Mimi sijakujibu, nimekuuliza swali, wewe hauwezi kunipotezea muda ndo maana sijishughurishi na wewe siku hizi, muda ulioishanipotezea unatosha.
Suala si kujibu maana ya upagani.
Suala ni objection yako ya kusema kujadili upagani ni kwenda nje ya mada.
Kati yangu ninayeongeza wigo wa mjadala kwa kukubali kujadili upagani ni nini na wewe unayesema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, hata baada ya wewe mwenyewe kuleta habari za upagani, na hivyo, kama kweli kujadili upagani ni kutoka nje ya mada aliyeanza kututoa kwenye mada ni wewe mwenyewe...
Sasa kati yangu ninayejadili kwa wigo mpana na wewe unayeleta habari za upagani, halafu ukiulizwa upagani ni nini unasema kujadili upagani ni kutoka nje ya mada, nani ana weka limit ya mjadala?
We nawee kwaio hujaelewa nini!
bwana yupi? huenda umechukia, si ndio? kwa hiyo kumbe umejua kabisa ilitokea kutokuelewana ndio maana jamaa akaona hatuna uwezo wa kuzipokea akaamua kutuacha sasa hapo amekimbia vipi? Hapana hizo siri sio za PM kama Sangarara akishaona tumekuwa na uwezo wa kuzipokea na wewe utazipata tu ondoa shaka...
I have exhibited an exceedingly inquisitive thirst for a deep understanding.
The problem is, oftentimes my analysis is in the trenches of philosophy of religion and deep science. I would ping pong from Anselm, Augustine, Russell and Dawkins to Penrose, Hawking, Einstein and Bohr.
And frankly most of these cats and birds are left in the dark.
Some of the more philosophical questions are simply beyond the grasp of most of the members here.
And therein lies the problem.
Mtu unataka kuongelea the nature if the deity wakati hujasoma kitabu chochote zaidi ya bibkia au Kurani, na hata hivyo umesomea kanisani au msikitini.
SMH.
LOL. hopefully they missed the Avian and Mammalian part.
I do acknowledge kwamba wengi hatujasoma vitu vingi. so tunaishia kurely on mtu ambaye ana imani sawa na yetu kusongesha debate.....nimeshagundua packs humu and their leaders.
and yes, some concepts people have never heard of but wouldnt think twice about dismissing them just because its against their faith.
people make premises about their already made conclusions. its difficult to move from there.
na wewe hukunijibu why are you so convinced that there is no creator!!!!
Kwanini unauliza sijaelewa nini?
Hujajibu hoja.
We ni kuku asiyekuwa na kichwa.
Alisha wai kujibu swali, huyo anaishi JF ndio kzi kwake. ANYWAYS,Mimi sijakujibu, nimekuuliza swali, wewe hauwezi kunipotezea muda ndo maana sijishughurishi na wewe siku hizi, muda ulioishanipotezea unatosha.
uchokozi
Hizo ni case mbili tofauti, wakati case ya kwanza alitaka kutupa siri za ufalme wa Mbinguni kwa hiyo kwa mtazamo wake akaona hatupo tayari ikabidi atuache tu hakutupa, Case hii ya pili kwa hao washikaji nadhani unafahamu...OUR LORD AND SAVIOUR JESUS CHRIST
sasa mbona wakina free ideas na kiranga wakiondoka mnasema wamekimbia
its not about me (well it is considering its not my choice to exist). its about him. why mseme ni All-loving kisha atengeneze kifo/uwezekano wa kifo?
Sniper wana uweo wa kujua 100% kwamba watapiga target kabla ya kupiga target?
Huyo aliyetabiri world cup alikuwa na ubakika 100% k2amba jua litachomoza siku ya fainali za World Cup?
Do you even understand what 100% is?
Unafahamu tofauti ya prediction na knowledge of the future?
Kama hujui binadamu mwenye uwezo wa kijua nitqchukua njia ya kukia au ya kushoto, kwa nini unasema "wako binadamu wenye uwezo huo, itakuwa mungu"?
Ina maana hapo ulikuwa unabwabwaja tu bila kujua unachoandika?
Kabla ya kusema mungu anajua nitachukua njia ya kulia au kushoto, unaweza kunithibitishia kwamba yupo at all?
Hakuna aliyethibitisha kuwapo kwa mungu bado.
Kama kuna uthibitisho huo hapa naomba uuweke.
Ndiyo maana habari nzima ya uwepo.wa mungu ni ua imani, si ya ujuzi.
Imani.hata Santa Claus watoto wanaamini.kwamba anakaa North Pole. That doesn't impress me.
Niambie unajua kwamba mungu yupo na unaweza kuthibitisha hilo.
Kujua ni nyumba ya ujinga,right?
Vipi tena unataka watu waingie kwenye nyumba ya ujinga?
That god is charles darwin.Umetoa wapi upuuzi huo?
Prove god exists.
Sio kila mtu akiambiwa ukweli hukubali kua hii ni kweli,wengine huambiwa ukweli na bado wakaukataa wakasema ni hadith
sio sahihi kwamba watu wote wanataka waujue ukweli,watu wengine hukataa huo ukweli,inategemea na mtu anaetaka ajue huo ukweli ili afanye nini?
Kujua ni nyumba ya ujinga.
Prove god exists.
Umetoa wapi upuuzi huo?
Prove god exists.