IDF yawataka Viongozi wa Hamas wajisalimishe

IDF yawataka Viongozi wa Hamas wajisalimishe

Jeshi la Israel Leo jumatano limefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Al Shifa , na kuanza operesheni ya kuwamaliza masalia wa Hamas na Viongozi wao.

IDF imeingia hospitalini hapo ikiwa pamoja na madaktari na watafsiri wa lugha ya kiarabu. Jeshi Hilo limesema litawasaidia watoto wa changa kwa kuwapeleka Israel kupata matibabu.

Kuna uwezekano kuwa mateka wapo Chini ya Handaki pamoja na Viongozi wa Hamas akiwemo Yahya Sinwar. Hamas walikuwa wameomba mapigano yasitishwe kwa siku tano na waweze kuwaachilia mateka 70, ila inaonekana Israel hawataki Hilo Jambo.

Al Shifa imekuwa ndio ngome ya mwisho ya mapigano, ndio maana IDF wamewaomba Viongozi wa Hamas wajisalimishe.
Siyo kweli..hapo ni Gsza kaskazini mkuu
 
Pa
  • Killed: At least 11,240
    • Including at least:
      • 4,630 children
      • 3,130 women
  • Injured: At least 27,490
    • Including at least:
      • 8,663 children
[/QUOTo
  • Killed: At least 11,240
    • Including at least:
      • 4,630 children
      • 3,130 women
  • Injured: At least 27,490
    • Including at least:
      • 8,663 children
Kwa hiyo hapa ndugu haujaona idadi ya hao wanaume 3480 ktk taarifa talk hii uliyoileta au ndo upofu wa propaganda au tatizo shule?
 
Kulingana na magaidi wa humu JF, hospitali ya Al Shifa haina wanamgambo wa Hamas bali ina wagonjwa, wafanyakazi walioelemewa, watoto na maiti. Hii ni teknolojia ya hali ya juu sana wagonjwa kupigana kwa silaha, mabomu na kuleta upinzani kwa jeshi. Haijawahi tokea sindano zikageuka bunduki.
Kelele zote ohh wanashambulia Hospitali zikikuwa za kuwanusuru magaidi wa Hamas sio wagonjwa ile haikuwa hosputali ilikuwa kambi ya wanajeshi wakitoka vitani kupitia Tunnels wanaenda kulala mawodini

Mawodi yote yalikuwa mabweni ya kulala wanajeshi

Sehemu ndogo tu.ndio waliacha kwa ajili.ya kuzuga kuwa ni ya kulaza wagonjwa akina mama na watoto

Ila mhospirali ule mkubwa kuliko yote palestina ni kambi ya Hamas
 
ndio maana hata madaktari waligoma kabisa kuondoka al shifa, kwasababu walijua siri itafichuka kuwa hospitali hiyo ina mahandaki chini ambako hamas wanaoperate. na wale madaktari ni hamas haohao, israel wawachukulie tu hatua kwasababu sio kwamba hawajui kilichokuwa kinaendelea, wapo pamoja nao.
 
Sikutaka kuchangia ila tu Ngoja nijaribu kukuongezea uelewa halisi juu ya propaganda hii.

Kwa takwimu halisi zilizopo ama Tanzania bara au visiwani hadi sasa shule zinazoongoza kwa kufanya vibaya ni ama za dini ya kiislamu au sehemu zenye waislam wengi na mbaya zaidi zanzibar.

Sasa ndugu yangu hapa napo utasingizia wagalatia? Kama ndivyo Zanzibar je?
Nimezungumzia idadi ya shule,sijazungumzia shule zinazofanya vibaya,hata tukija kwenye shule zinazofanya vibaya,una ushahidi na takwimu zako!?..kwamba shule za kata zinafanya vizuri!?..kwa nini Arusha Kuna walimu wengi wa somo moja wakati lindi na mtwara Kuna uhaba wa walimu,hatuendelezi yaleyale!?
 
Sasa Wapalestina wa Samvu la chole tuendelee tu kudanganyana, kwamba safari hii Hamas itaishinda Israel na kuishangaza dunia, vita haipiganwi kwenye baobonye jamani

Waambie vita haipiganwi nyuma ya keyboard
 
Punguza usenge ww mpiga puli nani gaidi?

Kwani kulikuwa na mapigano kutoka ndani ya hospital?

Mapigano yalikuwa mita zaidi ya 500 kutoka hospitalini na sio ndani ya hospital, na Israel ndo alikuwa ana ishambulia hiyo hospital kwa mizinga kutoka mbali.

Sasa siwamesha ingia ndani ya hospital basi tunasubiri watuoneshe hao viongozi wa Hamas na mateka na hayo makao makuu ya hamas waliyo dai yako ndani ya hospital hiyo.

Kwanini hamas wasikae mbali na hospitali kama kweli wanathamini maisha ya wapalestina?! Mita 500 ni umbali mdogo Sana kwenye uwanja wa mapambano
 
Kwa Mara ya kwanza wizara ya elimu kushikwa na muislam ni 1988,huko nyuma Hadi padre alikua Waziri wa elimu,na waliofaulu kwa wingi mkubwa ni wakiristo,siyo kwamba waislam hawakupeleka watoto shule,hata Tanga na dar ambako waislam ni wengi zaidi,uwiano wa wakiristo kufaulu ulikua mkubwa,hii ndiyo janja ya kujifanya kutaifisha shule,ili waislam waliokua na pesa za kutosha wasijenge shule kudhibiti idadi ya wasomi waislam,lakini Leo kwa dar tu waislam Wana shule nyingi kuliko dini yoyote ile,na jakaya kuweka shule za kata ilikua ni kukata mzizi wa fitna
ndugu, kubali tu kwamba tamaduni za dini tunatofautiana ndio maana unakuwepo hata utofauti wa kielimu pia. kuna dini fulani elimu dunia huwa hawajali saana na ni walegevu sana, na nyingine elimu ni kipaumbele. wakati wewe unapeleka mtoto madrasa akasome dini, mimi napeleka chekechea, akirudi nyumbani namshikia fimbo anasoma, wewe akirudi nyumbani ni kucheza kiduku na kusoma dini na kuangalia tamthilia. tumesoma nao, hata wale waliozaliwa na wazazi wasomi unaona kabisa shuleni anazidiwa, background inawabeba hao wengine, wao elimu ni kitu cha muhimu mno.

wakati dini nyingine inachangisha au kukusanya sadaka na kujenga shule na hospitali, ile ingine inachangisha kujenga madrasa, kununua tende uarabuni. hivi kweli tutakuwa sawa? wakati wamisionary wanafika walileta shule, waarabu wakaleta dini bila shule. hesabu shule za kibongo za hao wengine ngapi? wakati wao ndio matajiri namba moja hapa nchini, wapo tayari kulipia watu waingine bure kuangalia mpira wa yanga na simba, wakati mwingine anaongeza madarasa ya shule za watoto na wakija pale hata kama ni waislam watasomeshwa salamu maria. tutakuwa sawa kweli?
 
ndugu, kubali tu kwamba tamaduni za dini tunatofautiana ndio maana unakuwepo hata utofauti wa kielimu pia. kuna dini fulani elimu dunia huwa hawajali saana na ni walegevu sana, na nyingine elimu ni kipaumbele. wakati wewe unapeleka mtoto madrasa akasome dini, mimi napeleka chekechea, akirudi nyumbani namshikia fimbo anasoma, wewe akirudi nyumbani ni kucheza kiduku na kusoma dini na kuangalia tamthilia. tumesoma nao, hata wale waliozaliwa na wazazi wasomi unaona kabisa shuleni anazidiwa, background inawabeba hao wengine, wao elimu ni kitu cha muhimu mno.

wakati dini nyingine inachangisha au kukusanya sadaka na kujenga shule na hospitali, ile ingine inachangisha kujenga madrasa, kununua tende uarabuni. hivi kweli tutakuwa sawa? wakati wamisionary wanafika walileta shule, waarabu wakaleta dini bila shule. hesabu shule za kibongo za hao wengine ngapi? wakati wao ndio matajiri namba moja hapa nchini, wapo tayari kulipia watu waingine bure kuangalia mpira wa yanga na simba, wakati mwingine anaongeza madarasa ya shule za watoto na wakija pale hata kama ni waislam watasomeshwa salamu maria. tutakuwa sawa kweli?
Jina lake INAMA USWEKWE
 

Attachments

  • IMG_6160.jpeg
    IMG_6160.jpeg
    88 KB · Views: 2
Jeshi la Israel Leo jumatano limefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Al Shifa , na kuanza operesheni ya kuwamaliza masalia wa Hamas na Viongozi wao.

IDF imeingia hospitalini hapo ikiwa pamoja na madaktari na watafsiri wa lugha ya kiarabu. Jeshi Hilo limesema litawasaidia watoto wa changa kwa kuwapeleka Israel kupata matibabu.

Kuna uwezekano kuwa mateka wapo Chini ya Handaki pamoja na Viongozi wa Hamas akiwemo Yahya Sinwar. Hamas walikuwa wameomba mapigano yasitishwe kwa siku tano na waweze kuwaachilia mateka 70, ila inaonekana Israel hawataki Hilo Jambo.

Al Shifa imekuwa ndio ngome ya mwisho ya mapigano, ndio maana IDF wamewaomba Viongozi wa Hamas wajisalimishe.
Wamelifind na wameliget. Japo vita mbaya jamani
 
Kelele zote ohh wanashambulia Hospitali zikikuwa za kuwanusuru magaidi wa Hamas sio wagonjwa ile haikuwa hosputali ilikuwa kambi ya wanajeshi wakitoka vitani kupitia Tunnels wanaenda kulala mawodini

Mawodi yote yalikuwa mabweni ya kulala wanajeshi

Sehemu ndogo tu.ndio waliacha kwa ajili.ya kuzuga kuwa ni ya kulaza wagonjwa akina mama na watoto

Ila mhospirali ule mkubwa kuliko yote palestina ni kambi ya Hamas
Watuoneshe sasa hao magaidi siwamesha ingia hospital?
 
Back
Top Bottom