IDF: tunajiandaa kupiga tena Iran kwenye nuclear site zote

IDF: tunajiandaa kupiga tena Iran kwenye nuclear site zote

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.

Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.

Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
 
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.

Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.

Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Kosa kubwa
 
Taarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.

Shambulio lile moja tu, limeinyong'onyesha sana Iran. Iran inatakiwa iwe makini sana na Russia. Russia ina uhusiano usiotetereka na Israel, wa kutopigana wala kushambuliana. Uhusiano huo sijui unaishia wapi!! Isije ikawa Russ ina-passover siri zote za usalama za Iran kwa Israel, halafu yeye anakaa pembeni na kujifanya hajui kinachoendelea.
 
Maandalizi ya Promise 3 yanaendeleaje hapo Iran shekhe? Tumechoka kusubiri sasa tunataka kuona vitendo sasa shekhe!!??
Hukumsikia pezeshkian, promise two waliahidiwa waliahidiwa kutolewa vikwazo kama hawatopiga, ayatollah akaamuru vyuma virushwe,sasa hivi patakua na ahadi tu tena
 
Taarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.

Shambulio lile moja tu, limeinyong'onyesha sana Iran. Iran inatakiwa iwe makini sana na Russia. Russia ina uhusiano usiotetereka na Israel, wa kutopigana wala kushambuliana. Uhusiano huo sijui unaishia wapi!! Isije ikawa Russ ina-passover siri zote za usalama za Iran kwa Israel, halafu yeye anakaa pembeni na kujifanya hajui kinachoendelea.
Iran itaendelea kuanguka tu
 
Mavi gani unazungumzia, ni hayo yakutokayo??
Anyway si shabiki wa vita ila huwa mnasema hvyo hvyo tu kwamba ubavu hana! Ila anahistoria ndeefu ya vita vilivyopita na vinavyoendelea kwa kuwakaza wenzie 😁
Wanabweka hivyo hivyo kila siku,, ooh Israel hawezi lolote ila wanopoteza wanaopigwa wanaokufa, wanaovunjiwa majumba ni waarabu.
 
Taarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.
Akawauliza; ubatizo wa Yohana ulitoka Mbinguni au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao wakasema; tukisema ulitoka Mbinguni atatuuliza mbona hamkumwamini? Tukisema ulitoka kwa wanadamu; waliogopa kusanyiko maaana kila mmoja aliamini Yohana alikuwa nabii.

Alichofanya Iran kinasadifu muktadha wa andiko hilo. Akikiri kupigwa kwa vinu vyake vya nuclear, ataulizwa mbona mwanzoni ulikana kutengeneza nuclear? Hana namna zaidi ya kugugumia maumivu!
 
Akawauliza; ubatizo wa Yohana ulitoka Mbinguni au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao wakasema; tukisema ulitoka Mbinguni atatuuliza mbona hamkumwamini? Tukisema ulitoka kwa wanadamu; waliogopa kusanyiko maaana kila mmoja aliamini Yohana alikuwa nabii.

Alichofanya Iran kinasadifu muktadha wa andiko hilo. Akikiri kupigwa kwa vinu vyake vya nuclear, ataulizwa mbona mwanzoni ulikana kutengeneza nuclear? Hana namna zaidi ya kugugumia maumivu!
Hahahaha 😆 😂 😂 😂 😂 😂
Toka enzi za yesu kuna wajinga walikuwa wabishi Sana wa kukubali matokeo
 
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.

Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.

Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Sijajua safari wanatumia midege au mashambulizi kama yale ya Walk talk na pagers
 
Back
Top Bottom