IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

Viongozi wa hamas wanakufa kama kuku wenye videri,waachane na hio vita tu,hawaiwezi tena,miaka yote mnatembezewa kichapo,bado wanajifanya wagumu tu
 
Kwahyo Hamas wao waliuwa wanyama hiyo October 7
Hakuna mtu aliyeuliwa october 7 mateka wote walioshikwa walipewa mkate na chai ya maziwa, na kama utafuatilia vizuri waliowahi kuachiliwa walisimulia ukarimu waliokuwa nao Hamas huko walikokuwa kizuizini.

Mateka waliokufa nwaliuliwa ni wenyewe mayahudi kwa kuwapiga mabomu wakidhani wanawapiga Hamas. waliwauwa wenyewe.
 
Hakuna mtu aliyeuliwa october 7 mateka wote walioshikwa walipewa mkate na chai ya maziwa, na kama utafuatilia vizuri waliowahi kuachiliwa walisimulia ukarimu waliokuwa nao Hamas huko walikokuwa kizuizini.

Mateka waliokufa nwaliuliwa ni wenyewe mayahudi kwa kuwapiga mabomu wakidhani wanawapiga Hamas. waliwauwa wenyewe.
Kwahyo IDF iliwauwa raia wao wenyewe 1200+ hiyo October 7
 

Attachments

  • 1729326362194.png
    1729326362194.png
    633.1 KB · Views: 1
Kama kwenu maadili ni mtume wa miaka 53 kuoa katoto cha miaka sita na kukapiga pumbu kalipofikisha miaka tisa bac hatushangai.

Kama kwenu maadili ni kuwaweka wanawake na watoto hatarini kwa kuweka bases karibu na kindergarten na hospitali bac hatushangai.

Kama kwenu maadili ni kuua watoto wadogo, kubaka na kunjinja wanawake, kuwaburuza mitaani, kuua wazee na raia kwa kushtukiza bac hatushangai.
BIBI YAKE MZAA BABA YAKO ALIOLEWA AKIWA NA MIAKA MINGAP?
 
Yaani ofa km ofa ya bia au sijaelewa?
Kuna swali gumu, Israel iufanyie Nini mwili wa Sinwar.
Yapo mapendekezo kadhaa.
1. Watumie kama njia majadiliano na Hamas.
2. Wauchome moto na kutupa majivu baharini.

Israel ni wayahudi na wanataratibu zao za mazishi na kwao ni muhimu sana kumzika mtu kwa heshima za Kiyahudi, hivyo basi wanaweza kuzungumza na Wapalestina ili Sinwar apate heshima zote za mazishi ya Kiislam, swali la Msingi linakuwa wapi azikwe kwa heshima.

Watu wote wanaokaa Israel ni ndoto yao kuzikwa Jerusalem, sababu kubwa ni kuwa kwa tamaduni zao wanaamini siku ya Kiyama Watu Waliozikwa Jerusalem Ndio watafufuka Kwanza 😂
 
Wayahudi ni watu wenye maadili, utu na heshima.

Yahya Sinwar(kiongozi mkuu wa hamas) october 7th aliamuru wanajeshi wake wavuke mpaka, waue raia ikiwamo watoto, na kuwabaka wanawake wa kiyahudi, lakini siku ya kufa kwake hawakuburuza mwili wake kama Hamas walivyofanya na miili ya victims wa October 7th.

Hawakumkata kichwa kama Hamas walivyowafanyia waisraeli October 7th.
Hawakuburuza mwili wake kama wengine walivyofanya kwa Gaddafi.
Hawakuikanyaga maiti yake kwa miguu kama baadhi ya Wairaqi walivyofanya kwa Saddam, wala hawakumtemea mate mwili wake licha ya hali na udhoofu aliokutwa nao kiumbe huyu.

Badala yake, waliuweka mwili huo kwenye mfuko mweusi na kuusafirisha kwa heshima kamili.

Hii ndiyo tofauti kati ya ushenzi na ustaarabu, tofauti kati ya watoto wa giza na watoto wa nuru, ndio tofauti kati ya wale wanaowaheshimu walio hai na wafu, na wale wasioheshimu walio hai na wafu, Hii ndio tofauti kati ya maadili ya shujaa, na maadili ya mkimbizi mwoga ambaye mwisho wake ulikuja, kama panya aliyeoza, akaangamia.

Hii ndio tofauti kati ya Nuru na Giza
View attachment 3129502

Swali:
Tumeona IDF ikionesha heshima kwa adui zake, Je, wangekuwa wao wangeonesha heshima hii?
Ukweli usemwe. Wale watu wanajitahidi kuonyesha utu sana. Ni ujinga tu wa binadamu kutokutambua hilo. Hebu pata picha leo hezbola au Hamas waupate mwili hata wa mswmaji tu wa jeshi. Dunia inaweza sinyaa kwa kitakachotokea.
 
Kuna swali gumu, Israel iufanyie Nini mwili wa Sinwar.
Yapo mapendekezo kadhaa.
1. Watumie kama njia majadiliano na Hamas.
2. Wauchome moto na kutupa majivu baharini.

Israel ni wayahudi na wanataratibu zao za mazishi na kwao ni muhimu sana kumzika mtu kwa heshima za Kiyahudi, hivyo basi wanaweza kuzungumza na Wapalestina ili Sinwar apate heshima zote za mazishi ya Kiislam, swali la Msingi linakuwa wapi azikwe kwa heshima.

Watu wote wanaokaa Israel ni ndoto yao kuzikwa Jerusalem, sababu kubwa ni kuwa kwa tamaduni zao wanaamini siku ya Kiyama Watu Waliozikwa Jerusalem Ndio watafufuka Kwanza 😂
Hicho kitu hakipo
 
Ukweli usemwe. Wale watu wanajitahidi kuonyesha utu sana. Ni ujinga tu wa binadamu kutokutambua hilo. Hebu pata picha leo hezbola au Hamas waupate mwili hata wa mswmaji tu wa jeshi. Dunia inaweza sinyaa kwa kitakachotokea.
Wataunyea kabisa na kuukojolea kisha watapiga picha na video wengine wataupigia mpaka nyeto walivyo vichaa
 
Kwahyo IDF iliwauwa raia wao wenyewe 1200+ hiyo October 7
YES, Hamas hawajawahi kuua mtu labda wanajeshi wanaopigana nao wakiwa kwenye mapambano, na ndio maana mpaka sasa Hamas, Iran na Hizbollah mashambulizi yote waliyofanya hawajalenga watu wanapiga vituo vya kijeshi na miundombinu za Israel
 
Nafkiri hujui unachokiongea, wayahudi wanauwa watoto wachanga na wanawake Gaza, ni ujinga uliopitilia kudhani Wayahudi ni wakiristo na hivyo unapaswa kuwanga mkono
Kwani amekuambia ni Mkristo? Mbona mm msukuma wa Simiyu( lalago) sina dini ila siwapendi Hezbollah sababu hawana faida yoyote popote chini ya jua.
 
YES, Hamas hawajawahi kuua mtu labda wanajeshi wanaopigana nao wakiwa kwenye mapambano, na ndio maana mpaka sasa Hamas, Iran na Hizbollah mashambulizi yote waliyofanya hawajalenga watu wanapiga vituo vya kijeshi na miundombinu za Israel
Daaah! Hivi upo serious?
 
Pole na msiba ustaadhat!
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155
156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156
157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
 
Back
Top Bottom