Ifahamu kwa kifupi Korea Kaskazini

Ifahamu kwa kifupi Korea Kaskazini

Sisi tuna ubalozi huko?
Sidhani
Huku afrika vinyesi ni mali ya kila mtu, tumeshindwa kutumia kinyesi kutengeneza umeme nk

Korea wapo vizuri sana, Mungu awazidishie zaidi

Mapungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani
apungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani📌😁💪🏿
 
Sisi tuna ubalozi huko?
Sidhani
Huku afrika vinyesi ni mali ya kila mtu, tumeshindwa kutumia kinyesi kutengeneza umeme nk

Korea wapo vizuri sana, Mungu awazidishie zaidi

Mapungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani
apungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani
Ni ndugu zartu, tumeweka ubalozi wao Mioyoni mwetu
Ni ndugu na chama chawala
 
Sisi tuna ubalozi huko?
Sidhani
Huku afrika vinyesi ni mali ya kila mtu, tumeshindwa kutumia kinyesi kutengeneza umeme nk

Korea wapo vizuri sana, Mungu awazidishie zaidi

Mapungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani
apungufu yapo kila sehemu ila angalau wao kuna mwanga unaonekana ukimulika gizani
Unaanza kukuta post X kisha unaikuta JF.

Wa X hajatoa credit kama kaitoa JF. Wa JF hajatoa credit kama kaitoa X 😅
Nimetoa credit labda kama hujasoma mpaka mwisho ile part 2
 
Kiuhalisia ni nchi nzuri tu, vitu vingi vimewekwa chumvi ili kuonekana kama hawafai.
 
hivi huyu kiduku wanamuogopea kitu gani..mfano pichani hao majenerali waliomzunguka na kiduku kakaa kwanini wasimtie kabari au kumtia shaba ya kichwa afilie mbali kisha jeshi lishike nchi kisha liweke misingi mipya ya utawala kuliko ilivyo sasa eti nchi ni mali ya familia ya Kim watakuwa wamesaidia nchi kutoka utumwani raia wana furaha za uoga na kinafiki tu.!
 
Na Kwa nn waibiane mavi? Au Kuna adhabu Kwa aliyekusanya mavi machache? Au Kuna ela wanapewa Kwa walio fanikiwa kukusanya mavi mengi?
😭😭😭😭 Et wizi wa mavi itakua kuna kajiadhabu huko wanapewa ukiishi huko hakikisha usiwe mvivu wa kunya
 
Hapa Nani kachukua Kwa Mwenzake? Au mkuu hii akaunti ni yako kule mjini twitter au X.
Screenshot_2024-10-12-11-16-04-649_com.twitter.android-edit.jpg
 
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo raia wake hawaruhusiwi kuwa na dini yaani hakuna uislamu wala Ukristo marufuku.
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo vitabu vitakatifu vya dini haviruhusiwi kuingia nchini humo
  • Rais anaheshimika kama Mungu
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya Marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.

- Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.

- Hakuna vyama vingi.

- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.

- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
Korea kaskazini - kuvaa Vimini marufuku,
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
-Haina ubalozi Tanzania.
-Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.
  • Rais akiongea ukisinzia unapigwa risasi, mwaka juzi waziri wa ulinzi alipigwa risasi hadharani kwa kosa la kusinzia kwenye kikao wakati rais akiongea,
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.
  • Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.
  • Hakuna vyama vingi.
  • Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
  • Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
  • Haina ubalozi Tanzania.
  • Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.

View attachment 3122319
Nyongeza: adhabu ya mtu inaweza kujumuisha kizazi mpaka cha 3 cha mtu huyo
 
Nani wa kuiokomboa wakati wananchi wote waliopo huko ni mateka wa watawala??
Hivi sisi wa-Tanzania tunaweza kuwa na uthubutu wa kuwacheka hao wananchi wa huko Korea ya Kaskazini?
Sisi wa-Tanzania na hao watu wa Korea ya Kaskazini Wala hatuwezi kuchekana, kwa sababu sisi wote tupo kwenye boti Moja.
Watu wanaongea fact,wewe unaleta siasa!Tanzania kuna mtu anazuiwa kunyoa kiduku?Watu wanazuiwa kwenda nje ya nchi?Mara ngapi raisi anahutubia huku baadhi ya Watu wanasinzia?Waliwahi kupigwa risasi?Kuongea kiingereza ni kosa la jiai hapa bongo?Kuangalia muvi za nje he?Tungewajua kina Anodi,Van Damme,Rambo,n.kNdiyo maana siwapendi wanasiasa wanaoleta siasa kwenye mambo ya mdingi.Matatizo yaliyopo ni ya kawaida hasa katika nchi zetu hizi zinazoendelea.Haitokuja itokee matatizo yaishe.Hakuna mtu yeyote atakayekuja kumaliza matatizo katika nchi yetu,hata wewe upewe uraisi.Ndiyo maana tumeahidiwa nchi mpya ambayo haki yakaa ndani yake.Hakuna magonjwa,huzuni,Wala vilio maana Mungu atakuwa pamoja nao(Ufunuo 21:1-5).Wanasiasa muogopeni MUNGU Kwa kuwaaminisha Watu uongo Ili kuwajengea chuki Kwa viongozi wao
 
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo raia wake hawaruhusiwi kuwa na dini yaani hakuna uislamu wala Ukristo marufuku.
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo vitabu vitakatifu vya dini haviruhusiwi kuingia nchini humo
  • Rais anaheshimika kama Mungu
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya Marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.

- Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.

- Hakuna vyama vingi.

- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.

- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
Korea kaskazini - kuvaa Vimini marufuku,
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
-Haina ubalozi Tanzania.
-Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.
  • Rais akiongea ukisinzia unapigwa risasi, mwaka juzi waziri wa ulinzi alipigwa risasi hadharani kwa kosa la kusinzia kwenye kikao wakati rais akiongea,
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.
  • Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.
  • Hakuna vyama vingi.
  • Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
  • Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
  • Haina ubalozi Tanzania.
  • Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.

View attachment 3122319

Rahman Central Mosque​

Mosque in Pyongyang, North Korea
1728723369162.jpeg

1728723339808.jpeg

1728723482220.jpeg
 
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo raia wake hawaruhusiwi kuwa na dini yaani hakuna uislamu wala Ukristo marufuku.
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo vitabu vitakatifu vya dini haviruhusiwi kuingia nchini humo
  • Rais anaheshimika kama Mungu
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya Marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.

- Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.

- Hakuna vyama vingi.

- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.

- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
Korea kaskazini - kuvaa Vimini marufuku,
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
-Haina ubalozi Tanzania.
-Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.
  • Rais akiongea ukisinzia unapigwa risasi, mwaka juzi waziri wa ulinzi alipigwa risasi hadharani kwa kosa la kusinzia kwenye kikao wakati rais akiongea,
  • Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya marekani.
  • Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.
  • Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.
  • Hakuna vyama vingi.
  • Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
  • Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
  • Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
  • Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
  • Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
  • Haina ubalozi Tanzania.
  • Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.

View attachment 3122319
Pia ni marufuku kuvaa vazi aina ya jeans au kujaribu kuingiza vazi hilo huko kwa Bw. Kim..

Kichekesho ni kuwa japo Korea hawaamini mungu sababu ya utawala wa Kim, Babu yake Kim mwanzilishi wa taifa hilo alibatizwa akiwa mdogo na kuwa Mkristu wa dhehebu la Presbyterian na nyanya yake alikuwa Mchungaji wa Kiprotestant
 
Back
Top Bottom