Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mleta mada ni muongo sana.Huu uzi umejaaa uongo mno
Najua NK ni level nyingine sema nilikuwa nanogesha tu. Haya turudi kuichambua nchi yetu tuweke hapa yanayotusibu tuache kuongelea ya watuUsisikilize story za kutungwa wale jamaa wapo mbali sana, sidhani kama Kuna nchi ya Africa inauchumi mnzur kuwapita Hawa jamaa. Wale jamaa hasa technology inawabeba sana.
Huhitaji kuwafundisha JF kazi kama unadhani huu ni uongo ukanushe kwa kuweka ukweli wake
We babu acha kuokoteleza vitu huko na kuvileta huku bila kufanya uchunguziā¦Kanusha uongo wake kwa kuandika ukweli
Ni za Korea kusiniHivi hizi movie za kikorea tunazo ziona ni za kwao au ni za korea ya kusini?
Sisi hatuna uhuru Bali uogaNinaposikia haya ndio najua kumbe Tanzania tupo huru,kuna watu wanateseka aisee.
Anakuwa kama pre form one....We babu acha kuokoteleza vitu huko na kuvileta huku bila kufanya uchunguziā¦