[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlikua mnawaacha watoto wa St Agnes kwiro girls, na Regina Mundi???Umenikumbusha kipindi hicho nasoma Kwiro boys, tulikuwa tunalelewa na wamama wa kipogolo kwa kuwahonga ada ya shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mlima ndororo ni mkali ulee, sema uliwekewa kipande cha lami tyuuh, huwa nawaza kabla ya kuwekwa lami ilikuaje??inapitika?? alooh tumishukuru kukuta daraja la muheshimiwa Magufuli pale kilombero unless otherwise we could use panton kama miaka hiyo...
Nimeishi sana mahenge, hadi Mwayaa napajua.Vp hujawahi fika mbona fresh tu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu akahamia Songea, baadae akaja binti Ndembo kasafisha wachawi Songea.Kalembwani yule mganga aliyekuwa anawanyoa watu vichwa Eti ni wachawi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo wanafugia Lupiro??Wapoland wanapenda sana ufugaji wa Noah(pig) kuliko mfugo wowote.
kitonga haikuti ule mlima, wala senkeke haisogei ni vile tu badi.. kuna barabara saba unazipita na kuziona mlimani ukizivuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mlima ndororo ni mkali ulee, sema uliwekewa kipande cha lami tyuuh, huwa nawaza kabla ya kuwekwa lami ilikuaje??
Mahenge.. kila nyumba nje ina banda la nguruwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo wanafugia Lupiro??
Tuombe afya njema, tutayaona hayo yote.Hapana huu mradi upo kwenye mchakato mkuu.....barabara si umeona imeanza kuboreshwa kuazia Kidatu pale hadi ukivuka daraja kuelekea Malinyi naona wameanza kuiweka sawa!
Tanzania haijawahi kuwa na umaskini wa maliasili, ina umaskini mkubwa wa fikra sahihi za kujua namna ya ku exploit hizo resources kwa manufaa ya nchi nzima.Raslimali zilizopo wilaya ya Mahenge tu zinatosha kuendesha nchi na kulipa deni la taifa. Tukaachana mambo ya kukopa kopa na kuumiza walipa kodi
Nimekaa kule miaka karibia 20 mkuu lakini sikuwahi kuona hizo pisi kaliSure mkuu kuna watoto wazuri, sema washamba
Ulienda lini mara ya mwisho ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa, ila Mahenge kuna Mawe, khaaah hadi barabaran.
Hadi kipogoro unakijua, ulikuwa unaishi Mawasiliano.Nimeishi sana mahenge, hadi Mwayaa napajua.
Ndororo haijapata hype kwa sababu sio high way ya kwenda mikoani. Ingekuwa ili ufike Dodoma unapita Ndororo kila mtanzania angeupigia salute huo mlima.kitonga haikuti ule mlima, wala senkeke haisogei ni vile tu badi.. kuna barabara saba unazipita na kuziona mlimani ukizivuka
Hii ni overstatement mkuu.Mahenge.. kila nyumba nje ina banda la nguruwe
Vitu vingi tunafanana, hata majina ya maeneo ya Wapogolo au Waluguru yako kwa Wanyakyusa ikiwa ni kumbukumbu ya walikotoka. Na Mnyakyusa akitaka kujigamba kiasili hujipiga kifua kwa kusema: "Mimi Mluguru!"Kumbe ndio maana wapogoro wana tabia ya kujisikia kama wanyakyusa.
Nimesoma KwiroHadi kipogoro unakijua, ulikuwa unaishi Mawasiliano.
Pantoni tumepanda sana pale Kuna wakati liliharibika tukavuka na mtumbwi sita kaa nisahau maisha yangu yote.inapitika?? alooh tumishukuru kukuta daraja la muheshimiwa Magufuli pale kilombero unless otherwise we could use panton kama miaka hiyo...
Unampata Mama mwana?? Dada Jane(RIP) na wale wamama wa pale UTU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha kipindi hicho nasoma Kwiro boys, tulikuwa tunalelewa na wamama wa kipogolo kwa kuwahonga ada ya shule
Uko sahihi kabisaKwa kumbukumbu zangu Mahenge sio wilaya ila ni mji katika wilaya ya Ulanga na mkuu wa wilaya ni Ngollo Malenya!