Idugunde nimekuwa very wise. Muda wote convern yangu ni juu ya mustakabali wa taifa langu. Masuala ya mpira wa Ulaya hata Bongo sifuatilii

Idugunde nimekuwa very wise. Muda wote convern yangu ni juu ya mustakabali wa taifa langu. Masuala ya mpira wa Ulaya hata Bongo sifuatilii

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mimi nakula Balimi lager siku za weekend kama leo.

Siwezi kupoteza muda kushabia Man U au Arsenal.

Taifa letu lina changamoto nyingi. Tozo zimekuwa kama mwiba wa Gogogo kwa watanzania. Wanaumia kila kona. Nawafuata na kuwauliza na kila mtanzania analalamika. Anaona sasa ni kumizwa na mwiba wa GoGogo kwenye koromeo.

Nikiwa baa nakula Balimi za baridi maana hizi huwa zinakaa kichwani mpaka keaho yake. Nahitaji kusinzia ili niondoe msongo wa mawazo.

Idu... Mzalendo wa kitanzania nikiwa Igunga.
 
Mimi nakula Balimi lager siku za weekend kama leo.

Siwezi kupoteza muda kushabia Man U au Arsenal.

Taifa letu lina changamoto nyingi. Tozo zimekuwa kama mwiba wa Gogogo kwa watanzania. Wanaumia kila kona. Nawafuata na kuwauliza na kila mtanzania analalamika. Anaona sasa ni kumizwa na mwiba wa GoGogo kwenye koromeo.

Nikiwa baa nakula Balimi za baridi maana hizi huwa zinakaa kichwani mpaka keaho yake. Nahitaji kusinzia ili niondoe msongo wa mawazo.

Idu... Mzalendo wa kitanzania nikiwa Igunga.
Umekuwa wise wapi?Sema ume kuwa More currupt 🤸
 
Wakati wa Magu, hukukosoa chochote, una rekodi humu za kusifia kila linalofannywa na watawala (CCM) kaa kwa kutulia, hii ni zamu ya watoto wa mjini,

Kama huwezi hamia Burundi,
Niko Bujumbura naenjoy hakuna to tozo wala uzushi wa Mr Madelu,
 
Wakati wa Magu, hukukosoa chochote, una rekodi humu za kusifia kila linalofannywa na watawala (CCM) kaa kwa kutulia, hii ni zamu ya watoto wa mjini,

Kama huwezi hamia Burundi,
Niko Bujumbura naenjoy hakuna to tozo wala uzushi wa Mr Madelu,
Pointless
 
Mimi nakula Balimi lager siku za weekend kama leo.

Siwezi kupoteza muda kushabia Man U au Arsenal.

Taifa letu lina changamoto nyingi. Tozo zimekuwa kama mwiba wa Gogogo kwa watanzania. Wanaumia kila kona. Nawafuata na kuwauliza na kila mtanzania analalamika. Anaona sasa ni kumizwa na mwiba wa GoGogo kwenye koromeo.

Nikiwa baa nakula Balimi za baridi maana hizi huwa zinakaa kichwani mpaka keaho yake. Nahitaji kusinzia ili niondoe msongo wa mawazo.

Idu... Mzalendo wa kitanzania nikiwa Igunga.
No body cares mate
 
Bila Shaka bado pombe haijaisha kichwani maana ikiisha na ukatoka nje na kuongea maneno hayo kwa watanzania watakushangaa sana, kwa kuwa kwa Sasa watanzania wamejionea mafanikio makubwa yaliyopatikana kutokana na uongozi shupavu wa mh Rais wetu,

Wameona namna tozo zilivyosaidia kujenga vituo vya Afya 234 nchini, wameona kazi kubwa ilivyofanyika katika ujenzi wa shule, usambazaji wa maji na umeme Hadi vijijini na kuibua fursa mbalimbali, watanzania wameona namna mh Rais wetu mpendwa alivyolibeba jukumu la kuhakikisha watoto wa wanyonge wanapata Elimu bila shida kwa kuamua kugharamia na kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita,

Halafu Ni aibu mtu unasema upo kinywa pombe halafu unataka tuamini upotoshaji wako kuwa Ni ws kweli, yaani ulewe huko halafu uje kusingizia watanzania hapa,
 
Bila Shaka bado pombe haijaisha kichwani maana ikiisha na ukatoka nje na kuongea maneno hayo kwa watanzania watakushangaa sana, kwa kuwa kwa Sasa watanzania wamejionea mafanikio makubwa yaliyopatikana kutokana na uongozi shupavu wa mh Rais wetu,

Wameona namna tozo zilivyosaidia kujenga vituo vya Afya 234 nchini, wameona kazi kubwa ilivyofanyika katika ujenzi wa shule, usambazaji wa maji na umeme Hadi vijijini na kuibua fursa mbalimbali, watanzania wameona namna mh Rais wetu mpendwa alivyolibeba jukumu la kuhakikisha watoto wa wanyonge wanapata Elimu bila shida kwa kuamua kugharamia na kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita,

Halafu Ni aibu mtu unasema upo kinywa pombe halafu unataka tuamini upotoshaji wako kuwa Ni ws kweli, yaani ulewe huko halafu uje kusingizia watanzania hapa,
Hayo maendeleo yanafanyikia vijiji vya nchi gani?
Mtaani kwangu zahanati tumejenga wenyewe.
Barabara tumechangishana na kuweka vifusi na kulipia pesa ya kuweka mafuta kqenye greda la kusawazisha barabara ya mtaa?
Niambieni hayo maendeleo yanafanyikia wapi?
 
Hayo maendeleo yanafanyikia vijiji vya nchi gani?
Mtaani kwangu zahanati tumejenga wenyewe.
Barabara tumechangishana na kuweka vifusi na kulipia pesa ya kuweka mafuta kqenye greda la kusawazisha barabara ya mtaa?
Niambieni hayo maendeleo yanafanyikia wapi?
Maendeleo yanaanza na mwananchi mwenyewe, Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, mnaweza mkaanza kwa kufanya hivyo na serikali ikaja kumaliza hatua zote zinazokuwa zimebakia kukamilika, maana zahanati haitwi zahanati kwa kusimamisha jengo, Tambua kuwa serikali imeshafika mlangoni pako na kila mahali, huku niliko tunaona namna serikali yetu inavyoendelea kufanya kazi katika miradi mbalimbali
 
Maendeleo yanaanza na mwananchi mwenyewe, Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, mnaweza mkaanza kwa kufanya hivyo na serikali ikaja kumaliza hatua zote zinazokuwa zimebakia kukamilika, maana zahanati haitwi zahanati kwa kusimamisha jengo, Tambua kuwa serikali imeshafika mlangoni pako na kila mahali, huku niliko tunaona namna serikali yetu inavyoendelea kufanya kazi katika miradi mbalimbali
Hivi kwako ikiwa una kazi na ukamlipa fundi pesa ndefu utahitaji tena kumsaidia kazi?.

Tozo na kodi sio vibaya kulipa je zinafanya kazi gani?
Zinakusanywa kiasi gani?


Hapo ndipo tatizo lilipo
 
Mimi nakula Balimi lager siku za weekend kama leo.

Siwezi kupoteza muda kushabia Man U au Arsenal.

Taifa letu lina changamoto nyingi. Tozo zimekuwa kama mwiba wa Gogogo kwa watanzania. Wanaumia kila kona. Nawafuata na kuwauliza na kila mtanzania analalamika. Anaona sasa ni kumizwa na mwiba wa GoGogo kwenye koromeo.

Nikiwa baa nakula Balimi za baridi maana hizi huwa zinakaa kichwani mpaka keaho yake. Nahitaji kusinzia ili niondoe msongo wa mawazo.

Idu... Mzalendo wa kitanzania nikiwa Igunga.
Nyie popomaz wa zidumu fikra za mwenyekiti hamjui mlifanyalo, maslahi ya viongozi wa chama chenu dhalimu mmesadikishwa kwamba ndio maslahi ya taifa
 
Hivi kwako ikiwa una kazi na ukamlipa fundi pesa ndefu utahitaji tena kumsaidia kazi?.

Tozo na kodi sio vibaya kulipa je zinafanya kazi gani?
Zinakusanywa kiasi gani?


Hapo ndipo tatizo lilipo
Fuatilia ufafanuzi wa serikali juu ya faida za Tozo zetu katika kipindi kifupi tangia kuanza kwake, mfano mpaka Sasa kumejengwa vituo vya Afya takribani 234 hapa nchini, Tanzania Ni imara na salama Sana katika mikono ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
 
Bila Shaka bado pombe haijaisha kichwani maana ikiisha na ukatoka nje na kuongea maneno hayo kwa watanzania watakushangaa sana, kwa kuwa kwa Sasa watanzania wamejionea mafanikio makubwa yaliyopatikana kutokana na uongozi shupavu wa mh Rais wetu,

Wameona namna tozo zilivyosaidia kujenga vituo vya Afya 234 nchini, wameona kazi kubwa ilivyofanyika katika ujenzi wa shule, usambazaji wa maji na umeme Hadi vijijini na kuibua fursa mbalimbali, watanzania wameona namna mh Rais wetu mpendwa alivyolibeba jukumu la kuhakikisha watoto wa wanyonge wanapata Elimu bila shida kwa kuamua kugharamia na kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita,

Halafu Ni aibu mtu unasema upo kinywa pombe halafu unataka tuamini upotoshaji wako kuwa Ni ws kweli, yaani ulewe huko halafu uje kusingizia watanzania hapa,

Vituo 234 kawaambie wajinga mnaowakusanya kwenye mikutano ya kusifia. Huku jukwaani huweki idadi, bali unatengeneza jedwali kuonyesha kituo kilipo, bei ya kituo, muda wa ujenzi kuanza, mkoa, wilaya na tarafa/kijiji. Huku sio maeneo ya wajinga.
 
Back
Top Bottom