Idris Sultan Yamemfika Hapaa

Idris Sultan Yamemfika Hapaa

Wema alimheshimu Sana Idriss sema yeye na utoto wake tu ndo vimemharibia mana ukiangalia wema alikubali sana kushuka for the sake of love Ila inavyoonyesha wema nae alishindwa jamani
Mana mambo yote ya ndani bwana yule wakikerana anayotoa mi Ndo maana namuita ni mwanaume ******** tu!

Halafu analeta utoto eti wa kujibishana na wanawake ptuuuu!!.
Kajifanya kuzira IG haya sasa tuone kama atakick...!!!

Wiki moja nyingi tunamsahau km Richard,Mwisho na wengineo!

Awe tu mpole mwanume!!
Hivi mkuu ungekubali uchapiwe tena bila kificho? Apocalypsebella alikula ule mzigo,bado wengine mwacheni tu Ngongoti agugumie siunajua maumivu yakizidi lazima upige ukunga
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hivi mkuu ungekubali uchapiwe tena bila kificho? Apocalypsebella alikula ule mzigo,bado wengine mwacheni tu Ngongoti agugumie siunajua maumivu yakizidi lazima upige ukunga
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dogo mwenyewe aliànza miyeyusho ndo maana wajanja wakajilia vyao!

Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani!
 
Mhhh madam mwenye matusi ya nguoni ndo huyo yuko humble? Ningekuwa sijawahi ione video yake akiporomosha matusi ya nguoni kwa mlinzi ningekubali,kama tu mlinzi alikula matusi vile hao wasanii wanaosaidiwa ni kuifanya jamii ya watu kama ww waamini kuwa yu asaidia watu.
Kila mtu angekuwa anashutiwa video maisha yake tusingeheshimiana wala nini. Wema yuko poa tu, maisha ya mtu hayaonekani na video moja ya umbea
 
A kind of person you wish she was. Ujinga wa akina Mati sio lazima uwe ni masterplan ya Wema... Madame ni msafi tangu zama hizo, lau angekuwa roho mbaya angewapotezea wabaya wake kwenye system, maana ana gig huko.
Madame ni mhumble, hana matata...
Wewe VP Na huyo wema sio bure Pesa ya kigodoro cha juzi umegawiwa uje utetee ujinga.....Yeye Wema huwa anajiahibisha sana Mara ghafra akiachana Na MTU huyo bila hasa subira kesho Bar yupo Na wakongo ananyonyanaaa nao ulimi..What kind of a person you want yo cover
 
Idriss anamwaga povu Snapchat
lloooh!
mwanaume ukue basii!!!.
mxiuuuu
 
Hahahaaaa,mkuu umeniacha hoi,ila kuna ukweli kwenye hayo. Wapo ambao hawajali ametembea na wangapi ni issue ambayo wanawake wengi wanapitia sema haijulikani msululu kwa sababu sio mastaa,but issue ya sepenga ni kupangiwa life yake ya privacy na so call fans wake. Yaan hawa fans wanatamani hata wamchagulie style ya kukwichikwichi Idris
Pointless....Eti wengi wana wengi ila kwa kuwa sio masupastar Sasa umesema nini..Kitendo tu cha MTU kuwa star Ni vizuri aangalie nyendo zake..Baada ya yeye auendeshe ustaa ..ustaa unamuendesha yy..Haoni wenzake akina Nansy Faraja K-lyn..Wote wapo Na Ni mastaa ....Kama mabwana tofauti waliwai kuwa nao.Mbona wana heshima..Yaani kuwa superstar sio kigezo cha kujitoa ufahamu.Umeshasema Ni Star Sasa hapohapo unasema wapo wengine sio star wana wanaume wengi ila hawasemwi..Sasa watasemwa VIP Na ilihali hawajulikani.Au niandike apa Mwajuma Aachana Na John..utanielewa wewe.Usijifanye unapenda sana huyo Mama Vigoma.
 
Pointless....Eti wengi wana wengi ila kwa kuwa sio masupastar Sasa umesema nini..Kitendo tu cha MTU kuwa star Ni vizuri aangalie nyendo zake..Baada ya yeye auendeshe ustaa ..ustaa unamuendesha yy..Haoni wenzake akina Nansy Faraja K-lyn..Wote wapo Na Ni mastaa ....Kama mabwana tofauti waliwai kuwa nao.Mbona wana heshima..Yaani kuwa superstar sio kigezo cha kujitoa ufahamu.Umeshasema Ni Star Sasa hapohapo unasema wapo wengine sio star wana wanaume wengi ila hawasemwi..Sasa watasemwa VIP Na ilihali hawajulikani.Au niandike apa Mwajuma Aachana Na John..utanielewa wewe.Usijifanye unapenda sana huyo Mama Vigoma.
Hujanielewa kabisa,kubwa ni kuwa mashabiki wa wema ndio wanaoendesha maisha yake. Hana privacy hata kidogo. Na hili ndilo linalomcost kwenye rlshps zake
 
Back
Top Bottom