We umedata... Ulijua bange ni kama maji Kila mtu aweza kunywa... Ona Sasa umevuta imekudatisha(kichwa panzi). Ukichaa wako unajithibitisha pale unapotaka kuiadaa jamii kwamba bange ni kitu pekee chenye madhara.... Sikatai bange umevuta ila imekudatisha( u have abused the drug)Yaani unaokoteza vipicha vya wazungu huko mtandaoni halafu unakuja kuprove ujinga humu,wewe ni mjinga tu.
Wazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.Bangi kama si fani yako achana nayo.... Wanavuta hadi wazee na maisha yanaenda
Wazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.Bangi kama si fani yako achana nayo.... Wanavuta hadi wazee na maisha yanaenda
Una shida zako binafsi wewe.... Wapigie kelele wavuta sigara achana na Holly herbWazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.
Bangi ni dawaWazee gani hao kama sio mazezeta kwenye hii jamii?Yaani mtu mzee na heshima zake atakimbiliaje kujaza moshi mwingi kiasi hicho na kuua ubongo na mapafu?Jitafakari ndugu.
Hivi ndugu Tanzania bangi ni halali?Jibu swali hilo kwanza nione jinsi ya kuku adress vizuri.We umedata... Ulijua bange ni kama maji Kila mtu aweza kunywa... Ona Sasa umevuta imekudatisha(kichwa panzi). Ukichaa wako unajithibitisha pale unapotaka kuiadaa jamii kwamba bange ni kitu pekee chenye madhara.... Sikatai bange umevuta ila imekudatisha( u have abused the drug)
KaMa wakoDawa ya kutibu ugonjwa gani?
Wewe ni taahira kabisa kama bado unasapoti huu uchafu(bangi).Mwili wa binadamu hauhitaji uchafu mwingi wa moshi na ubongo pia vilevile.Sasa wewe unasapoti vipi bangi,huoni ubongo unaharibika huoni kuna kansa ya mapafu au haujui kua kansa huleta kuoza taritibu hadi uzeeni?Vuta tu bangi mwisho wake ni kilio kisicho na mfanoIndeed you're a Holyshit
Agizia cha arushaSio kweli
Kwa swali hili tu hauijui bange kiundani.... Ndio maana hata kudata kwako ilikuwa simpo... Kwani gongo ni Halali??? Nenda mkoa wa kagera Kule gongo inauzwa grocery kama Pepsi... We umedata Bora uliacha mapema...Hivi ndugu Tanzania bangi ni halali?Jibu swali hilo kwanza nione jinsi ya kuku adress vizuri.
Very true mpk nimechekaWengi wa wananchi tuna pambanua mambo ya kwenye jamii kwa kufanya conclusions tunazoziona bila kufahamu vyanzo halisi vya changamoto zetu. Kuna mengi hapa hata historia za magonjwa au tamaduni za familia fulani pia huchangia hizi changamoto.
Kuna mtu nishakuuliza swali' Liko hivi HAPO KALE HATUKUA NA ELIMU NA DINI HIZI ZA SASA, JE HATUKUA TUKIFANYA IBADA??? AKASEMA TUKIFANYA. NIKAULIZA JE HIZO IBADA HAZIKUA KWA AJILI YA MUNGU??? AKAJIBU NI KWA MUNGU. SASA NIKAULIZA JE KUNA UWEZEKANO MUNGU WETU NA HUYU WALIEMLETA KWA IMANI YAO NI TOFAUTI??? AKASEMA HAPANA. NIKAMWAMBIA BASI HAKUNA ULAZIMA WA KUFUATA YAO SABABU YANATURUDISHA NYUMA. AKAJIBU MIMI MPJMBAVU. HAKUJIBU SWALI LANGU AKAANZA KUGOMBANA.