Idris hakupangiwa MD. Alipangiwa kusoma IT Kampala university. Aliudanganya umma kuwa alipangiwa MD. Japo ni kweli alisoma PCB mbezi high. Na alipata division three ya point 15Wenzake aliokuwa nao jeshi kule musoma
Wako mwaka WA nne wanasoma udaktari na yeye alipangiwa kairuki university...!!