IDF yawataka Viongozi wa Hamas wajisalimishe

IDF yawataka Viongozi wa Hamas wajisalimishe

Israel ni wazushi sana mpaka sasa hawana ushahidi wowote juu ya madai yao kuwa Al shifa ni ngome ya Hamas wala hakuna dalili kuwa wale mateka wako hapo
 
ndugu, kubali tu kwamba tamaduni za dini tunatofautiana ndio maana unakuwepo hata utofauti wa kielimu pia. kuna dini fulani elimu dunia huwa hawajali saana na ni walegevu sana, na nyingine elimu ni kipaumbele. wakati wewe unapeleka mtoto madrasa akasome dini, mimi napeleka chekechea, akirudi nyumbani namshikia fimbo anasoma, wewe akirudi nyumbani ni kucheza kiduku na kusoma dini na kuangalia tamthilia. tumesoma nao, hata wale waliozaliwa na wazazi wasomi unaona kabisa shuleni anazidiwa, background inawabeba hao wengine, wao elimu ni kitu cha muhimu mno.

wakati dini nyingine inachangisha au kukusanya sadaka na kujenga shule na hospitali, ile ingine inachangisha kujenga madrasa, kununua tende uarabuni. hivi kweli tutakuwa sawa? wakati wamisionary wanafika walileta shule, waarabu wakaleta dini bila shule. hesabu shule za kibongo za hao wengine ngapi? wakati wao ndio matajiri namba moja hapa nchini, wapo tayari kulipia watu waingine bure kuangalia mpira wa yanga na simba, wakati mwingine anaongeza madarasa ya shule za watoto na wakija pale hata kama ni waislam watasomeshwa salamu maria. tutakuwa sawa kweli?
Sasa hao unao sema hawana elimu mbona ndo wamedhibiti uchumi wa nchi yako ni nyinyi wenye elimu mmebaki kuwa vibarua wao kwenye viwanda , makampuni na maduka yao?
 
Nyie si mnapenda maulidi kuliko shule? Si mnapenda sana liwati kuliko elimu? Si unaona mama enu Samia nahangaika kuokoteza watu huko Bwakwata na Shura ya maimamu bado hapati inabidi arudi kwa wagalatia?

Itaqachukua miaka 200 muwafikie wagalatia kwa shule.
Kwahiyo Magufuli nae alikuwa anaokoteza wale wakina Prof Mbarawa? acheni mawazo ya kitoto tulieni kwenye mada
 
Hebu weka wafanyakazi wa Azam TV ambao wote tunawaona..maana Mimi nawajua wengi James samwelu,ivonna kamuntu,baraka mpenja, Charles Hilary kapita,jof Lea kapita,macha yupo..nadhani na wengine wengi unawajua..acha unafiki na chuki za kijinga
Hujanielewa, rudia kusoma
 
Hao hapo wakiwa wanatoka mashimoni wakija kujisalimisha.

FB_IMG_1699986020095.jpg
 
Sasa hao unao sema hawana elimu mbona ndo wamedhibiti uchumi wa nchi yako ni nyinyi wenye elimu mmebaki kuwa vibarua wao kwenye viwanda , makampuni na maduka yao?
kama wamedhibiti uchumi, mbona hawawasaidii ndugu zao manzese huko? siku zote anayekula raha ni msomi, ukiwa na pesa kama elimu hauna utasaidiwa tu.
 
Dah!.. hii Vita imeleta maafa kwa Wapalestina na Waisrael, ifike mwisho sasa.
 
ndugu, kubali tu kwamba tamaduni za dini tunatofautiana ndio maana unakuwepo hata utofauti wa kielimu pia. kuna dini fulani elimu dunia huwa hawajali saana na ni walegevu sana, na nyingine elimu ni kipaumbele. wakati wewe unapeleka mtoto madrasa akasome dini, mimi napeleka chekechea, akirudi nyumbani namshikia fimbo anasoma, wewe akirudi nyumbani ni kucheza kiduku na kusoma dini na kuangalia tamthilia. tumesoma nao, hata wale waliozaliwa na wazazi wasomi unaona kabisa shuleni anazidiwa, background inawabeba hao wengine, wao elimu ni kitu cha muhimu mno.

wakati dini nyingine inachangisha au kukusanya sadaka na kujenga shule na hospitali, ile ingine inachangisha kujenga madrasa, kununua tende uarabuni. hivi kweli tutakuwa sawa? wakati wamisionary wanafika walileta shule, waarabu wakaleta dini bila shule. hesabu shule za kibongo za hao wengine ngapi? wakati wao ndio matajiri namba moja hapa nchini, wapo tayari kulipia watu waingine bure kuangalia mpira wa yanga na simba, wakati mwingine anaongeza madarasa ya shule za watoto na wakija pale hata kama ni waislam watasomeshwa salamu maria. tutakuwa sawa kweli?
Mi mbona niliwazidi darasani hao wa dini yako wengi tu!!..halafu baada ya uhuru hapakua na utaratibu wa tuition,huo umekuja na kushika Kasi 1990s,kila kitu kiliishia shule,mitihani ya ndani waislam walifanya vizuri,wakaea hawana akili' kwenye mitihani ya mwisho kwenda hatua zingine za elimu,wakati waislam wanataka kujenga university pale chang'ombe jirani na uwanja wa mkapa, Nyerere akaingia field kupambana nao na kuvunja taasisi yao akaunda bakwata,wizara ya elimu ilikua ikiweka kauzibe ATI waislam hawaruhusiwi kuwa na shule,wakajenga qiblatein na vijana wakasoma bila kutaraji vyeti,ni mpaka prof Malima alipokua Waziri wa elimu 1988,akawasanua waislam kuwa wanaruhusiwa kuwa na shule,zikaanza kufumuka shule za waislam na Leo miaka 35 tu Wana shule zaidi ya 300, mjerumani alipokuja kuanza ukoloni aliwatumia majumbe na maliwali Kama wasaidizi,walikua wakiandika kiswahili kwa hati za kiarabu,ikulu ilikua shule na ocean road pia,shule za waislam, waislam walipotaka kusoma shule za mkoloni walitakiwa badili dini,mzee Moses(Musa) nnauye,baba yake nape,ikabidi abadili jina la Musa na kuwa Moses ili asome, waislam wamekua wakibaguliwa kielimu tangu mkoloni Hadi serikali huru,huwezi kuwa na uwezo darasani au kinyume chake kisa dini,huwezi kuwa mkakamavu kisa dini,walipigana majimaji hapakua na mkiristo hata mmoja Bali Ani Abdul rauf songea mbano na Abu bakri kinjekitile,mhehe abdallah mkwawa,bwana kheri na Abu shirika ,1997/8 zilitoka takwimu za ajabu kuhusu ufaulu dar es salaam,75% walikua wakiristo wakati wanafunzi wote 75% walikua waislam, kelele zikawa nyingi kwa kapuya akiwa Waziri wa elimu na kitwana kondoo,kapuya akaondolewa wizarani 2000,kitwana kondoo akapoteza Jimbo la kigamboni likaenda cuf
 
Kweli waisilam ni magaidi kama ww ulivyo shoga, na mama yako alivyo muuza maku wa bie rahisi hapo buza.
Mashoga ni wengi zanzibar ambako 90% ni waislam.

Na dada zao pia wanapenda michezo hiyo.
Islj
 
kama wamedhibiti uchumi, mbona hawawasaidii ndugu zao manzese huko? siku zote anayekula raha ni msomi, ukiwa na pesa kama elimu hauna utasaidiwa tu.
Nyinyi mnajiita wasomi lakini cha kushangaza nyinyi ndo vibarua kwenye viwanda vya mnao hawana elimu.
 
Asilimia kubwa ya mafisadi papa wanaoitafuna nchi na kuirudisha nyuma ni kutoka hiihii imani ya kina Hamas.

Wao ndio wameharibu uchumi wetu kwa wizi, ufisadi na ukwapuaji wa kutisha.

Tafiti za uhakika zimethibitisha.

adriz Ritz Accumen Mo Malaria 2 incharge Adiosamigo Granta ITR Bravo Mike
Hii ni top post inayoonesha namna chuki ya kiimani inavyoweza kusambaratisha jamii.

Ukishakuwa na chuki dhidi ya mwanadamu mwenzako tayari umejivua imani sahihi inayokuweka karibu na Mungu
 
ok, ngoja tuamini hivyo ili moyo wako uridhike.
Sio muamini bali ndo ukweli mwenyewe.

Ww hapo ulipo maisha yako ya kila siku yanategemea bidhaa za viwanda ambavyo wamiliki wake ni waisilam unao sema hawana elimu.
 
Back
Top Bottom