Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeuliza swali la msingi sana!Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Samia ndio katoa ufadhili.Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Amepata wapi hela? Alfred Nobel kwa mfano, anatoa Nobel prize kwa pesa zake ambazo zinatokana na ugunduzi wake wa dynamite... pesa tele maana patent yake bado inatumika dunia nzima. sasa yeye ana nini pa kutoa hela? kutumiaSamia ndio katoa ufadhili.
Daraja la Kijazi ama Mfugale ni fedha za Umma why yanaitwa hivyo?Umeuliza swali la msingi sana !
Hii labda ndio point
Kuna mambo mengi sana ya kurekebisha kwenye nchi yetu tatizo ni kila ukiangalia huoni mtu sahihi wa kuyafanya.
Hizi pesa zingewekwa kwenye mfuko wa bodi ya mikopo, watoto wengi sana wa masikini wangenufaika nazo.
Tunaendelea kubuni vitu nje ya mfumo wa kisheria wakati vile vilivyo kwenye mfumo wa kisheria tumeshindwa kuvitekeleza kwa japo 70%.
Kwa vigezo vya hiyo inayoitwa scholarship, wenye sifa karibu 98% ni watoto ambao wazazi wao wanaweza kuwasomesha bila mikopo. Hapa naomba isitafsiriwe kuwa watoto wa wenye nacho hawapaswi kutazamwa lakini tuangalie hali ya wanaopitia watoto wanaosoma shule ambazo haya sehemu ya kukaa ni ya kugombania. Je wanaweza kushindana na wale wanaofika shuleni na kukuta kila kitu huko?
Kila siku ukikaa na kujiuliza hii nchi ina matatizo gani, sidhani kama utaweza kupata afya.
Huo Urais tu, tayari pesa zipoamepata wapi hela? Nobel kwa mfano, anatoa Alfred Nobel prize kwa pesa zake ambazo zinatokana na ugunduzi wake wa dynamite...pesa tele maana patent yake bado inatumika dunia nzima. sasa yeye ana nini pa kutoa hela? kutumia
Hebu pata glas ya maji kisha kaa chini andika kwa kituo tukuelewe kuhusu Samia ScolarshipsRais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Huyu ana divert hela za Serikali kwenda kujijenga kisiasa yeye binafsi. Ya madaraja ni budget ya Serikali approved by Bunge and naming it does not benefit anybody.Daraja la Kijazi ama Mfugale ni fedha za Umma why yanaitwa hivyo?
Airport je?
Hostel ya JPM je?
Mkicomment narudi
Na yeye anatoa scholarships🤣
Amepotezaje mwelekeo wakati anatoa scholarship? Au mwenzetu hufahamu maana ya scholarship?Huyo mama alishapoteza mwelekeo kitambo. Aende akalee wajukuu.
Umejibu kisomi sana!Huyu ana divert hela za serikali kwenda kujijenga kisiasa yeye binafsi. Ya madaraja ni budget ya serikali approved by Bunge and naming it does not benefit anybody
Mwenye nacho anaongezewaHuyu ana divert hela za serikali kwenda kujijenga kisiasa yeye binafsi. Ya madaraja ni budget ya serikali approved by Bunge and naming it does not benefit anybody