Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania


Kudadaaaaa
 
Jamaa kawa mzuri baada ya pesa kumtembelea, pesa haimkatai mtu binamu, nasikia kapiga had hamisa mobetto

Hawa masupastaa mavi ya kuku mbona wana hatari....

Wanagongwa kama hawana akili nzuri
 
Julie ana drve gar flan ivi ndog ndog kali sana sijui inaitwaje sijawah kuziona sana apa town, hawa malaya mar nyingi wanapewa tu waendeshe, keshi utamuona na rav 4, mara brevis ilimrad fujo tu ila sidhan kama yanakuwa yakwao kweli

Binamu petit kafunga ndoa
 
Binamu petit kafunga ndoa

Ndo nimeona picha? Nimeshtukaje? Yani hawa watatupa presha wenzao surprise gani hiyo? Ila mwenzangu wamefanya haraka sana hiyo ndoa hata haidumu tupo apa wachawi, utaniambia
 
Ndo nimeona picha? Nimeshtukaje? Yani hawa watatupa presha wenzao surprise gani hiyo? Ila mwenzangu wamefanya haraka sana hiyo ndoa hata haidumu tupo apa wachawi, utaniambia

Mmmhhj bina ikidumu tuhamie mwana.halisi forum
 
Kwa hiyo ndo unafanya nini? Nimekutuma au unaleta shobo apa? Apa umbea tu mambo ya kufundishana jinsi ya kuandika uko peleka usituwekee kiwingu apa

...apa = hapa.

...uko = huko.
 
Nipo apa binamu, hamna kitu pale wanatak umaarufu tu wa kujinga,

Hicho kibibi kilikua na hamu ya kuolewa pia kilikosa wa kukioa kimeona kitoe nuksi mjini na amshukuru Ndomo la sivyo angeshiriki bibi bomba
Hivi hua huyu bibi wamechangia mama na ndomo eti
 
mh... nmeshtuka kidogo.. jamaa nmemfahamu mda.. n photographer na pia n mtu wa kutembea sana nchi za wenzetuu
 
Hicho kibibi kilikua na hamu ya kuolewa pia kilikosa wa kukioa kimeona kitoe nuksi mjini na amshukuru Ndomo la sivyo angeshiriki bibi bomba
Hivi hua huyu bibi wamechangia mama na ndomo eti

Hehehehh haluuuu (kwa sound melody ya kiBambo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…