Ifahamu bangi na madhara yake

Ifahamu bangi na madhara yake

Yaani unaokoteza vipicha vya wazungu huko mtandaoni halafu unakuja kuprove ujinga humu,wewe ni mjinga tu.
We umedata... Ulijua bange ni kama maji Kila mtu aweza kunywa... Ona Sasa umevuta imekudatisha(kichwa panzi). Ukichaa wako unajithibitisha pale unapotaka kuiadaa jamii kwamba bange ni kitu pekee chenye madhara.... Sikatai bange umevuta ila imekudatisha( u have abused the drug)
 
Bangi kama si fani yako achana nayo.... Wanavuta hadi wazee na maisha yanaenda
Wazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.
 
Bangi kama si fani yako achana nayo.... Wanavuta hadi wazee na maisha yanaenda
Wazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.
 
We umedata... Ulijua bange ni kama maji Kila mtu aweza kunywa... Ona Sasa umevuta imekudatisha(kichwa panzi). Ukichaa wako unajithibitisha pale unapotaka kuiadaa jamii kwamba bange ni kitu pekee chenye madhara.... Sikatai bange umevuta ila imekudatisha( u have abused the drug)
Hivi ndugu Tanzania bangi ni halali?Jibu swali hilo kwanza nione jinsi ya kuku adress vizuri.
 
Indeed you're a Holyshit
Wewe ni taahira kabisa kama bado unasapoti huu uchafu(bangi).Mwili wa binadamu hauhitaji uchafu mwingi wa moshi na ubongo pia vilevile.Sasa wewe unasapoti vipi bangi,huoni ubongo unaharibika huoni kuna kansa ya mapafu au haujui kua kansa huleta kuoza taritibu hadi uzeeni?Vuta tu bangi mwisho wake ni kilio kisicho na mfano
 
Bangi ina madhara makubwa sana Kwa Afya ya Akili na Mwili wa mtumiaji.
Ila Ganja ni dawa (Miediecine) Kazi yake ni kuboost Akili na kuondoa uchovu wa akili na Mwili.
Vijana wasivute Bangi... Waache Ina Athari kubwa
 
Wengi wa wananchi tuna pambanua mambo ya kwenye jamii kwa kufanya conclusions tunazoziona bila kufahamu vyanzo halisi vya changamoto zetu. Kuna mengi hapa hata historia za magonjwa au tamaduni za familia fulani pia huchangia hizi changamoto.
Kuna mtu nishakuuliza swali' Liko hivi HAPO KALE HATUKUA NA ELIMU NA DINI HIZI ZA SASA, JE HATUKUA TUKIFANYA IBADA??? AKASEMA TUKIFANYA. NIKAULIZA JE HIZO IBADA HAZIKUA KWA AJILI YA MUNGU??? AKAJIBU NI KWA MUNGU. SASA NIKAULIZA JE KUNA UWEZEKANO MUNGU WETU NA HUYU WALIEMLETA KWA IMANI YAO NI TOFAUTI??? AKASEMA HAPANA. NIKAMWAMBIA BASI HAKUNA ULAZIMA WA KUFUATA YAO SABABU YANATURUDISHA NYUMA. AKAJIBU MIMI MPJMBAVU. HAKUJIBU SWALI LANGU AKAANZA KUGOMBANA.
Very true mpk nimecheka
 
Back
Top Bottom