atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Siku moja nilikuwa natoka huko Chikuti nikakuta mama wa kipogoro kabeba kitoto cha nguruwe mgongoni kama mtoto vile [emoji23]Wapoland wanapenda sana ufugaji wa Noah(pig) kuliko mfugo wowote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja nilikuwa natoka huko Chikuti nikakuta mama wa kipogoro kabeba kitoto cha nguruwe mgongoni kama mtoto vile [emoji23]Wapoland wanapenda sana ufugaji wa Noah(pig) kuliko mfugo wowote.
Mahenge umeishi mwaka gani dear?Nimeishi sana mahenge, hadi Mwayaa napajua.
Unasemaaa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Huo ufuska haupo upogoroni.
Nimeishi hapo miaka 2,2009-2010Kumbe umemaliza Kwiro juzi tu.
Anyway miaka ya 2000 hadi 2010 , Kasita amewakimbiza sana watoto wa Kwiro kwenye soka.
Anaitwa nan?,hakuna mtt hata mmoja kati ya wale wachimbaji waliouawa anaefanya hizo shughuli labda kama yupo anachimbishwa na matajiri wa kutoka Arusha na KilimanjaroMtoto Mmoja wa wale wafanyabiashara Bado anaendeleza uchimbaji yupo Vizuri sana
Hakuna kitu kama hicho bwanajambo zuri aisee mzee wake alidhurumiwa uhai kisa tamaa za wanadamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna ilikua hataree hii. KhaaahMwambie tuliwekewa kabisa na sehemu za kuchaji Kule Dining Hall. Yaani Head master anauliza wanafunzi kama Kuna mtu anauza vocha za Tigo [emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh bas ilikua hataree.Mi nimesoma advanced pale 2007/2009, na sio kwamba shule nyingine za gavoo walikuwa wanaruhusu, hata shule niliyosoma ya o level simu ilikuwa ni kosa la kukufukuzisha shule, ila pale Kwiro simu tulikuwa tunaruhusiwa kuwa nazo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNi kweli kabisa. Alichosema mkuu Kuna wakati hapo Kwiro sim ziliruhusiwa niliyokua Form 6 ndo zilikatazwa.
Ishu ilikua hivi walikuja wakaguzi wa Elimu sasa Kuna mwana mmoja akawa anaongea na simu pale karibu na bendera. Wale wakaguzi wakamgeukia Mkuu wa Shule almarufu kama Kimbunga vipi huku sim zinaruhusiwa??? Mkuu akajitetea kwamba kwa sababu shule ipo mbali sana waliona sio vibaya wanafunzi Kuwa nazo.
Kesho yake mkuu akaja assembly akasema " yaani Mimi nawaachia mtumie simu nyie mnakuja kuniabisha mbele ya wakaguzi???? Kuanzia leo hakuna ni marufuku simu kutumia kwa uwazi au kwenda nayo darasani"
Tukaendelea kutumia kisela. Sasa siku moja Kuna Dogo alihama pale(Dogo ana ndugu yake mkubwa tuu wizara ya Elimu inavyodaiwa) akahamia Malangali kama sikosei kufika kule akanyang'anywa simu.
Akalalamika mbona Nilipotoka (Kwiro boys) simu ni Ruksaaa yaani kama unanawa vile, matangazo ya vocha mpk chooni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani ukiwa unakata gogo ukiangalia mlangoni pameandikwa (Vocha za Voda njoo Chemba ya HP)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taarifa zikafika juu ndo mzee baba Headmaster akapigiwa simu moja kesho yake zile socket kule Dinning tunakuta zimetolewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijasoma kwiro, ila nimeishi kota za kwiro boys.Kama amesoma hivi karibuni anaweza akadhani tunachangamsha kijiwe
2017Mahenge umeishi mwaka gani dear?
Yupo uliza vizuri Mkuu, anaitwa Mecky.Anaitwa nan?,hakuna mtt hata mmoja kati ya wale wachimbaji waliouawa anaefanya hizo shughuli labda kama yupo anachimbishwa na matajiri wa kutoka Arusha na Kilimanjaro
Way back usiombe ile masika ikukute hapo unavuka same old memories tumevuka sana mitumbwi hapo dah!Mto Kilombero kabla ya daraja kujengwa.View attachment 2306232
Na MkingaIvi ni mji gani hauna mchaga,ndio yale maneno ya yule mzee wa Efatha aliposema ukiona kwenye mji ama mtaa hakuna mchaga hama,ama hata jela ukikuta jela ama gereza hakuna mchaga hama,anasema sehemu isiyokuwa na mchaga hainaga maendeleo kamwe ndio naamini sasa
Kwani Mahenge ni Jimbo kuu?.Nitajie Maaskofu wa RC wa Jimbo la Mahenge ambao walishafariki.Kuna kipindi huko nyuma kanisa katoliki lilikuwa na changamoto ya kufaeiki kwa maaskofu wake wanaoteuliwa kuongoza jimbo kuu la Mahenge
Mseminari wa Mchongo.Uzi umenirudisha 1996-1999 nikisomea upadri kukaa Kasita Friary pembeni ya Kasita seminary. Kimasiara sana watoto wa Uponera village. Siku mkitoka out kwa Mama Choma anatuficha Askofu asitukamate. Igota,
Lupiro , itete Mtimbira Kalengakero mpaka Malinyi mchaga Mimi nimekatiza nchi khaaa. Tanzania nzuri sana.
Jimbo katoliki la Mahenge (kwa Kilatini Dioecesis Mahengensis) ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Roma.Kwani Mahenge ni Jimbo kuu?.Nitajie Maaskofu wa RC wa Jimbo la Mahenge ambao walishafariki.
Mm nilipanda pikipiki kwenda mahenge nilitokea mavimba assee nilishuka ulemlima ninoma jombaaMlima ndororo ule, yaan ukikaa juu unaona hadi korongo kule chiniiii aaaah wee, ni hatareee.