IDF: tunajiandaa kupiga tena Iran kwenye nuclear site zote

IDF: tunajiandaa kupiga tena Iran kwenye nuclear site zote

Hanu ubavu huo, hizo ni kelele tu, mimi navyo sikia Iran atamfanyia suprise kumpiga hawata sahau Israel maisha yao. Lazima muweke akilini Iran wao hawapigi kelele sana kama Israel.
 
Taarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.

Shambulio lile moja tu, limeinyong'onyesha sana Iran. Iran inatakiwa iwe makini sana na Russia. Russia ina uhusiano usiotetereka na Israel, wa kutopigana wala kushambuliana. Uhusiano huo sijui unaishia wapi!! Isije ikawa Russ ina-passover siri zote za usalama za Iran kwa Israel, halafu yeye anakaa pembeni na kujifanya hajui kinachoendelea.
Huwa nashangaa na kucheka mnavyokaza vichwa kutumia nguvu nyingi kuwathibitishai watu shambulizi la Israel nchini Iran lilikuwa kubwa, Israel hana uwezo huo na ukweli mnaufahamu, Iran sio sawa kuilinganisha na Israel kijeshi.

Ukwelini kwamba hadi leo Israel haiamini ingekutana na kilichomkuta, covert ops za Israel kuingia kinyemela kuua wanasayansi na viongozi wa Iran akahisi anaweza kuimudu Iran, Iran ilipojidhihirisha inaweza kuiadhibu Israel dunia haikuamini.

Wengi wenu mnaleta propaganda za uongo uongo kwamba Israel ilifanya mashabulizi ya siri ambayo hayakudhihirika mbele ya vyombo vya habari, Iran ilimpiga Israel na dunia ikashuhudia missiles zikitua Israel kama mvua.

Israel na western kwa wanavyopenda sifa walitaka kuionyesha dunia wana uwezo kuimudu Iran lakini wakafeli, tena walifeli vibaya, hivyo kwa aibu ndipo mmebaki na hizo propaganda kwamba kuna mashambulizi ya siri yaliyoleta hasara kubwa Iran.

Nikuambie tu Israel ingefanya hivyo ingechakazwa vibaya.
 
Hivi ndivyo Iran inaenda kupigwa pamoja na blastic missile zake ilizoelekeza angani!
Screenshot_20241213-081420.jpg

Vita ya Mashariki ya Kati ni kati ya waliojaliwa Akili (IQ kubwa), dhidi ya waliojaliwa mafuta ardhini.
 
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.

Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.

Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Hadi raha watoto wao wa Houthi wanalia tu huko Yemen baba yao kubwa la magaidi wanataka kumnyoa nywele za siri kwa nguvu kwa kutumia chupa
 
Taarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.

Shambulio lile moja tu, limeinyong'onyesha sana Iran. Iran inatakiwa iwe makini sana na Russia. Russia ina uhusiano usiotetereka na Israel, wa kutopigana wala kushambuliana. Uhusiano huo sijui unaishia wapi!! Isije ikawa Russ ina-passover siri zote za usalama za Iran kwa Israel, halafu yeye anakaa pembeni na kujifanya hajui kinachoendelea.
Vipi yeye Israel Kambi zake kupoteza F35 Zaid ya 18 hivi unajua gharama zake izo ndege ni Zaid ya bajet ya nchi yetu
 
Mpigaji uwa asemi ukiona kelele nyingi kuna vitu Viwili kimoja ndio msingi wake mojawapo 1 uwoga 2 amegundua mwenzie yupo mbioni kumshambulia kwaiyo nayy nikama anasema anania pia kufanya kile mwenzie anajindaa Nacho lkn muIsrael muoga sana . Embu tujiulize wenye Akili kusema nataka kumshambulia frani kunafaida Gani.
 
Huwa nashangaa na kucheka mnavyokaza vichwa kutumia nguvu nyingi kuwathibitishai watu shambulizi la Israel nchini Iran lilikuwa kubwa, Israel hana uwezo huo na ukweli mnaufahamu, Iran sio sawa kuilinganisha na Israel kijeshi.

Ukwelini kwamba hadi leo Israel haiamini ingekutana na kilichomkuta, covert ops za Israel kuingia kinyemela kuua wanasayansi na viongozi wa Iran akahisi anaweza kuimudu Iran, Iran ilipojidhihirisha inaweza kuiadhibu Israel dunia haikuamini.

Wengi wenu mnaleta propaganda za uongo uongo kwamba Israel ilifanya mashabulizi ya siri ambayo hayakudhihirika mbele ya vyombo vya habari, Iran ilimpiga Israel na dunia ikashuhudia missiles zikitua Israel kama mvua.

Israel na western kwa wanavyopenda sifa walitaka kuionyesha dunia wana uwezo kuimudu Iran lakini wakafeli, tena walifeli vibaya, hivyo kwa aibu ndipo mmebaki na hizo propaganda kwamba kuna mashambulizi ya siri yaliyoleta hasara kubwa Iran.

Nikuambie tu Israel ingefanya hivyo ingechakazwa vibaya.
Kaka hiii milokole ni mzigo kwa Taifa mbaya zaid AIbu awana kabisa.
 
Mpigaji uwa asemi ukiona kelele nyingi kuna vitu Viwili kimoja ndio msingi wake mojawapo 1 uwoga 2 amegundua mwenzie yupo mbioni kumshambulia kwaiyo nayy nikama anasema anania pia kufanya kile mwenzie anajindaa Nacho lkn muIsrael muoga sana . Embu tujiulize wenye Akili kusema nataka kumshambulia frani kunafaida Gani.
Kwani kipindi cha nyuma kabla ya shambulio la Oktoba 26, 2024 napo si alisema? Au ilikuwa uongo?

Usimpangie, yeye akitaka kupiga anatangaza, ana uhakika huna pa kujificha. Na anakwambia anapiga nini.

Hizbu alikuwa anawaambia hameni hapo nakuja kupiga, na anenda kupiga. Au ilikuwa ni uongo?
 
Kwani kipindi cha nyuma kabla ya shambulio la Oktoba 26, 2024 napo si alisema? Au ilikuwa uongo?

Usimpangie, yeye akitaka kupiga anatangaza, ana uhakika huna pa kujificha. Na anakwambia anapiga nini.

Hizbu alikuwa anawaambia hameni hapo nakuja kupiga, na anenda kupiga. Au ilikuwa ni uongo?
Hahaha walisema Israel 🇮🇱 atapigwa na Hisbollah leo viongozi wa Hisbollah wote wamelambishwa udongo na Assad amepinduliwa iran hana mshirika jirani na Israel tena
 
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.

Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.

Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Habari njema hii kwetu wana wa israeli.
 
Akawauliza; ubatizo wa Yohana ulitoka Mbinguni au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao wakasema; tukisema ulitoka Mbinguni atatuuliza mbona hamkumwamini? Tukisema ulitoka kwa wanadamu; waliogopa kusanyiko maaana kila mmoja aliamini Yohana alikuwa nabii.

Alichofanya Iran kinasadifu muktadha wa andiko hilo. Akikiri kupigwa kwa vinu vyake vya nuclear, ataulizwa mbona mwanzoni ulikana kutengeneza nuclear? Hana namna zaidi ya kugugumia maumivu!
Yep! Na kwa namna (tabia) hiyo hiyo; safari hii kama lililosemwa ktk mada ni kweli, atapelekwa Golgota (fuvu la kichwa)ikawe ndo mwisho wake kwani makutano watauliza "Aliweza kuwasaidia wenzake a.k.a vikundi vya magaidi, sasa na ajitete mwenyewe nasi tupate kumwamini".
 
Back
Top Bottom