IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

IDF ni Jeshi lenye maadili, utu na heshima, hongereni kwa kuonesha maturity

Kama kwenu maadili ni mtume wa miaka 53 kuoa katoto cha miaka sita na kukapiga pumbu kalipofikisha miaka tisa bac hatushangai.

Kama kwenu maadili ni kuwaweka wanawake na watoto hatarini kwa kuweka bases karibu na kindergarten na hospitali bac hatushangai.

Kama kwenu maadili ni kuua watoto wadogo, kubaka na kunjinja wanawake, kuwaburuza mitaani, kuua wazee na raia kwa kushtukiza bac hatushangai.
NI MAPUMBAVU
 
YES, Hamas hawajawahi kuua mtu labda wanajeshi wanaopigana nao wakiwa kwenye mapambano, na ndio maana mpaka sasa Hamas, Iran na Hizbollah mashambulizi yote waliyofanya hawajalenga watu wanapiga vituo vya kijeshi na miundombinu za Israel
Dini imekufanya zombie weee qumer watanzania wenzetu kina Clemence na Molel wameuwawa mchana kweupe bado unaongea as if wewe peke yako ndo GT humu ndani.
Mapenzi kwa dini ya kigaidi yamekuzidi hadi unaamua kutenda dhambi ya kusema uongo.
Kuitetea hiyo dini ni kazi sana ila endelea kupambana
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155
156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156
157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
Myahudi yupo kuwasaidia kupata malipo yenu.
Hapoi,haboi!
 
Ndio mana nimesema wewe ni kichwa kigumu, Wayahudi wameuwa watu zaidi ya 40,000 je Sinwar ndio idadi hiyo ya 40,000 elfu?
Sinwar ameuawa, je ni mwanamke au ni mtoto?
Hiyo idadi ya waliouawa ndiyo matokeo ya mafundisho yenu kwamba either mjitoe muhanga ili muwaue wengi au ili kujiokoa kajichanganyeni na raia, vaeni kiraia, jificheni mashuleni na mahospitalini ili wakijaribu kuwaua waue watu wengi
 
Sinwar ameuawa, je ni mwanamke au ni mtoto?
Hiyo idadi ya waliouawa ndiyo matokeo ya mafundisho yenu kwamba either mjitoe muhanga ili muwaue wengi au ili kujiokoa kajichanganyeni na raia, vaeni kiraia, jificheni mashuleni na mahospitalini ili wakijaribu kuwaua waue watu wengi
Mpaka sasa hakuna maiti iliyothibitika kwenye hayo mauaji kwamba Hamas alijichanganya na raia, kule ICC mashtaka yashaendela na kutolewa maamuzi na kutakiwa netanyahu akamatwe kwa mauaji ya halaiki mbona hawakupeleka kidhibiti kama ushahidi Hamas walijichanganya na ria?
 
Wayahudi ni watu wenye maadili, utu na heshima.

Yahya Sinwar(kiongozi mkuu wa hamas) october 7th aliamuru wanajeshi wake wavuke mpaka, waue raia ikiwamo watoto, na kuwabaka wanawake wa kiyahudi, lakini siku ya kufa kwake hawakuburuza mwili wake kama Hamas walivyofanya na miili ya victims wa October 7th.

Hawakumkata kichwa kama Hamas walivyowafanyia waisraeli October 7th.
Hawakuburuza mwili wake kama wengine walivyofanya kwa Gaddafi.
Hawakuikanyaga maiti yake kwa miguu kama baadhi ya Wairaqi walivyofanya kwa Saddam, wala hawakumtemea mate mwili wake licha ya hali na udhoofu aliokutwa nao kiumbe huyu.

Badala yake, waliuweka mwili huo kwenye mfuko mweusi na kuusafirisha kwa heshima kamili.

Hii ndiyo tofauti kati ya ushenzi na ustaarabu, tofauti kati ya watoto wa giza na watoto wa nuru, ndio tofauti kati ya wale wanaowaheshimu walio hai na wafu, na wale wasioheshimu walio hai na wafu, Hii ndio tofauti kati ya maadili ya shujaa, na maadili ya mkimbizi mwoga ambaye mwisho wake ulikuja, kama panya aliyeoza, akaangamia.

Hii ndio tofauti kati ya Nuru na Giza
View attachment 3129502

Swali:
Tumeona IDF ikionesha heshima kwa adui zake, Je, wangekuwa wao wangeonesha heshima hii?
Wavaa kobasi ,,hawanaga heshima nimajitu yahovyoo sana ingekuwa hapo ni yahudi angechakazwa kwa risasi nyingi hata kama amekufa kichwa ingekatwa na makelele kwenye vyombo vya habari wange jimwambafai mwezi mzma
 
Mpaka sasa hakuna maiti iliyothibitika kwenye hayo mauaji kwamba Hamas alijichanganya na raia, kule ICC mashtaka yashaendela na kutolewa maamuzi na kutakiwa netanyahu akamatwe kwa mauaji ya halaiki mbona hawakupeleka kidhibiti kama ushahidi Hamas walijichanganya na ria?
Hata Israel ikipeleka Mashitaka itaamriwa vivyo hivyo. Kuhusu Israel kupeleka au kutopeleka hilo siyo issue sababu ushahidi upo na kila mmoja anajua, kuanzia ngome za hamas na silaha zao zilizokutwa mahospitalini na mashuleni.
Misaada na miundombinu ya kiraia wanayopora ili kutengeneza silaha.
Mahandaki yaliyoungsnishwa na nyumba za raia, hospitali ma shule
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155
156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156
157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
Quran 2:154 INATUMIKA VIBAYA YAHYA SINWAR WALA HA FOLLOW KWENYE HIYO AYA.....ALLAH SIO MJINGA KIASI HICHO. FUASI WAKE WALIPOKUWA WAKIBAKA TAREHE 7/10 WAKISHAKOJOA WALIKUWA WANASEMA "ALLAH AKBAR"?
 
Kwani Hamasi wanapigania njia ya Mungu au wanapigania ukombozi wa Taifa lao la Palistina?
naona unachanganya mambo ya dini kwenye ukombozi wa Taifa.
Hiyo vita ya Israeli na Palestina sio ya kidini bali wapalestina wanapigania nchi yao sio dini.
 
Usishangae mkuu, mahubiri ya Zakir Naik, Zakir naik anakuambia hiyo Okotoba 7 Hamas hakuua hata Mu-Israel mmoja, na kabla mtu hajatekwa walikua wanamuambia kwakini anatekwa na kuomba msamaha wa kuwateka.
Duh!...wale 1200 walijiua ?
 
Wayahudi ni watu wenye maadili, utu na heshima.

Yahya Sinwar(kiongozi mkuu wa hamas) october 7th aliamuru wanajeshi wake wavuke mpaka, waue raia ikiwamo watoto, na kuwabaka wanawake wa kiyahudi, lakini siku ya kufa kwake hawakuburuza mwili wake kama Hamas walivyofanya na miili ya victims wa October 7th.

Hawakumkata kichwa kama Hamas walivyowafanyia waisraeli October 7th.
Hawakuburuza mwili wake kama wengine walivyofanya kwa Gaddafi.
Hawakuikanyaga maiti yake kwa miguu kama baadhi ya Wairaqi walivyofanya kwa Saddam, wala hawakumtemea mate mwili wake licha ya hali na udhoofu aliokutwa nao kiumbe huyu.

Badala yake, waliuweka mwili huo kwenye mfuko mweusi na kuusafirisha kwa heshima kamili.

Hii ndiyo tofauti kati ya ushenzi na ustaarabu, tofauti kati ya watoto wa giza na watoto wa nuru, ndio tofauti kati ya wale wanaowaheshimu walio hai na wafu, na wale wasioheshimu walio hai na wafu, Hii ndio tofauti kati ya maadili ya shujaa, na maadili ya mkimbizi mwoga ambaye mwisho wake ulikuja, kama panya aliyeoza, akaangamia.

Hii ndio tofauti kati ya Nuru na Giza
View attachment 3129502

Swali:
Tumeona IDF ikionesha heshima kwa adui zake, Je, wangekuwa wao wangeonesha heshima hii?


1729344769371.jpeg
 
Wayahudi ni watu wenye maadili, utu na heshima.

Yahya Sinwar(kiongozi mkuu wa hamas) october 7th aliamuru wanajeshi wake wavuke mpaka, waue raia ikiwamo watoto, na kuwabaka wanawake wa kiyahudi, lakini siku ya kufa kwake hawakuburuza mwili wake kama Hamas walivyofanya na miili ya victims wa October 7th.

Hawakumkata kichwa kama Hamas walivyowafanyia waisraeli October 7th.
Hawakuburuza mwili wake kama wengine walivyofanya kwa Gaddafi.
Hawakuikanyaga maiti yake kwa miguu kama baadhi ya Wairaqi walivyofanya kwa Saddam, wala hawakumtemea mate mwili wake licha ya hali na udhoofu aliokutwa nao kiumbe huyu.

Badala yake, waliuweka mwili huo kwenye mfuko mweusi na kuusafirisha kwa heshima kamili.

Hii ndiyo tofauti kati ya ushenzi na ustaarabu, tofauti kati ya watoto wa giza na watoto wa nuru, ndio tofauti kati ya wale wanaowaheshimu walio hai na wafu, na wale wasioheshimu walio hai na wafu, Hii ndio tofauti kati ya maadili ya shujaa, na maadili ya mkimbizi mwoga ambaye mwisho wake ulikuja, kama panya aliyeoza, akaangamia.

Hii ndio tofauti kati ya Nuru na Giza
View attachment 3129502

Swali:
Tumeona IDF ikionesha heshima kwa adui zake, Je, wangekuwa wao wangeonesha heshima hii?
Punguzeni ujinga wamembeba huyo sio sababu wanampenda, walikuwa hawana uhakika ni yeye mpaa apimwe DNA, ukristo ni lana aisay vitoto vinauliwa Gaza vingine mpaa kichwa kama kimechinjwa mnasema gaidi, poleni sana hio yote ni laana kabla hamjafika kaburini.
 
Nafkiri hujui unachokiongea, wayahudi wanauwa watoto wachanga na wanawake Gaza, ni ujinga uliopitilia kudhani Wayahudi ni wakiristo na hivyo unapaswa kuwanga mkono
Acha ulevi wa Quran yenu ya shetan kaalah. Hakuja jeshi lolote hapa duniani ambalo kabla halija fanya shambulizi hutoa kwanza warning ili watu waondoke eneo la tukio. Na hii inafanya hata wabiganaji wa Hamas mara nyingi wasiuawe. Lengo la Israel linakuwa kuangamiza silaha ambazo Hamas wameficha majumbani mwa raia. Yes wanatokea raia kuuawa, hii ni kwa sababu Kamasi zenu wanawazuia kwa nguvu wasiondoke. Wakati mwingine hayo Makamasi yenu wanapokuwa wanapigana na IDF, wakizidiwa hukimbilia kwenye nyumba za raia. Sunni wenzio huko Uarabuni na Gaza wanamshukuru Netanyahu kwa kuwaondolea Sinwar. Utajikuta umebaki wewe pekeyako kuendeleza Agenda za MASHIA Iran za kutaka kuuwa wayahudi

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1847395554453536901

View: https://x.com/MahyarTousi/status/1847205926123507734

View: https://x.com/Osint613/status/1847055502351782132
 
Punguzeni ujinga wamembeba huyo sio sababu wanampenda, walikuwa hawana uhakika ni yeye mpaa apimwe DNA, ukristo ni lana aisay vitoto vinauliwa Gaza vingine mpaa kichwa kama kimechinjwa mnasema gaidi, poleni sana hio yote ni laana kabla hamjafika kaburini.
Una elim kiwango gani shehe? DNA haihitaji mwili mzima hata unywele tu unatosha
 
Una elim kiwango gani shehe? DNA haihitaji mwili mzima hata unywele tu unatosha
Mimi nimeongelea wapi DNA ina hitaji mwili mzima? Nilicho ongelea wameuchukua mwili wakapime DNA habari ndio zimesema vile.
 
Back
Top Bottom