Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

Hivi ukiwa msanii/maarufu unakuwa na akili mruko ruko ama?? Ndio maana akihojiwa msanii huwa 99% ya maneno yao siyatilii maanani!
Huyu idriss akihojiwa na kipindi cha NIRVANA cha EATV na Yule mtangazaji sijui KITANA. alipomtemvelea idriss nyumban kwake kufanya xclusive interview nakumbuka alipoulizwa swali kuhusu wema alijib kama ifuatavyo,
" sina la kusema bro, kwa kifupi wema is everything, yan ukiwa nae unakuwa umepata mwanamke, sijawah pata mwanamke kama huyu. She has everything mwanamke anapaswa kuwa nacho"
Leo unahojiwa swali lile lile unajibu opposite.
Huu ni ukichaa.
Mnapokuwa mnahojiwa mnapaswa kujua tupo watu na akili zetu tunawatizama sio walevi pekee ama wavuta unga/mateja wapoteza kumbukumbu.
 
Idriss kuna siku alihojiwa kuwa inasemekana madam anampeleka vbaya na mpunga unakata aksema oooh yeye hua hahongi kibwege...nikajiuliza yani cash madame aache kumpukutisha hyo dogo..[emoji848] ahhaha zilipokata tu wema nae akajikataa dogo ndo anaanza kufunguka mamamae kwan hakujua kua madam mjini anaishije..from 500M mpk kutangaza redio ama kweli na asipo angalia atapumuliwa
 
HUYU SIO MANGI.

HAKUNA MANGI MPUMBAVU HIVI. MILIONI 500 UNATUMBUKIZA CHOONI AISEEE. MANGI AKIPATA M10 TU ANATUSUA.

KUDADEKI ZAKE IDRIS.



Achana na kukariri nawajua wachaga ambao walikuwa wanapiga dili za maana lakini sasa hivi mifereji imekata wamebaki kunywa gongo Keko Magurumbasi tu.
 
ALIKUWA na ukata gani huyu aliyekuwa anakula na kulala bure, HAWA huwa wanajisahau sana,HAWA ni vijana wa kuokota dodo ktk mwarobaini halafu hawastuki.
JINA la WEMA limewatoa vijana wengi sana ,LAKINI BAHATI mbaya vijana HAWA hawajui kuishi na WANAWAKE ,ILA kama wangejitambua wangefika MBALI zaidi.NADHANI KWA SASA WEMA ANA KILA SABANU YA KUPATA MWANAUME MWENYE MSIMAMO WA MAISHA ,DINI NA KUACHANA KABISA NA WASANII.
MIMI BINAFSI NAMTAFUTA WEMA NIPATE KUMUELEZA JAMBO !
WASANII NI KAMA WATOTO!
hahaha . ..braza nakutakia safari njema ya kumtafuta wema..hahaha
 
Take home ya Laki 4 na Kurun X3 si inaishia kwenye mafuta tu? 500m umei_rebook_adidas_fila yote?
 
Mmh !!ukitafakari sana kwakweli hawa watoto wetu tuwaombee sana maana hawajitambui ,nikisema hivi haya tunayaona hata katika familia zetu watoto Wetu,ndugu zetu,wadogo zetu na hats jirani zetu inafika mahali unaomba tu Mungu awafungue Hapo ambapo muovu amewateka inaumiza sana sana
 
Anapomlaumu Wema asisahau kumshukuru pia kwa kumuweka kwenye ramani ya umaarufu hapa tz.Ninachoamini mimi hakuna mshiriki wa big brother aliye maarufu zaidi ya mwisho mwampamba.Wema anamchango mkubwa katika umaarufu wa idris.
 
Back
Top Bottom