Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Wema, the Mistress of a Mind Game.
Alijisononesha mbele ya hadhara kuwa kahangaika kwa madaktari na bado hashiki mimba.Hii niliitafsiri kama mtego kwa maadui ili waamini hana uwezo wa kuzaa na ili apate public sympathy ambayo kikweli aliwin.Ila sio kwa baadhi ya watu kama mimi.Sikuamini kuwa alikua na tatizo serious la kupata mimba kwa kuwa mwenyewe ailiwahi kukiri hadharani kuwa alitoa mimba ingawa sikuona haja ya yeye kuelezea mambo yake hadharani.
Tena, akasema kuwa hana mpango wa kuzaa.Hii ni kupata kiki tu.
Sifikirii kama Dai au mtu yeyote hakutaka Wema azae...its absurd.
Wema huwa anajitengenezea ulingo mwenyewe, anacheza mwenyewe na kushinda mwenyewe.
Hongera kwa mimba.Usitumie mimba yako kama fimbo, wewe mwenyewe ulijitengenezea mazingira ya kuitwa Mgumba ilihali ulijua hauna ugumba.
 
Kwaio na wema nae anafanya kama ilivyokua Diamond na mume wake zari kipindi ni mjamzito ili baadae watu waanze kusema mtoto sio wa fulani ni wa fulani...
 
the fake projects continue
 
dah hilo tumbo na lianze kutuna ili tudai DNA yetu kwa nguvu,kwani ye si alishindwa kumdungua madam akamkimbilia bi kidude.
 
Matamu mnooo, yani maneno kaandikiwa mwingine, ila navyosmile huku sasa utadhani nimeandikiwa mimi jamani.[emoji182] [emoji182] [emoji85] [emoji85]
Alaf unajua kidhungu kina maneno matamu eeeh!hayo ya kawaida sana!
 
hongera zao nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 

October rafiki yake na IDRIS mnamibia MUNANA alikuwa anakula mambo leo January Idris anasema kamtia mimba WEMA hahahaha mtoto akizawila yatakuwa yale yale ya Diamond, Zari na King Laurrence kugombea Mtoto
Wanawake wengine bana wanagawa nyuchi akipata mimba anambambikia aliye karibu
 
Ingekuwa ametia mimba October si November tu ingeshajulikana katia mimba. Tangu october mpaka leo ni miezi mitatu...huyo mnamibia naye hana mbegu.
 
Idriss Sultan

Nlimpigia kura sana wakati wa BBA

Ila kwa sasa hafanani na yule wa BBA

Sijui kabadilika nini ila ananifanya nimkumbuke muhuni "NANDO"

Pesa na umaarufu.

Unapata K ambazo hukuwahi kuziwazia.

Unaingia viwanja vya ndoto zako.

Unamkumbuka Hasheem Thabeet enzi zake?
 

whaw so sweet and nice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…