If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?


1. Kumpendezesha mwanadamu si rahisi. Kule Middle East sie hatutakiwi, sasa kama naishi kule, na kumfuata Elohim, kivipi nitaweza wapendezesha wale Wapinga Yesu ambaye ni Mungu wangu? Kumbe ndio maana Yesu alifanya mapenzi ya Baba yake na hakuwa pendezesha wale Mafarisayo ma Masadukayo.

2. Cha Muhimu na Cha kwanza ni kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wako. PERIOD. That is the KEY. Then the Holy Spirit will enter you na ataanza kukufundisha kuhusu UNLIMITED GOD.

3. Hivi utakatifu unaupataje? Hivi unaweza wewe kwa nguvu zako kujifanya kuwa Mtakatifu? Hili ni swali gumu ingawa ni rahisi kama tutafahamu maana ya Utakatifu na asili yake.
 
Kinachosumbua hapa ni kwanini anaacha mtu aende kuangamia ilhali anajua kuwa jaribu/mtihani huu utaushindwa?? kwanini asikinusuru kiumbe chake?? Hapo ndipo panahitaji elimu/maelezo sheikh

Umepewa uhuru wa kuchagua. Sasa hapo ni uchaguzi wako either kufuata mafundisho yake or kufuata unacho taka wewe. Mungu aliye Hai ambaye ni Elohim sio sawa na Allah anaye tumia "SHARIA" kulazimisha watu. Ndio maana yule wa kule Makkah sio huyu ambaye ni Omnipresent. Yule wa kule Makkah yeye anasujudiwa huku wakimwangalia alipo, huyu OMNIPRESENT huitaji kuangalia Makkah.

Sasa uchaguzi ni wako na amesha kuletea Njia, wewe ni kuingia katika Njia na utaona jinsia alivyo Mtamu kuliko Asali.
 

Excuse Me, Allah did not create Adam, et al.
 

Sawa Ishmael. Nitakwambia wazo jingine linalosumbua. Wakati binadamu anaamini kuwa Mungu anaupendo na ni mwenye rehema kuliko kiumbe chochote, anajiuliza kuwa kwanini Mungu huyu kaweka mitihani na jehanamu kwa watu anaowapenda kwa upendo wa kimungu? Ishmael utakubaliana nami kuwa huwezi kumuona mwanao anapotea ukamuacha kisa ye ni mtu mzima na ana akili timamu na maamuzi yake wakati una mamlaka ya kuzuia janga hilo lisimkute. Sasa iweje Mungu ambaye ana upendo kuliko wewe akaacha janga limkute Adam?
 
Nilitegemea yeye ambaye anaupendo kuliko sisi atunusuru na kikombe cha jehanamu
 

Kwanza, naweka msisitizo wa maneno katika "bold Nyeusi", kuwa, JEHANNAM haikuumbwa kwa ajili ya Binadamu. Ila, ni shauri lako kuchagua kuingia kule, hiyo ndio haki ya kuwa na uchaguzi huru.

Pili: Mungu halazimishi watu ili wamfuate maana hata Malaika wa Mbinguni hawajalazimishwa kumfuata Mungu.

Tatu: Ili wewe na mimi tuwe watoto wa Mungu, kuna kitu tunatakiwa kufanya. Basi, ukifanya hicho kitu, HAKIKA Mungu atakupigania mpaka mwisho wa Maisha yako. Je, Umesha Mpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako ili na wewe uwe MTOTO WA MUNGU? Uchaguzi ni wako na sio wa Mungu. Ndio Maana ya kuzaliwa mara ya Pili, inakufanya uwe mtoto wa Mungu.
 
Nilitegemea yeye ambaye anaupendo kuliko sisi atunusuru na kikombe cha jehanamu

Kuna vitu unashindwa au ELEWA au labda UFAHAMU.

Kuna Falme Mbili as we speak.

1. UFALME wa Mungu
2. UFALME wa Shetani.

Sasa, kama wewe ni sehemu ya Ufalme wa Mungu, huitaji kuwa na Wasiwasi wowote ule, maana Mungu ndie anakutetea na kulinda na ametoa uhakika wa maisha matamu na ya amani Baada ya KIFO.

Kama wewe haupo kwenye Ufalme wa Mungu, basi elewa kuwa UFALME wako ulisha pewa HAKI yake na Uhakikisho wa Maisha ya Milele Jehannam.

It is up to you, kuchagua eternal life or eternal condemnation.
 

Ishmael wakristo ni 33% of the world's population. Sijui born again ni asilimia ngapi kati ya hao 33%! Kwa hiyo we unaamini mtu ambaye hajampokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake anaenda motoni?
 
Ishmael wakristo ni 33% of the world's population. Sijui born again ni asilimia ngapi kati ya hao 33%! Kwa hiyo we unaamini mtu ambaye hajampokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake anaenda motoni?

yan kuna watu wanataka tuamini yesu ni kila kitu!!
 
kwa utaratibu wake Mwenyezi Mungu...hawachungi Binadamu kama wanavyochungwa punda...amewapa akili akawaletea Mitume na Vitabu yake...kwa hio uchaguzi ni wake...yeye mwenyewe...
 
Ishmael wakristo ni 33% of the world's population. Sijui born again ni asilimia ngapi kati ya hao 33%! Kwa hiyo we unaamini mtu ambaye hajampokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake anaenda motoni?

Unajua maana ya kukataa kumkubali Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wako?

Maana yake wewe unakana huruma ya Mungu ya kuuokoa ulimwengu baada ya dhambi kuingia duniani

Ni sawa na wewe uamue kwenda kumlipia mwanao fedha alizokopa ili asipelekwe jela,lakini ili zile pesa zipokelewe kule unakoenda kuzilipa inatakiwa tu kauli ya mwanao kukubali wewe mzazi wake kumlipia na watazipokea na kumfutia mwanao mashitaka,yeye anakana na kudai kuwa hataki hilo

Unadhani nini kitatokea kama sio kuja kukamatwa na kipelekwa jela?

Hivi unaweza kuuliza "hivi unadhani kama mwanangu akikana kukubali mimi kumlipia fedha anazodaiwa ataenda jela kweli" wakati unajua kabisa majibu yake?

Ili umpate Yesu hutakiwi kulipa hela wala hataki chochote cha kidunia kutoka kwako bali yeye anataka kukuepusha la laana ya milele,alijitoa bila wewe kuomba bali ni kwa upendo wake tu ili wewe usiaibike milele,mkubali tu na utaona maisha yako yakibadilika kuanzia sasa na utazijua siri nyingi sana za Mungu ambazo kuna watu wanakesha JF kuzitafuta,na utazipata bila kulipia hata senti moja

Welcome to the Kingdom of God!
 
Ishmael wakristo ni 33% of the world's population. Sijui born again ni asilimia ngapi kati ya hao 33%! Kwa hiyo we unaamini mtu ambaye hajampokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake anaenda motoni?
It is not me saying. It is impeccably exhibited in the infallible word.
 
Naomba muendelee kuniombea tu wakuu. Majibu ninayo yataka siwezi kuyapata hapa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…