Wahandisi tutoke vipi? taasisi ambazo zingekuwa zinatusaidia tupige hatua zimesinzia kabisa.
Kazi yao ni kuandaa safari za kutalihi tu kwenye miradi.
Mimi nilitegemea labda tusikie taasisi hizi zikipendekeza namna gani jamii inaweza kuwatumia wataalamu
Mimi nilitegemea kusikia labda wakipendekeza kwa serikali itunge sheria za kuwa na vizazi tofauti makazini kwamba ni lazima kuwe na wazoefu na wanaotafuta ujuzi.
Vijana wanamaliza na kukaa mitaani na hakuna anayeweza kushauri cha kufanya kwa serikali.
Je, waache kufundisha vijana wapya au ubunifu wa namna ya kuwaingiza vizazi vipya?
Wenye dhamana ya kusimamia taaluma hizi wamesinzia FOFOFO
Kazi yao ni kuandaa safari za kutalihi tu kwenye miradi.
Mimi nilitegemea labda tusikie taasisi hizi zikipendekeza namna gani jamii inaweza kuwatumia wataalamu
Mimi nilitegemea kusikia labda wakipendekeza kwa serikali itunge sheria za kuwa na vizazi tofauti makazini kwamba ni lazima kuwe na wazoefu na wanaotafuta ujuzi.
Vijana wanamaliza na kukaa mitaani na hakuna anayeweza kushauri cha kufanya kwa serikali.
Je, waache kufundisha vijana wapya au ubunifu wa namna ya kuwaingiza vizazi vipya?
Wenye dhamana ya kusimamia taaluma hizi wamesinzia FOFOFO