Wananchi wa wapi hao? Bila video ww utakuwa utopolo tu..Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.
Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Katiba imempa umungu wa Tanzania. Ni kweli watanzania wamemchukia na hawamtaki lkn hawatamfanya chochote mpk 2030 atakaposhibaMioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Dtama zimeanza mdogo mdogo.Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.
Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Mtoa mada ni mfuasi wa hayati Magufuli aliyekuwa anafurahia ukatili wa marehemu Rais.Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.
Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Si mlishabikia yule dhalimu kuiba uchaguzi wote 2020 na kuwaweka watu wake? Sasa tulieni dawa iwaingie vizuri mbwa nyieWananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.
Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Tuliambiwa kuna point itafika wote tutazungumza kauli moja na tutaelewana tu, at least naona tunaelekea huko taratibu ngoja chui jike azidi kuongeza kasi π πMlidhani kina mdude pekee ndio watakao kamuliwa huku mkijipiga oiga vifuani ba kofia zenu za kijani. Nyundo ingonga kotekote
Ndiyo wale wale walioruhusu tozo mkuu!.Wananchi wa wapi hao? Bila video ww utakuwa utopolo tu..
Watanzania bwana mtu akikemea jambo kubwa mnalalamika akikemea jambo dogo mnalalamika na kibao mnamgeuzia, em sahauni magu keshakufa na awezi kuridi tena tujenge taifa.Nchini vituko Sana Waziri unaenda kukagua upigaji wa chumba cha milioni 11 wakati upo kwenye v8 la Milioni 450 plus mafuta ya msafara wa magari yote si chini ya milioni 6.
SAsa na mbadilifu hapo.
Mwizi kumakata kibaka
HahahahaaaaNchini vituko Sana Waziri unaenda kukagua upigaji wa chumba cha milioni 11 wakati upo kwenye v8 la Milioni 450 plus mafuta ya msafara wa magari yote si chini ya milioni 6.
SAsa na mbadilifu hapo.
Mwizi kumakata kibaka
Nikweli hatasisi wavuvi tulip tekwa vitu vyetu na vinaendelea kushikiliwa naserekali hata kamanayeye anajuwa nidhuma kubwa tuliofanyiwa tumekata tamaa kabisa bado anaendeleza ya mtangulizi wake haliinazidi kuwambaya sasa katiba mpya na time huru nimuhimu kwasasa ndio iliobaki huenda ikawa ukomboziWananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.
Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.