Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Ugonjwa aliubaini Makengeza kitambo. Kusinyaa kwa masikio na kukua kwa mdomo.Hapo Ikulu huwenda kuna mdudu wa kuwaziba masikio viongozi wetu wasisikie wala kuona machozi na mateso ya wananchi.