Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Kinyangarika guluguja.
lakini inategemeana ni Kinyangarika guluguja kwa mtizamo upi!? Yamkini na wewe unaonekana hivyo kwake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyangarika guluguja.
lakini inategemeana ni Kinyangarika guluguja kwa mtizamo upi!? Yamkini na wewe unaonekana hivyo kwake...
God exists, period.
Au sio, kumbe unajua... and vice versa is trueKuonekana si tatizo, tatizo kuwa.
Au sio, kumbe unajua... and vice versa is true
Amekimbia nini!? Hivi unajua hata unachokizungumza? Na unajua alitaka kutupa hizo siri katika mazingira yapi?
1. Anaesema Mungu yupo ana wajibu wa kuthibitisha kwa nani? Maana wajibu ni kwamba unawajibika chini ya mtu/mamlaka flani.Bottom line.
1. Ukisema mungu yupo, una wajibu wa kuthibitisha.
Sijaona uthibitisho kwamba mungu yupo bado.
yaani ukiigeuza kwa mtindo mwingine na kwake pia kwako inaweza ikawa hivyo... ceteris peribusKama tatizo si kuonekana, ni kuwa, na wewe umeafiki, vice versa ndio nini hapo?
sometimes commenters mnashindwa kuelewana. mmoja akiamua kuondoka mnasema amekimbia. tena Sangarara kasema kabisa hamna uwezo wa kupokea.
si ni mambo ya ufalme wa mbinguni?? haya basi kaambianeni siri zenu PM wachaguliwa wa bwana.
Because you and the person you copy pasted from do not understand The First Law of Thermodynamics. Either that or you are just trying to fit it to your religious dogma.
The First Law of Thermodynamics talks about energy states, not "someone".
Again, the question.is, how did you go from "energy states" to "someone"?
In your own words please. Sijaona hilo lilipojibiwa katika hiyo copy paste yako.
Au una copy paste vitu usivyovielewa?
1. Anaesema Mungu yupo ana wajibu wa kuthibitisha kwa nani? Maana wajibu ni kwamba unawajibika chini ya mtu/mamlaka flani.
2. Anatakiwa athibitishe ili iweje lablda. Yaani dhumuni la kuthibitisha ili huyo anaethibitishiwa afanyeje?
Kabla hajaweza kuthibitisha uwepo wa mungu hizo nyingine zote naona hadithi tu.
Huwezi kuniambia kuhusu ufalme wa mungu nikakueleea wakati hata kumuelezea vizuri huyo mungu na kunishawishibkwamba kweli yupo huwezi.
NB: You need Him, He doesn't need you for Him to be God.
Just like education, you need education and education doesn't need you. SAME LOGIC
Kabla hajaweza kuthibitisha uwepo wa mungu hizo nyingine zote naona hadithi tu.
Huwezi kuniambia kuhusu ufalme wa mungu nikakuelewa wakati hata kumuelezea vizuri huyo mungu na kunishawishibkwamba kweli yupo huwezi.
Hahahahahah dah! aisee...
bwana yupi? huenda umechukia, si ndio? kwa hiyo kumbe umejua kabisa ilitokea kutokuelewana ndio maana jamaa akaona hatuna uwezo wa kuzipokea akaamua kutuacha sasa hapo amekimbia vipi? Hapana hizo siri sio za PM kama Sangarara akishaona tumekuwa na uwezo wa kuzipokea na wewe utazipata tu ondoa shaka...sometimes commenters mnashindwa kuelewana. mmoja akiamua kuondoka mnasema amekimbia. tena Sangarara kasema kabisa hamna uwezo wa kupokea.
si ni mambo ya ufalme wa mbinguni?? haya basi kaambianeni siri zenu PM wachaguliwa wa bwana.
Anayesema mungu yupo ana wajibu wa kuthibitisha kwa wote anaowaambia.
Kuwajibika hakutokani na mtu au mamlaka tu, bali unaweza hata kuwajibika kwa kanuni fulani.
Kanuni inayowajibisha hapa ni kanuni ya kuheshimu ukweli na uhasibu.
Sehemu ya pili ya swali lako imeshajibika.
Unatafsirije ukamilifu?
Nikisema kuwa mwili wako umekamilika kwa kuwa na viungo vyote ninakuwa na maana kuwa huwezi kupoteza kimoja?
u have to atleast show interest LOL