Idris Sultan: Milioni mia sita ziliisha nikashindwa mpaka kulipa kodi nikarudi kwa mamdogo Kimara

Idris Sultan: Milioni mia sita ziliisha nikashindwa mpaka kulipa kodi nikarudi kwa mamdogo Kimara

Kha..yaani kaenda kuzika hela kwenye madini baadala ya kuzika hela kwenye papuchi...yaani mil 600 mie cha kwanza mil400 fixed deposit mil 100 ndinga kali alafu mil 100 hapo nikugegeda papuchi mia moja za million moja moja
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muongo huyo.. ana nyumba za kupangisha kigamboni..

Ana nyumba buza kanisani..


Anaongea kutafuta kiki.. ili aonekane mpuuzi..

Uliza ma super star wenzake..wanakwambia hakuna mtu mbahili kama huyo idrisa..

Ndugu yangu alishapanga nyumba ya idrisa buza kanisani

Upate milioni 600 kwa mtu aliekulia familia ya biashara kama idrissa iyeyuke tu.. hata kwao wangemtenga

Watanzania tuna matatizo kichwani. Sasa uongo wote huo anaongea ili nini kwenye chombo cha habari? Kwa faida gani? Watu maarufu bongo bure kabisa. Hakuna hata wa kumwamini.
 
nimemsikiliza,mwanzo nilimuona mjinga sana na mbaya zaidi hataki kukubali alifanya ujinga, lakini mwisho nimemkubali sana, ameweza kupambana na kuzipata, nadhani hadi mwaka huu uishe atakuwa amezirudisha m600 zote
 
Back
Top Bottom