Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Nilienda mahala panaitwa Mbingu. Aisee pana milima amazing sana.
 
Mwambie tuliwekewa kabisa na sehemu za kuchaji Kule Dining Hall. Yaani Head master anauliza wanafunzi kama Kuna mtu anauza vocha za Tigo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna ilikua hataree hii. Khaaah
 
Mi nimesoma advanced pale 2007/2009, na sio kwamba shule nyingine za gavoo walikuwa wanaruhusu, hata shule niliyosoma ya o level simu ilikuwa ni kosa la kukufukuzisha shule, ila pale Kwiro simu tulikuwa tunaruhusiwa kuwa nazo
Duuuh bas ilikua hataree.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Na Mkinga
 
Mseminari wa Mchongo.
 
Kwani Mahenge ni Jimbo kuu?.Nitajie Maaskofu wa RC wa Jimbo la Mahenge ambao walishafariki.
Jimbo katoliki la Mahenge (kwa Kilatini Dioecesis Mahengensis) ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Roma.

Makao makuu yake yako Mahenge katika mkoa wa Morogoro.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Dar-es-Salaam.

Askofu wake ni Agapiti Ndorobo.


Historia​


MaaskofuEdit

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…