ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Hahahaaa. Kuna mmoja nilimsoma juzi id yake ina miaka zaidi ya mitano ila akasema alijiunga humu akiwa na miaka 16 sijui 17 nikasema Doooh.

Jf ni zaidi ya tuijuavyo. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo najua umepata mkongwe kumbe mtu analingana na mdogo wako wa mwisho
 
Uko sahihi kabisa dada
 
Eti na mie ID yangu nnafaa kuitwa mkongwe au!? Embu kabisaidie kuchungulia. Ili nijue mapema kama nnafaa kukuzamia DM[emoji38][emoji38]
Unafaaaaa sana tu mkongweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…