Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BMW m series nzuri sana enzi hizo,Hilo gar la milion 30 ni lipi? Alinunua verosa kipind kile ndo zinatamba hapa town..
Kwa sasa anatembelea brevis
Ray C[emoji38][emoji38]Na kuna yule aliemfirisi MWISHO MWAMPAMBA
Mwisho hakupata pesa kivileHela za BBA zina laana mambo yanayofanyika kwenye lile jumba Mungu hayakubali ,rejea Mwisho Mwampamba na sijui yupo wapi skhz.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kha..yaani kaenda kuzika hela kwenye madini baadala ya kuzika hela kwenye papuchi...yaani mil 600 mie cha kwanza mil400 fixed deposit mil 100 ndinga kali alafu mil 100 hapo nikugegeda papuchi mia moja za million moja moja
Duuuu,wewe ndo maana hupati!! Ungetumalizia wasichana wetuKha..yaani kaenda kuzika hela kwenye madini baadala ya kuzika hela kwenye papuchi...yaani mil 600 mie cha kwanza mil400 fixed deposit mil 100 ndinga kali alafu mil 100 hapo nikugegeda papuchi mia moja za million moja moja
Duuuu,wewe ndo maana hupati!! Ungetumalizia wasichana wetu
Na hiyo ya Advertising Agency bado ipo?.Hiyo ya gold si ndiyo hiyo ya madini iliyomwingiza loss?
Na hiyo ya Advertising Agency bado ipo?.
Ila hapo anapoongea kwenye clip ni kati ya mwishoni mwa 2015 au mwanzaoni wa 2016....hivyo alimaanisha anamiliki hizo kampuni mbili kwa wakati huo.Labda awe ameanzisha now kipindi kile anadai alifilisika kabisaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Muongo huyo.. ana nyumba za kupangisha kigamboni..
Ana nyumba buza kanisani..
Anaongea kutafuta kiki.. ili aonekane mpuuzi..
Uliza ma super star wenzake..wanakwambia hakuna mtu mbahili kama huyo idrisa..
Ndugu yangu alishapanga nyumba ya idrisa buza kanisani
Upate milioni 600 kwa mtu aliekulia familia ya biashara kama idrissa iyeyuke tu.. hata kwao wangemtenga
Sijaelewa hiyo biashara ya madini haikulipa au jamaa(wema sepetunga) yake kamzima?...