gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Uwongo,hao waarabu huko latin america waliokimbilia kama unavyodai hata mia hawafiki,kila kitu unakitazama kwa angle ya dini tu,acha ujingaHivi mkuu uko serious!!! Hawa ni wahamiaji wa late 1800's na early 1900's kama kina Melinoswky walivyoma toka Poland mkuki ni kwa nguruwe sio? Ha hao waarabu walikimbilia America wengi ni wakristu waliokimbia manyanyaso na ubaguzi wa waislamu
In Spanish America, Argentina has received the most Arab immigrants (about 4.5 million), followed by Mexico, Colombia, and Venezuela (1.5 million each); Chile (800,000); Honduras and Ecuador (a quarter million each), and smaller numbers in Central America and the Caribbean.6 Dec 2019Uwongo,hao waarabu huko latin america waliokimbilia kama unavyodai hata mia hawafiki,kila kitu unakitazama kwa angle ya dini tu,acha ujinga
😂😂😂😂Wazee sio kila Kafir wakumnawa.
EU na USA hawakusaidia Israel kuua viongozi wa Hisbollah ukweli Israel ni mafundi wa hizi mission kuliko HisbollahNi kweli Israel ameua viongozi wengi wa Hezbollah kwa msaada wa US na EU, lakini hadi una compare Hezbolllah na Israel ambapo Hezbollah ni kikundi kinachodhaminiwa na Iran ni dalili tosha kwamba Iran sio levels za Israel.
Israel inasaidiwa kila kitu, kama Ukraine tu... Bila US na EU Israel si kitu hapo Middle East ..EU na USA hawakusaidia Israel kuua viongozi wa Hisbollah ukweli Israel ni mafundi wa hizi mission kuliko Hisbollah
Ukiona anabweka hivyo ujue hakuna mpigaji hapoKwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.
Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.
Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Israel hana huo uwezo wa kutisha bila msaada wa US na Ulaya , hawa ndio jeuri na kiburi kinapotokeaEU na USA hawakusaidia Israel kuua viongozi wa Hisbollah ukweli Israel ni mafundi wa hizi mission kuliko Hisbollah
Mzee This time utaendesha F 35 Kwenda kuipiga Tehran?Hahaha walisema Israel 🇮🇱 atapigwa na Hisbollah leo viongozi wa Hisbollah wote wamelambishwa udongo na Assad amepinduliwa iran hana mshirika jirani na Israel tena
Wasrabu wamepatikana, allah kawakimbiaTaarifa za kijasusi zinathibitisha kuwa shambulio lililopita Israel ilipiga vituo kadhaa vya kinuklia, lakini kwa sababu Iran ilikiwa imefanya jitohada kubwa ya kuvificha, na Israel ikatumia huo mwanaya kuvishambulia, ikijua kuwa Iran haitaweza kusema kuwa vituo vyake vya nuklia vimeshambuliwa.
Shambulio lile moja tu, limeinyong'onyesha sana Iran. Iran inatakiwa iwe makini sana na Russia. Russia ina uhusiano usiotetereka na Israel, wa kutopigana wala kushambuliana. Uhusiano huo sijui unaishia wapi!! Isije ikawa Russ ina-passover siri zote za usalama za Iran kwa Israel, halafu yeye anakaa pembeni na kujifanya hajui kinachoendelea.
Nakiri Israel ni mbabe wawababe niliopata kuwashuhudia ,,toka niijue duniaKwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran.
Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja laboratory zote za kutengeneza ballistic missile, IDF wanaamini ANGA la Iran ni halina ulinzi kutokea Syria na Iraq hivyo itakuwa rahisi kuvunja site zote za nuclear nchini Iran.
Wengi tumejiuliza kwanini Israel yupo Syria kushambulia vituo vya kijeshi kumbe jibu ni maandalizi ya kupiga Iran!!
Acha tusubiri mechi nyingine ya mashambulizi tuone Iran watachukua hatua gani
Iran ni mwamba ndio maana kila uchwao Israel, Us na EU hawaachi kubwekaIran anajitutumua sana na hana lolote, wenzake wanapigana kisayansi na sio kihovyo kama yeye!
Iran ni wachumba kwa IsraelIran anajitutumua sana na hana lolote, wenzake wanapigana kisayansi na sio kihovyo kama yeye!
Ahahahah Allah hana ubavuWasrabu wamepatikana, allah kawakimbia