Idugunde: Serikali ya mama Samia imekataliwa na wananchi. Inaharufu za kipigaji na unyonyaji wananchi.

Idugunde: Serikali ya mama Samia imekataliwa na wananchi. Inaharufu za kipigaji na unyonyaji wananchi.

Kubali tu kuwa jiwe ndo kashadanja
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
 
"Hili nalo wanangu wa TISS na Polisi niliwaagiza muende mkalitizame wewe IGP Wambura na Kamishina Hamduni na timu zenu,nilishasema sitaki Wananchi wenye akili za kawaida mitandaoni waniparure bali wanipapase na kunikuna mie Mtoto wa Ki-Zanzibar,kama mmeshindwa niambieni niwasaidie kazi"
 
Back
Top Bottom