamefanya military operations nyingi kwa mafanikio, zikiwemo daredevil rescue missions. Kwa upande wangu, hiki ni kipande kidogo kwenye kuamua ubora wao.

To become the best, lazima tuangalie utafanya nini endapo ukipambana na big boys wenzio. Ndio hapo ninapopata mashaka.

Kupima ubora wa IDF kwa Hezbollah na waarabu wa kipindi kile, tutakua tunafanya makosa. Ndio maana hata wewe umepata mashaka kusema Israel itaishinda Iran.

Tukisema nani anashinda kati ya Marekani na Iran, obviously tutakubaliana Marekani anashinda. Ila kwa Israel Vs Iran, sote tunapata mashaka. Huo ndio ubora ninaouzungumzia mimi brother!
Smart...
Sijui umetumia vigezo vipi kusema Marekani ikiingia vitani ni Iran itashinda vita.
Marekani walishindwa vita na Vietnam 1975.

Kipi kitakachowafanya washinde vita na Iran?

Kuhusu vita vya Israel na Iran Mungu apishie mbali madhara yake yatakuwa makubwa sana.

Israel haiwezi kuhimili vita vya muda mrefu hata kama itasaidiwa na Marekani.
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Ethiopia hawakutawaliwa na mkoloni, unawezaje kusema sio jeshi bora?
 
Hapo sasa tunaelewana mzee wangu mimi mada yangu ni ubora wa IDF katika uwanja wa mapambano waasisi wa millitary tactics zenye matokeo chanya kabisa kwenye uwanja wa mapambano (Mlango wa kifo) kama 2PH,CDO,Red line,s coverage na nyinginezo nyingi katika operation zake duniani kwa miaka zaidi ya 30 kama jeshi bora zaidi!!!Hata mimi sina tatizo na hilo mzee wangu Said mohamed karibu sana!!!
Nelson...
RankCountryPower Index
1United States0.0606
2Russia0.0681
3China0.0691
4India0.0953
5Japan0.1501
6South Korea0.1509
7France0.1702
8United Kingdom0.1717
9Egypt0.1872
10Brazil0.1988
11Turkey0.2098
12Italy0.2111
13Germany0.2186
14Iran (Islamic Republic of)0.2191
15Pakistan (Islamic Republic of)0.2364
16Indonesia0.2544
17Saudi Arabia0.3034
18Israel
Source: Ranked: Military Strength of Nations, 2020 (Comparing Global Armed Forces) - CEOWORLD magazine
 
Ni swali gumu kidogo sababu majeshi yote yapo vizuri both Iran national guard and IDF ila kila moja kwa sehemu yake!!!Ngoja tuangalie mambo machache kama man power in both side's,Latest weapon's,Intelligence tactics,Number,s of allies,Weapons of mass destruction in both sides!!Na cha msingi kabisa ni Air coverage to avoid long range strike's in both side's!!!!Kwenye ground offensive atakae mfuata mwenzake atakua na risk zaidi!!!!!Ikitokea all out war itahusisha zaidi allies wa pande zote mbili sio hizo nchi mbili pekee kwa sababu za kijiografia na ni vigumu kutabiri mshindi!!!!!
Hilo ni jambo gumu inaweza kuleta vita ya tatu ya dunia kwanini?Israel inalindwa western countries ikiongozwa na US pili kidini wana wafuasi ambao wataenda kutetea nchi yao ya ahadi kwa damu na moyo wote...Kwa upande wa Iran wana pata support kwa nchi kama Russia china pia North korea ana weza kuingilia hivi vita lakini waumini Kishia popote duniani wana weza kuingia kuipigania Iran kumbuka Iran kijeshi yupo yupo vizuri sana sambamba na Israel...Kwa upande wa pili ambalo dunia ina ogopa ni matumizi ya nyuklia kwa pande zote mbili....Lakini Israel kikwazo chake kikubwa ni Iran hili kuitawala middle east kwa usalama wa haya mataifa mawili ni kuishi kwa chokochoko zisizo na madhara makubwa...
 
nadhani nakuelewa vizuri sana, wangekuwa tu na uwezo wa kiuchumi kama marekani au china au urusi wangekuwa hatari sana, na kipato kinawanyima fursa kadhaa za kutumia akili zao zaidi. Binafsi naona pia ni jambo jema huenda wengejiona sana, na huenda usalama wa majirani zao ungekuwa shakani zaidi, Mungu hakupi vyote.
Ungekua mtu uliyepata nafasi ya kua frontline na vikosi vya kijeshi popote pale duniani utaelewa kwanini nasema IDF ni jeshi bora zaidi linapokuja suala la kupata 100+ marks katika uwanja wa mapambano!!!!!Kila nchi ina majeshi imara na madhubuti ila ubora wa jeshi husika katika uwanja wa mapambano(Mlango wa kifo) ni kitu kingine tofauti kabi
 
Hilo ni jambo gumu inaweza kuleta vita ya tatu ya dunia kwanini?Israel inalindwa western countries ikiongozwa na US pili kidini wana wafuasi ambao wataenda kutetea nchi yao ya ahadi kwa damu na moyo wote...Kwa upande wa Iran wana pata support kwa nchi kama Russia china pia North korea ana weza kuingilia hivi vita lakini waumini Kishia popote duniani wana weza kuingia kuipigania Iran kumbuka Iran kijeshi yupo yupo vizuri sana sambamba na Israel...Kwa upande wa pili ambalo dunia ina ogopa ni matumizi ya nyuklia kwa pande zote mbili....Lakini Israel kikwazo chake kikubwa ni Iran hili kuitawala middle east kwa usalama wa haya mataifa mawili ni kuishi kwa chokochoko zisizo na madhara makubwa...
Plumber...
Katika kitabu hicho hapo chini katika Epilogue yaani Jumuisho waandishi wanaeleza kuwa Israel inataka sana Marekani ipigane na Iran.

Waandishi wanahitimisha kwa kusema kuwa Israel bila msaada wa Marekani hawaiwezi Iran.

1675769774768.png
 
Smart...
Sijui umetumia vigezo vipi kusema Marekani ikiingia vitani ni Iran itashinda vita.
Marekani walishindwa vita na Vietnam 1975.

Kipi kitakachowafanya washinde vita na Iran?

Kuhusu vita vya Israel na Iran Mungu apishie mbali madhara yake yatakuwa makubwa sana.

Israel haiwezi kuhimili vita vya muda mrefu hata kama itasaidiwa na Marekani.
Mzee wangu Mohamed Said, ni maoni yangu kua Marekani atashinda vita dhidi ya Iran, na itakua vita ya upande mmoja kama ilivyo kwa Urusi na Ukraine. Ninazo sababu zifuatazo.

- Marekani ana uchumi imara. Anaweza kumudu kuendesha vita kwa muda mrefu na taifa lolote hapa duniani. Meanwhile, uchumi wa Iran sio imara. Na hauwezi kumudu vita vya muda mrefu.

- Silaha. Marekani ni taifa la pili kwa idadi ya nuclear warheads duniani. Maelfu ya ndege vita, vifaru, battleships, na mifumo imara ya ulinzi wa anga. Iran hana aircraft carrier hata moja, wakati marekani anazo 11. Nikiangalia n nguvu kazi ya kijeshi, naona Marekani yuko mbali sana kumzidi Iran.

- Washirika. Marekani anao washirika wengi zaidi na wenye nguvu kumzidi Iran. Kwa sasa Marekani amekua na vibaraka hadi kwenye nchi jirani ya Iran, kitu ambacho ni kinyume kwa upande wa Iran. Pia Iran amekua na migogoro na majirani zake, kitu kinachompa adui faida dhidi yake.

- Geographical advantage. Marekani na Iran wako mbali kijiografia. Lakini kijeshi, Marekani yuko karibu sana na Iran wakati Iran yuko mbali sana na Marekani. Hapa naongelea wingi wa military bases za Marekani zilizoko hapo mashariki ya kati. Hizi zinamuwezesha Marekani kumshambulia Iran kutokea karibu kabisa, wakati Iran atatumia umbali mrefu sana kumshambulia Marekani kwa sababu hana military base iliyoko karibu na Marekani.

Kwa uchache kabisa, haya yananifanya niamini Marekani atashinda vita kirahisi dhidi ya Iran.
 
nadhani nakuelewa vizuri sana, wangekuwa tu na uwezo wa kiuchumi kama marekani au china au urusi wangekuwa hatari sana, na kipato kinawanyima fursa kadhaa za kutumia akili zao zaidi. Binafsi naona pia ni jambo jema huenda wengejiona sana, na huenda usalama wa majirani zao ungekuwa shakani zaidi, Mungu hakupi vyote.
Upo sahii kaka
 
Hilo ni jambo gumu inaweza kuleta vita ya tatu ya dunia kwanini?Israel inalindwa western countries ikiongozwa na US pili kidini wana wafuasi ambao wataenda kutetea nchi yao ya ahadi kwa damu na moyo wote...Kwa upande wa Iran wana pata support kwa nchi kama Russia china pia North korea ana weza kuingilia hivi vita lakini waumini Kishia popote duniani wana weza kuingia kuipigania Iran kumbuka Iran kijeshi yupo yupo vizuri sana sambamba na Israel...Kwa upande wa pili ambalo dunia ina ogopa ni matumizi ya nyuklia kwa pande zote mbili....Lakini Israel kikwazo chake kikubwa ni Iran hili kuitawala middle east kwa usalama wa haya mataifa mawili ni kuishi kwa chokochoko zisizo na madhara makubwa...
Upo sahii kaka
 
Nelson...
RankCountryPower Index
1United States0.0606
2Russia0.0681
3China0.0691
4India0.0953
5Japan0.1501
6South Korea0.1509
7France0.1702
8United Kingdom0.1717
9Egypt0.1872
10Brazil0.1988
11Turkey0.2098
12Italy0.2111
13Germany0.2186
14Iran (Islamic Republic of)0.2191
15Pakistan (Islamic Republic of)0.2364
16Indonesia0.2544
17Saudi Arabia0.3034
18Israel
Source: Ranked: Military Strength of Nations, 2020 (Comparing Global Armed Forces) - CEOWORLD magazine
Hizo ni data tu mzee wangu kwenye uwanja wa mapambano ni uhalisia!!!!Wanajeshi hawaishi kwa data bali wanaishi kwa uhalisia wa kinachotea mstari wa mbele kwenye eneo husika na ushiriki wa mapambano!!!!Taasisi yoyote inaweza kutoa data sikupingi mzee wangu
 
Mzee wangu Mohamed Said, ni maoni yangu kua Marekani atashinda vita dhidi ya Iran, na itakua vita ya upande mmoja kama ilivyo kwa Urusi na Ukraine. Ninazo sababu zifuatazo.

- Marekani ana uchumi imara. Anaweza kumudu kuendesha vita kwa muda mrefu na taifa lolote hapa duniani. Meanwhile, uchumi wa Iran sio imara. Na hauwezi kumudu vita vya muda mrefu.

- Silaha. Marekani ni taifa la pili kwa idadi ya nuclear warheads duniani. Maelfu ya ndege vita, vifaru, battleships, na mifumo imara ya ulinzi wa anga. Iran hana aircraft carrier hata moja, wakati marekani anazo 11. Nikiangalia n nguvu kazi ya kijeshi, naona Marekani yuko mbali sana kumzidi Iran.

- Washirika. Marekani anao washirika wengi zaidi na wenye nguvu kumzidi Iran. Kwa sasa Marekani amekua na vibaraka hadi kwenye nchi jirani ya Iran, kitu ambacho ni kinyume kwa upande wa Iran. Pia Iran amekua na migogoro na majirani zake, kitu kinachompa adui faida dhidi yake.

- Geographical advantage. Marekani na Iran wako mbali kijiografia. Lakini kijeshi, Marekani yuko karibu sana na Iran wakati Iran yuko mbali sana na Marekani. Hapa naongelea wingi wa military bases za Marekani zilizoko hapo mashariki ya kati. Hizi zinamuwezesha Marekani kumshambulia Iran kutokea karibu kabisa, wakati Iran atatumia umbali mrefu sana kumshambulia Marekani kwa sababu hana military base iliyoko karibu na Marekani.

Kwa uchache kabisa, haya yananifanya niamini Marekani atashinda vita kirahisi dhidi ya Iran.
Smart...
Hakika hizo ni hoja nzito sana.
Hebu nielimishe ilikuwaje Marekani akashindwa Vietnam?
 
Mzee wangu Mohamed Said, ni maoni yangu kua Marekani atashinda vita dhidi ya Iran, na itakua vita ya upande mmoja kama ilivyo kwa Urusi na Ukraine. Ninazo sababu zifuatazo.

- Marekani ana uchumi imara. Anaweza kumudu kuendesha vita kwa muda mrefu na taifa lolote hapa duniani. Meanwhile, uchumi wa Iran sio imara. Na hauwezi kumudu vita vya muda mrefu.

- Silaha. Marekani ni taifa la pili kwa idadi ya nuclear warheads duniani. Maelfu ya ndege vita, vifaru, battleships, na mifumo imara ya ulinzi wa anga. Iran hana aircraft carrier hata moja, wakati marekani anazo 11. Nikiangalia n nguvu kazi ya kijeshi, naona Marekani yuko mbali sana kumzidi Iran.

- Washirika. Marekani anao washirika wengi zaidi na wenye nguvu kumzidi Iran. Kwa sasa Marekani amekua na vibaraka hadi kwenye nchi jirani ya Iran, kitu ambacho ni kinyume kwa upande wa Iran. Pia Iran amekua na migogoro na majirani zake, kitu kinachompa adui faida dhidi yake.

- Geographical advantage. Marekani na Iran wako mbali kijiografia. Lakini kijeshi, Marekani yuko karibu sana na Iran wakati Iran yuko mbali sana na Marekani. Hapa naongelea wingi wa military bases za Marekani zilizoko hapo mashariki ya kati. Hizi zinamuwezesha Marekani kumshambulia Iran kutokea karibu kabisa, wakati Iran atatumia umbali mrefu sana kumshambulia Marekani kwa sababu hana military base iliyoko karibu na Marekani.

Kwa uchache kabisa, haya yananifanya niamini Marekani atashinda vita kirahisi dhidi ya Iran.
Kikwazo itakuwa israel kwa sababu mpaka sasa dunia haina kinga yoyote ya kuzuia bomu la nyuklia kwa mujibu wa US Iran anazo na pia Israel anazo hii itakuwa sio vita tena ya pande mbili bali ya dunia nzima..Kwa mantiki hiyo hiyo vita haiwezi kutokea kati ya Iran na Marekani...
 
Hizo ni data tu mzee wangu kwenye uwanja wa mapambano ni uhalisia!!!!Wanajeshi hawaishi kwa data bali wanaishi kwa uhalisia wa kinachotea mstari wa mbele kwenye eneo husika na ushiriki wa mapambano!!!!Taasisi yoyote inaweza kutoa data sikupingi mzee wangu
Nelson...
Ulikuwa unayajua haya?
Mimi yamenishtua sana.

Inaelekea hukupendezwa na ukweli huu.

Nelson jifunze kuandika vizuri.
Usiweke !!!

Si kama ukifata ninachokufunza utakuwa umedhalilika.

Hapana sote tumefunzwa na watu pale tulipokuwa hatujui.

Nakuambia hivi kwa kuwa unasomwa na watu na haifai utoe picha ya mtu asiejua kuandika vizuri.

Wataitilia shaka elimu yako.
 
Smart...
Hakika hizo ni hoja nzito sana.
Hebu nielimishe ilikuwaje Marekani akashindwa Vietnam?
Mzee Mohamed Said, kwanza kabisa naamini unafahamu kua USA Vs Vietnam haikuwa full-scale war. USA alifanya mashambulizi na kuisupport kijeshi Vietnam kusini dhidi ya Vietnam kaskazini.

Mpaka hapo, tofauti inaonekana kua nguvu inayotumika kwenye full-scale war ni tofauti na nguvu inayotumika kwenye hizi military operations. USA alikua na silaha za nyuklia wakati wa vita ya Vietnam, lakini hakuzitumia. Ni kama military operation ya Urusi pale Ukraine, nguvu anayoitumia Urusi ni kiasi kidogo kulinganisha na uwezo wake halisi.

Aidha, kuna mambo kadhaa yaliyochangia Marekani kushindwa vita ya Vietnam.

- Mgawanyiko baina ya wamarekani. Raia wengi wa Marekani hawakuona umuhimu wa hii vita. Wamarekani wengi waliipinga hii vita . Joto la cold war halikuwapata wamarekani wote, kwahiyo upinzani wa Marekani kwenye vita ukaanzia hapohapo Marekani kwa raia wake wenyewe.

- Upande wa mbinu za kimedani, Marekani alikua anapambana na vikundi vidogo vidogo vya wapiganaji wa msituni, ambavyo vilikua vikijificha kwenye mapori manene na kufanya guerilla attacks. Wamarekani hawakua na uzoefu wa mapambano ya namna hii. Kiufupi, ilikua rahisi kwa hivi vikundi kuwashambulia wamarekani, kuliko wamarekani kuwashambulia hawa wapiganaji wa Vietnam.

- lakini pia, Marekani alikua "invading force", wakati Vietnam ilikua inapambana kuilinda ardhi yake. Hapa morali ya upiganaji lazima iwe tofauti.


Naamini mzee wangu Mohamed Said unaiona tofauti kubwa iliyopo kati ya Vietnam na Iran.

Badala ya kupigana na un-industrialized country, inayotumia guerilla tactics, this time atakua anapigana na industrialized country tena ya miji ya kueleweka. It's going to be a direct war, na sio mapigano ya kujificha. Badala ya kutupa mabomu porini ambamo haijulikani kuna watu wangapi, mabomu yatashushwa kwenye miji kama Tehran iliyobeba miundombinu muhimu ya adui.

Lakini pia this time, Marekani atakua anapambana na real threat, adui anaeweza kushambulia badala ya adui anaejilinda pekee. Itakua ni full-scale war!
 
Nelson...
Ulikuwa unayajua haya?
Mimi yamenishtua sana.

Inaelekea hukupendezwa na ukweli huu.
Nina data kama hizo kutoka vyanzo zaidi ya kumi ila hazina uzito!!Ubora wa majeshi haupo kwenye orodha ya data za Google mzee wangu!!!Tunajadili ufanisi katika operation za uwanja wa mapambano!!!
 
Mzee Mohamed Said, kwanza kabisa naamini unafahamu kua USA Vs Vietnam haikuwa full-scale war. USA alifanya mashambulizi na kuisupport kijeshi Vietnam kusini dhidi ya Vietnam kaskazini.

Mpaka hapo, tofauti inaonekana kua nguvu inayotumika kwenye full-scale war ni tofauti na nguvu inayotumika kwenye hizi military operations. USA alikua na silaha za nyuklia wakati wa vita ya Vietnam, lakini hakuzitumia. Ni kama military operation ya Urusi pale Ukraine, nguvu anayoitumia Urusi ni kiasi kidogo kulinganisha na uwezo wake halisi.

Aidha, kuna mambo kadhaa yaliyochangia Marekani kushindwa vita ya Vietnam.

- Mgawanyiko baina ya wamarekani. Raia wengi wa Marekani hawakuona umuhimu wa hii vita. Wamarekani wengi waliipinga hii vita . Joto la cold war halikuwapata wamarekani wote, kwahiyo upinzani wa Marekani kwenye vita ukaanzia hapohapo Marekani kwa raia wake wenyewe.

- Upande wa mbinu za kimedani, Marekani alikua anapambana na vikundi vidogo vidogo vya wapiganaji wa msituni, ambavyo vilikua vikijificha kwenye mapori manene na kufanya guerilla attacks. Wamarekani hawakua na uzoefu wa mapambano ya namna hii. Kiufupi, ilikua rahisi kwa hivi vikundi kuwashambulia wamarekani, kuliko wamarekani kuwashambulia hawa wapiganaji wa Vietnam.

- lakini pia, Marekani alikua "invading force", wakati Vietnam ilikua inapambana kuilinda ardhi yake. Hapa morali ya upiganaji lazima iwe tofauti.


Naamini mzee wangu Mohamed Said unaiona tofauti kubwa iliyopo kati ya Vietnam na Iran.

Badala ya kupigana na un-industrialized country, inayotumia guerilla tactics, this time atakua anapigana na industrialized country tena ya miji ya kueleweka. It's going to be a direct war, na sio mapigano ya kujificha. Badala ya kutupa mabonu porini ambamo haijulikani kuna watu wangapi, mabomu yatashushwa kwenye miji kama Tehran iliyobeba miundombinu muhimu ya adui.

Lakini pia this time, Marekani atakua anapambana na real threat, adui anaeweza kushambulia badala ya adui anaejilinda pekee. Itakua ni full-scale war!
Smart...
Hakika wewe "smart" Mashaallah kama jina ulilochagua.

Umenisomesha.

Allah akuongeze elimu itunufaishe wengi.
 
Nelson...
Ulikuwa unayajua haya?
Mimi yamenishtua sana.

Inaelekea hukupendezwa na ukweli huu.

Nelson jifunze kuandika vizuri.
Usiweke !!!

Si kama ukifata ninachokufunza utakuwa umedhalilika.

Hapana sote tumefunzwa na watu pale tulipokuwa hatujui.

Nakuambia hivi kwa kuwa unasomwa na watu na haifai utoe picha ya mtu asiejua kuandika vizuri.

Wataitilia shaka elimu yako.
Mzee wangu fani yetu hatuandiki sana ni watu wa vitendo na codes!!!!Nadhani itakua busara ukijitolea kunifundisha kuandika vizuri mzee wangu sababu naamini hiyo ni fani yako!!
 
Nina data kama hizo kutoka vyanzo zaidi ya kumi ila hazina uzito!!Ubora wa majeshi haupo kwenye orodha ya data za Google mzee wangu!!!Tunajadili ufanisi katika operation za uwanja wa mapambano!!!
Nelson...
Unadhani wewe unaweza kutegemewa kwa elimu za mambo kupita Google?

Unadhani inawezekana kukuweka wewe kama source ikapuuzwa Google?

Source hata 100 zinaweza zikashindana lakini wewe huna nafasi hapo.

Haiwezekani kwani hapo ni ushindani wa wataalamu na tafiti zao.

Wewe huna nafasi.
 
Nelson...
Unadhani wewe unaweza kutegemewa kwa elimu za mambo kupita Google?

Unadhani inawezekana kukuweka wewe kama source ikapuuzwa Google?

Source hata 100 zinaweza zikashindana lakini wewe huna nafasi hapo.

Haiwezekani kwani hapo ni ushindani wa wataalamu na tafiti zao.

Wewe huna nafasi.
Unazungumza kama raia nakuelewa mzee wangu na upo sawa kabisa!!!Ila medani za kiintelenjisia tuna lugha tofauti kabisa linapokuja suala la sources (Vyanzo vya habari)
 
Back
Top Bottom