Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

Kuna uzi mmoja uliwekwa juzi wanasema Wema anasomea petrolium engineering...huyu dada ana matatizo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikikumbuka ile scandal ya kwamba wema ana mimba walivyokuwa wanahojiwa na diva ala za roho duh aibu yao
 
HUYU SIO MANGI.

HAKUNA MANGI MPUMBAVU HIVI. MILIONI 500 UNATUMBUKIZA CHOONI AISEEE. MANGI AKIPATA M10 TU ANATUSUA.

KUDADEKI ZAKE IDRIS.
Mr.nice ni kabila gani¿?????
 
Kuna uzi mmoja uliwekwa juzi wanasema Wema anasomea petrolium engineering...huyu dada ana matatizo sana
Wema akiongea kitu lazima wewe unayemsikiliza ujiongeze, mimi huwa nikisikia habari kama hiyo basi sitomlaumu Wema, bali aliyeitoa hiyo habari hadharani.

Ndio maana sikushangaa wengi walipoamini aliposema ana ujauzito.
 
Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa
Idris Sultan ameamua kukiri wazi kuwa
kipindi yupo kwenye mahusiano na Miss
Tanzania 2006 Wema Sepetu alikumbwa na
ukata.
View attachment 464458
Kupitia kipindi cha Clouds e cha Clouds Tv
Idris Sultan amesema wakati yupo kwenye
mahusiano yake yaliyopita na mrembo
Wema Sepetu alikuwa kwenye Ukata hivyo
nilijikuta sifanyi vitu vya maana kuliko
kipindi hiki ambapo yupo Single.
“ Wakati nipo kwenye mahusiano yangu
yaliyopita niliyumba kidogo kiuchumi kwani
sikuwa nafanya mambo mengi ya muhimu
kuliko sasa hivi kwani hata watu wangu wa
karibu watakueleza hivyo,nafurahi niko
single na naendelea kupambana“Alisema
Idris.
Ikumbukwe idris alishinda tsh milioni 500 za kitanzania kwenye shindano la big brother Africa.
Idris sasahivi ni mtangazaji wa choice FM
Hahaha mil500 angefungua radio yake. ogopa sana papuchi *****
 
Japo wengi mnambeza na kumtuhumu Wema, lakini mie namuona ni binti ambae anaacha a lasting impact katika mahusiano yake mengi.. Diamond yeye alishakiri hadharani anamshukuru sana Wema kwa kumfundisha kiingereza.. Well, na Idris nae bila shaka hataacha kumkumbuka Wema, kwa kumuweka juu ya mawe..

Kazi nzuri Wema..
 
Mimi sielewi kabisa. Unashindaje mil 500 Halafu unafulia mpaka unataka kuajiriwa tena?
Dogo mpumbavu...Na nina hakika zile 500 huwa hawapewagi zote lazma kuna mambo ya michongo mle huenda alikula 300 tu ila si haba..Itabaki kuwa siri yake!
 
Hiyo hela ingemtosha kufungua kituo chake cha redio

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom