Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Umenikumbusha kipindi hicho nasoma Kwiro boys, tulikuwa tunalelewa na wamama wa kipogolo kwa kuwahonga ada ya shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlikua mnawaacha watoto wa St Agnes kwiro girls, na Regina Mundi???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mlima ndororo ni mkali ulee, sema uliwekewa kipande cha lami tyuuh, huwa nawaza kabla ya kuwekwa lami ilikuaje??
kitonga haikuti ule mlima, wala senkeke haisogei ni vile tu badi.. kuna barabara saba unazipita na kuziona mlimani ukizivuka
 
Back
Top Bottom