IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mambo yanabadilika mkuu tokea 1940s hadi sasa utegemee hali iwe ileile? Nchi zingine zinapiga hatua kila baada ya miaka kadhaa.
Tanzania ndiyo nchi ambayo inadhani maendeleo ya vitendo ni adui kwake.
Tanzania tumebarikiwa kupata viongozi wa ovyo sana. Mungu inusuru Tanzania yetu na vizazi vijavyo
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Binafsi kwa uelewa wangu mdogo na nnavyofahamu ni kwamba IDF inafanya kazi kwa ukaribu sana na MOSSAD ikishirikiana na akina CIA. Kuna operations nyingi sana MOSSAD imefanya na kufanikiwa kwa asilimia zote. Kuna vita ya ujasusi iliwahi kuwepo baina ya israel na misri pia israel na syria ambapo israel waliukwaa eneo la golan heights na ndio sababu kwann syria haipatani na israel mpaka leo na hata ktk vita vya syria MOSSAD iliendesha operation ya kimya sana ndani ya ardhi ya syria kwa kupandikiza mamluki wao ambae ni mwanamke makazi yake yalikuwa ramda nchini syria na huyu mwanamke ndie alikuwa akinasa taarifa la kundi linalodhaminiwa na ASSAD na HASSAN ROUHANI na kijana wao alipewa jina GHOST huyu ndie aliekuwa intelligent soldier na aliwahi kumshika mateka mwanajeshi wa IDF mwenye uraia wa marekani pia alikuwa kwenye airforce ya marekani kabla kujiunga na IDF na kuwa ktk kikosi cha anga cha IDF pia huyu mwanajeshi alitekeleza order nyingi za kuishambulia SYRIA kwa anga
 
Asante sana kwa haya maelezo japo naona ni maelezo ya juu juu tu.Nilidhani utatuwekea hapa facts za jinsi Hizbullah 'walivyoshinda' hiyo vita.Ungetuwekea pia na msaada wa kijeshi waliokuwa wanapatiwa na Iran,lakini pia Hizbullah 'washinde' vita halafu Israel iendelee kuutawala huo ukanda,inaingia akilini kweli?

Nasubiri na maelezo ya vita vya Israel vs Hamas pia ambalo ndilo lilikuwa swali langu la msingi.
Nyamizi,
Nimechangia kile ninachokijua.
Nimeweka na ''notes'' za muhadhara wangu.

Ikiwa sikueleza kila kitu au unaona kuwa Hizbullah hawakushinda hakuna tatizo.

Ikiwa wewe una habari zaidi katika haya tuwekee hapa naamini wengi tutapenda kusoma.
 
Binafsi kwa uelewa wangu mdogo na nnavyofahamu ni kwamba IDF inafanya kazi kwa ukaribu sana na MOSSAD ikishirikiana na akina CIA. Kuna operations nyingi sana MOSSAD imefanya na kufanikiwa kwa asilimia zote. Kuna vita ya ujasusi iliwahi kuwepo baina ya israel na misri pia israel na syria ambapo israel waliukwaa eneo la golan heights na ndio sababu kwann syria haipatani na israel mpaka leo na hata ktk vita vya syria MOSSAD iliendesha operation ya kimya sana ndani ya ardhi ya syria kwa kupandikiza mamluki wao ambae ni mwanamke makazi yake yalikuwa ramda nchini syria na huyu mwanamke ndie alikuwa akinasa taarifa la kundi linalodhaminiwa na ASSAD na HASSAN ROUHANI na kijana wao alipewa jina GHOST huyu ndie aliekuwa intelligent soldier na aliwahi kumshika mateka mwanajeshi wa IDF mwenye uraia wa marekani pia alikuwa kwenye airforce ya marekani kabla kujiunga na IDF na kuwa ktk kikosi cha anga cha IDF pia huyu mwanajeshi alitekeleza order nyingi za kuishambulia SYRIA kwa anga
Kuna operation nyingine kwa sababu za kiusalama na kulinda taarifa na maadili ya tasnia ya kijasusi siwezi kuzielezea ila nitakua nazielezea kwa kufupi ubora wa jeshi la IDF na MOSSAD kama mwangaza wa majeshi na mashirika mengine ya kijasusi kujifunza kupitia wao
 
Atakaejibu hii hoja yako kwa ufasaha kabisa atakuwa ameitendea haki hii mada.
Hakuna alieweza kujibu wote wanazungimzia vita kama hoja na simulizi za kisiasa ila sio wachambuzi na watafiti wa kinachotokea uwanja wa mapambano
 
Kuna operation nyingine kwa sababu za kiusalama na kulinda taarifa na maadili ya tasnia ya kijasusi siwezi kuzielezea ila nitakua nazielezea kwa kufupi
Nelson...
Ikiwa wewe unazo hizo taarifa sasa kinacholindwa ambacho ni siri ni kipi?

Wewe utakuaje na taarifa hizo kisha ujinadi hadharani kuwa unazo.

Unataka kutuaminisha kuwa wewe una mawasiliano na MOSSAD?

Nelson unajua maradhi yanayoitwa, ''grandiose delusional disorder?''

Unakumbuka nilikwambia kuwa una tatizo la kichwa?

Iko tiba.

Mtu anatibiwa na anapona anarejea katika hali yake ya kawaida.

Jasusi na watu katika tasnia hiyo hawajitangazi.

Mmoja katika wazee wangu ndani ya TANU yeye ndiye alikuwa mtu wake David Kimche Tanganyika wakati wa kupanga mapinduzi ya Zanzibar.

Kama nitakutajia Kimche ni nani katika MOSSAD nitakupunguzia utamu wa haya ninayokueleza.

Yumo katika kitabu cha Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' ingia kwenye faharasha mtafute Kimche utastarehe.

Kisha mtafute Kimche Google.

Kwa kuwa unayapenda haya mambo nikipata wasaa nitakupa stori yangu na Wayahudi katika blog yangu.

Nini kilikuwa kinatokea kila ninapowataja.

Ajabu ya rahmani.

Kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu Mossad na shughuli zake na vinauzwa madukani.

Hicho kitabu hapo chini nimekinunua Muscat Airport.

1676005014684.png

1676005058956.png
 
Nelson...
Ikiwa wewe unazo hizo taarifa sasa kinacholindwa ambacho ni siri ni kipi?
Wewe utakuaje na taarifa hizo kisha ujinadi hadharani kuwa unazo.

Nelson unajua maradhi yanayoitwa, ''Grandiosm?''

Kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu Mossad na shughuli zake na vinauzwa madukani.

Karibu uendelee kuchangia muendelezo wetu wa siku ya tatu ya vita vya Yom kippur tupo tunazungumzia kwa sasa makabiliano ya vifaru na wanajeshi wa miguu wa pande mbili zote husika katika eneo la kaskazini la vilima vya Golan saa 11 alfajiri pale ndugu zetu IDF,s na SDF,s walipokutana uso kwa uso kufa kupona!!!Karibu sana
 
Kuna operation nyingine kwa sababu za kiusalama na kulinda taarifa na maadili ya tasnia ya kijasusi siwezi kuzielezea ila nitakua nazielezea kwa kufupi ubora wa jeshi la IDF na MOSSAD kama mwangaza wa majeshi na mashirika mengine ya kijasusi kujifunza kupitia wao

Nelson...
Ikiwa wewe unazo hizo taarifa sasa kinacholindwa ambacho ni siri ni kipi?
Wewe utakuaje na taarifa hizo kisha ujinadi hadharani kuwa unazo.

Unataka kutuaminisha kuwa wewe una mawasiliano na MOSSAD?
Nelson unajua maradhi yanayoitwa, ''grandiose delusional disorder?''

Unakumbuka nilikwambia kuwa una tatizo la kichwa?
Iko tiba.

Kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu Mossad na shughuli zake na vinauzwa madukani.

Hicho kitabu hapo chini nimekinunua Muscat Airport.

 

Attachments

Karibu uendelee kuchangia muendelezo wetu wa siku ya tatu ya vita vya Yom kippur tupo tunazungumzia kwa sasa makabiliano ya vifaru na wanajeshi wa miguu wa pande mbili zote husika katika eneo la kaskazini la vilima vya Golan saa 11 alfajiri pale ndugu zetu IDF,s na SDF,s walipokutana uso kwa uso kufa kupona!!!Karibu sana
Nelson...
Ikiwa wewe unazo hizo taarifa sasa kinacholindwa ambacho ni siri ni kipi?
Wewe utakuaje na taarifa hizo kisha ujinadi hadharani kuwa unazo.

Unataka kutuaminisha kuwa wewe una mawasiliano na MOSSAD?
Nelson unajua maradhi yanayoitwa, ''grandiose delusional disorder?''

Unakumbuka nilikwambia kuwa una tatizo la kichwa?
Iko tiba.

Mtu anatibiwa na anapona anarejea katika hali yake ya kawaida.
Jasusi na watu katika tasnia hiyo hawajitangazi.

Mmoja katika wazee wangu ndani ya TANU yeye ndiye alikuwa mtu wake David Kimche Tanganyika wakati wa kupanga mapinduzi ya Zanzibar.

Kama nitakutajia Kimche ni nani katika MOSSAD nitakupunguzia utamu wa haya ninayokueleza.

Yumo katika kitabu cha Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' ingia kwenye faharasha mtafute Kimche utastarehe.

Kisha mtafute Kimche Google.

Kwa kuwa unayapenda haya mambo nikipata wasaa nitakupa stori yangu na Wayahudi katika blog yangu.

Nini kilikuwa kinatokea kila ninapowataja.
Ajabu ya rahmani.

Kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu Mossad na shughuli zake na vinauzwa madukani.

Hicho kitabu hapo chini nimekinunua Muscat Airport.

1676005014684-png.2512166
 
Karibu uendelee kuchangia muendelezo wetu wa siku ya tatu ya vita vya Yom kippur tupo tunazungumzia kwa sasa makabiliano ya vifaru na wanajeshi wa miguu wa pande mbili zote husika katika eneo la kaskazini la vilima vya Golan saa 11 alfajiri pale ndugu zetu IDF,s na SDF,s walipokutana uso kwa uso kufa kupona!!!Karibu sana
Nelson,
Naamini umenisoma na umenielewa.
Uko kimya.

Umefanya vizuri sana kuwa kimya.
Unanikaribisha leo kusoma hayo?

Unasahau kuwa mwanzo wa mjadala nilikuandikia kuhusu Mohamed Heykal na Sadat Yom Kippur inaanza ukasema mjadala huu si wa vitabu?

Mimi nayajua hayo toka 1973 na nayasomesha hadi hivi sasa na wewe nimekuorodhesha kama mmoja wa wanafunzi wangu.
 
Mzee Mohamed Said kama ni kweli Israel ilishindwa na Hizboullah mwaka 2006 unadhani ingeendelea kuwepo kama taifa ?....au kushindwa huko unamaanisha walishindwa kufikia malengo yao yaani kuwamaliza Hizboullah ?

T14 Armata HIMARS
Mwaka 2006 Israel ilitwangwa sababu hata kuna maeneo kama sijakosea yanaitwa SHABAA ambayo ISRAEL walikua wanayakalia kabla ya ile vita

Ila baada ya ile vita walikimbizwa na wakakimbia HIZBU wakajitwalia maeneo yao

ISRAEL jeshi lakawaida sana wanapigwa na wanamgambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wangu Mohamed Said napingana na wewe hapa. Unasema Israel ilionyesha udhaifu tangu Yom Kippur mwaka 1973 kwa sababu zipi. Iipigwa surprise invasion na majeshi ya Egypt na Syria, Syria wakachukua Golan heights na Egypt wakachukua Sinai kwenye battle za mwanzo. Israel ikapiga counterattack ikaichukua Golan heights nzima na hata eneo ambalo hawakuwahi kuwa nalo na mpaka leo ni lao. Udhaifu wao uko wapi, kama ni dhaifu si Syria ingeteka Golan heights ikabaki nayo, mpaka leo inadai lile eneo.

Eneo la Sinai ni la Egypt lilikuwa limekaliwa na Israel kimkakati kama ambavyo Golan heights ni ya Syria ingawa imekaliwa na Israel, Sinai ilirudishwa kwa Egypt ili Anwar Saddat aitambue Israel kama nchi halali. Ndio maana Egypt ikaondolewa kwenye Arab League. Win win situation kwa Israel na Egypt. Hata Syria inaweza rudishiwa milima yake inhabitable ikifikia makubaliano na Israel.

Saddat alisimamisha mapigano baada ya jeshi lake kuzingirwa na Israel. Hakulazimishwa kusimamisha mapigano, angeendelea ili jeshi lake lipigwe na mateka wawe wengi. 3rd Army ya Misri ilizingirwa na majeshi ya Israel yakiongozwa na General Adan na 401st Armoured Brigade. Wanajeshi 20,000 wa Misri wamewekwa katikati, Israel iko inafanya advancement kuitafuta Cairo iliyokuwa less than 40 miles. Ulitaka Anwar Saddat afanyeje, ujue Waarabu wanafiki kina Saudi Arabia na wenzake wametuma misaada kidogo wako wanakunywa kahawa uko Egypt na Syria zinateseka zenyewe.

Wakati huo pale Syria kama unavyojua Damascus ni mji uko located eneo baya huwa sipendi vile, Israel ilikuwa imepanga shambulizi na imebakiza 10 miles kuifikia Damascus na Al Assad yuko desperate anaomuomba Saddat apigane mpaka mwisho ili kuipa relief Syria. Ambacho hawa wakurupukaji hawakuzingatia ni kwamba kila mtu anapigana kwa interest zake, Egypt za kwake zikitimizwa Syria shauri yako.

USSR ikatishia kuingia vitani zaidi, kumbuka hapo walishatoa misaada wa kila aina. Marekani na Uingereza zimesaidia Israel na Arab League plus USSR zimesaidia Waarabu. Israel ikaachana na kuiteka Damascus ila ikabaki na Golan heights ili ifanye monitoring.


Hakuna aliyelazimishwa ceasefire. Wangeendelea kupigana waambulie kupoteza maeneo mengine.

Na hapo kwa Hezbollah. Hicho ni chama chenye military wing, wala Hezbollah haijawahi unda serikali ya Lebanon. Iko termed kama kundi la kigaidi na usijifanye hujui tofauti ya kupigana na magaidi na kupigana na nchi. Israel haikupigana na Lebanon mwaka 2006, walipigana na kundi la kigaidi. Ile vita ingekuwa ni dhidi ya Lebanon ingeisha mapema sana. Na hata hivyo Israel haikushindwa, iko palepale ilipokuwa hadi leo. Wewe mwenyewe unajua lengo la Hezbollah ni lipi, limekamilika?
HIZBU magaidi sababu wapo kinyume na Western nandio maana leo hata wagner wanatambulika magaidi sababu wapo kinyume na wester

HIZBU hawakua pale pale soma vyema hio vita kuna maeneo yalikua yanakaliwa na hao magaidi wa israel mashamba ya SHABAA ambayo baada ya vita yalirudi kwa HIZBULLAH

UGAIDI ninini !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guerilla war ni ngumu, Hezbolla, Hamas, Taleban, IS, Alshabab hawa wote hawana regalia, wanakushtukiza tu.

Unaweza ona ni watoto kumbe kuna waharifu nyuma yake..

Israel hakushindwa sababu hakupigana ndani ya Israel bali nje ya Israel, hadi leo ikitokea Hezbollah wamezingua sana Israel anaweza risk kuongia Lebanon
Atakutana na kipigo zaidi ya kile cha 2006 hata wao wanajua hilo na hawata jaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nelson...
Ikiwa wewe unazo hizo taarifa sasa kinacholindwa ambacho ni siri ni kipi?
Wewe utakuaje na taarifa hizo kisha ujinadi hadharani kuwa unazo.

Unataka kutuaminisha kuwa wewe una mawasiliano na MOSSAD?
Nelson unajua maradhi yanayoitwa, ''grandiose delusional disorder?''

Unakumbuka nilikwambia kuwa una tatizo la kichwa?
Iko tiba.

Mtu anatibiwa na anapona anarejea katika hali yake ya kawaida.
Jasusi na watu katika tasnia hiyo hawajitangazi.

Mmoja katika wazee wangu ndani ya TANU yeye ndiye alikuwa mtu wake David Kimche Tanganyika wakati wa kupanga mapinduzi ya Zanzibar.

Kama nitakutajia Kimche ni nani katika MOSSAD nitakupunguzia utamu wa haya ninayokueleza.

Yumo katika kitabu cha Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' ingia kwenye faharasha mtafute Kimche utastarehe.

Kisha mtafute Kimche Google.

Kwa kuwa unayapenda haya mambo nikipata wasaa nitakupa stori yangu na Wayahudi katika blog yangu.

Nini kilikuwa kinatokea kila ninapowataja.
Ajabu ya rahmani.

Kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu Mossad na shughuli zake na vinauzwa madukani.

Hicho kitabu hapo chini nimekinunua Muscat Airport.

1676005014684-png.2512166
Karibu sana tuendelee kuchangia sehemu ya muendelezo wetu wa vita vya yom kippur pale uwanda wa Golan siku ya tatu ya mapigano saa 11 alfajiri.Karibu sana tuendelee mzee wangu
 
Atakutana na kipigo zaidi ya kile cha 2006 hata wao wanajua hilo na hawata jaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuchangia kitaalamu kwa jicho la kijeshi hii vita vya 2006 kati ya IDF na Hezbolah????Tuanzie kwanza na HATUA MBINU za majeshi yote mawili,tuzungumzie nguvu kazi za majeshi yote mawili,tuzungumzie aina za silaha zilizotumika pande zote mbili angani na ardhini na je zilisaidia kila upande kukamilisha HATUA MBINU ZAKE,tuzungumzie uharibifu wa maghala ya kijeshi,kambi,mji egemezi kwa kila upande,tuzungumzie wanajeshi wangapi walikufa kila upande na wanajeshi wangapi walitekwa kila upande.Karibu sana
 
Back
Top Bottom