Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!


Kama una maono kwa nini ujaona ...
Karibu mitaa hii
p
 
Asee Paskali ulijuaje? Leo baada ya kuisoma hii basi nimekuchukulia kivingine sana! Du!
 

Pasi wewe ni analyst mzuri sana sema sijui kwanini hutokei kwenye vyombo vya habari kama tv ili uwe na audince ya kuelimisha. Tanzania hatuna hkuna political analyst
 
Pasi wewe ni analyst mzuri sana sema sijui kwanini hutokei kwenye vyombo vya habari kama tv ili uwe na audince ya kuelimisha. Tanzania hatuna hkuna political analyst
Asante sana, ngoja nilifanyie kazi, ila mara moja moja huwa nahojiwa na BBC, DW na VOA, but not Vyombo vya nyumbani !.
P
 
You nailed the Truth. Kumbe wewe Na Lissu mlikuwa wakwanza kumjua yule Dikteta
 
Typical Polepole 🤣🤣
 
Kumbe P ulitabiri kuwepo na uchaguzi wa kuigiza mwaka 2020! Hakika wewe ni mchambuzi makini sana. Ila nilikushangaa kwani uliamua kujiingiza katika maigizo hayo kwa kugombea ubunge wa Kawe na kuibuka wa 162!
 
John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Dah!....
P
Hii ni ishara kuwa huyu sio mtu wa masihara, watakao tofautiana nae, wanaweza kuumia au hata ...(God forbid), hili likitokea, kutakuwa hakuna jinsi bali kitu kinachoitwa karma, kitaingilia kati na kurekebisha the situation.
Pascal ulishawahi kujifunza unajimu?..duh!...

then Magufuli ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania, akitenda kinyume cha Mungu ni Bwana ndie ameleta na Bwana ndie atatwa, na Jina Lake Lihimidiwe
lakini amini usiamini sio wote, watajiunga CCM kwa sababu wanamkubali rais Magufuli au wanajiunga CCM ili kuunga mkono juhudi, wengine watamfuata Magufuli huko CCM, kwa sababu, hawana jinsi, they have too!.
Yalitimia yote.
 
Dah!....
P

Pascal ulishawahi kujifunza unajimu?..duh!...



Yalitimia yote.
Huyu jamaa alitabiri mambo mengi lakini kuna vingine ame edit na kuongeza baada ya kutokea
Mfano hayo ya Lowassa kuunga mkono juhudi na kurudi CCM kayaongezea tu baada kutokea
Ukitaka kujua haya unaangalia watu walio quote original post yake siku aliyoweka uzi

Pascal mambo madogo haya yanakushushia heshima mkuu, uchambuzi wako wa awali ulikuwa mzuri ila umeharibu kwa kuedit ili kuleta perfection
 
Ndugu nashangaa sana, pamoja na kumpamba kote huko hakuwahi kukutupiapo hata ka u-DC? au lile swali ulilomtwaga pale Ikulu siku ile mpaka akakuita "mayala" yaani kwa kiswahili ni "njaa" ndilo lilisababisha yote hayo. ha ha ha ha

Ila hakukutendea haki, ulitakiwa uwe among wateuliliwa wake,
 
Yap!... uko sahihi hili bandiko ali-edit sikuona hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…